Uchaguzi 2020 Halima Mdee, fedha za mfuko wa jimbo umepeleka wapi?

Uchaguzi 2020 Halima Mdee, fedha za mfuko wa jimbo umepeleka wapi?

Kasomu kitabu chake kwanza kwa hela alizopewa mfuko wa Jimbo.
Akili ikikuzinduka rejea mchango wako.
Halima MUST GO!
Hivi unajua namna pesa ya mfuko wa jimbo hiko chini ya nani? Inatolewa Vip? Na hiko kwenye account gani? Kwa akili yako unadhan mbunge ni tatizo? Mbona hali ya majimbo karibu yote ya dar ni dhohofu. Ukonga walikuwepo waitara; nangalia miundombinu yake utadhani sijui kijiji gani? Temeke je ? Ile kauli ya mzee iliyotolewa tunduma nadhani Ndio chimbuko la hayo matatizo
 
Kapeka kwenye jimbo.
Hivi sababu vyenu havito wasaidia.
Kawe wanajitambua hatuwezi kumchagua mzinifu tapeli na anajifanya aakofu huku anakula kondoo wake na kuwatapeli.
Hatuwezi kuchagua mtu mwenye chuki na waislam.
Gwajima ni dirty fella
 
Hivi unajua namna pesa ya mfuko wa jimbo hiko chini ya nani? Inatolewa Vip? Na hiko kwenye account gani? Kwa akili yako unadhan mbunge ni tatizo? Mbona hali ya majimbo karibu yote ya dar ni dhohofu. Ukonga walikuwepo waitara; nangalia miundombinu yake utadhani sijui kijiji gani? Temeke je ? Ile kauli ya mzee iliyotolewa tunduma nadhani Ndio chimbuko la hayo matatizo
Hatutaki malumbano.
Halima kashindwa vibaya ubunge.
Hana cha kutuekeza kwa miaka 10 aliyohodhi kiti cha ubunge.
Tuwe wakweli tu.
Halima is a failure as far as peoples expectations are concerned.

Kibaya zaidi ni barabara mbofu mbofu jimboni.
Halima hana uhusiano mzuri na vyombo vya serikali vyenye kuweza kuleta maendeleo.
Sasa tunamchague akakenue meno bungeni?
Halima MUST GO!
 
HALIMA MDEE, FEDHA ZA MFUKO WA JIMBO UMEPELEKA WAPI?

Bunge la JMT limetunga Sheria iliyoanzisha na kusimamia fedha za mfuko wa Jimbo kwa lengo la kurahisisha na kumsaidia Mbunge wa kuchaguliwa Jimboni kupata fedha hizo kwa lengo la kurahisisha kutatua changamoto mbali mbali za Maendeleo katika jimbo mfano kusaidia kuboresha majengo na miundombinu mbali mbali za mashule, barabara, hospital na kunawakati zinaweza kutumika katika kusaidia makundi mbali mbali katika Jamii.

Ina kadiriwa kiasi Cha bilioni 3 hutolewa kwa kila Jimbo kwa kipindi Cha miaka yote 5 ya utawala wa Mbunge wa Jimbo wa kuchaguliwa likiwemo Jimbo la kawe lakini chakushangaza fedha hizo zimetumika kinyume na utaratibu wake.

Katika Nyakati tofauti Halima Mdee ameziomba fedha hizo za mfuko wa Jimbo kwa matumizi flani yakiyopitishwa na kamati inayotambulika kisheria lakini Mara baada ya kukabidhiwa fedha hizo hazipeleki kwa walengwa ambao ni wananchi badala yake zinatumika kujenga chama kitaifa na kuwakoshesha wananchi wa Kawe Maendeleo ambayo hadi hivi leo Kuna sehemu bado Zina changamoto kubwa.

Hali hiyo ya matumizi mabaya ya fedha hizo imempa wakati mguu katika kampeni zake za kuwania Ubunge kwa Mara ya tatu mfululizo lakini wananchi wamemkataa mpaka atakapo waeleza zaidi ya bilioni 2 zimepotelea wapi maana katika ripoti yake ya utekelezaji inaonyesha bilioni 1 tu umetumika lakini bilioni 2 hazijulikani hazipo.
HALAFU UTAYASIKIA MAJITU FULANI HUMU YAKIMWAGA POVU KUMTETEA
 
Gwajima njia nyeupee , halima hajafanya kitu chochote kawe.
Awamu hii hauna Mbunge aliyepata hata cent 5 zote aligawa mwenyewe km ni madaraja au Hospital
kwahiyo usemi wa Maendeleo hayana vyama ni sawa
MWACHIENI HALIMA MDEE AMGALAGAZE GWAJ BOY
 
Awamu hii hauna Mbunge aliyepata hata cent 5 zote aligawa mwenyewe km ni madaraja au Hospital
kwahiyo usemi wa Maendeleo hayana vyama ni sawa
MWACHIENI HALIMA MDEE AMGALAGAZE GWAJ BOY
Aa wapi Halima mdee hana ubavu wa kumgalagaza Gwajima .halima hatumuoni Bungeni wala jimboni.
 
HALIMA MDEE, FEDHA ZA MFUKO WA JIMBO UMEPELEKA WAPI?

Bunge la JMT limetunga Sheria iliyoanzisha na kusimamia fedha za mfuko wa Jimbo kwa lengo la kurahisisha na kumsaidia Mbunge wa kuchaguliwa Jimboni kupata fedha hizo kwa lengo la kurahisisha kutatua changamoto mbali mbali za Maendeleo katika jimbo mfano kusaidia kuboresha majengo na miundombinu mbali mbali za mashule, barabara, hospital na kunawakati zinaweza kutumika katika kusaidia makundi mbali mbali katika Jamii.

Ina kadiriwa kiasi Cha bilioni 3 hutolewa kwa kila Jimbo kwa kipindi Cha miaka yote 5 ya utawala wa Mbunge wa Jimbo wa kuchaguliwa likiwemo Jimbo la kawe lakini chakushangaza fedha hizo zimetumika kinyume na utaratibu wake.

Katika Nyakati tofauti Halima Mdee ameziomba fedha hizo za mfuko wa Jimbo kwa matumizi flani yakiyopitishwa na kamati inayotambulika kisheria lakini Mara baada ya kukabidhiwa fedha hizo hazipeleki kwa walengwa ambao ni wananchi badala yake zinatumika kujenga chama kitaifa na kuwakoshesha wananchi wa Kawe Maendeleo ambayo hadi hivi leo Kuna sehemu bado Zina changamoto kubwa.

Hali hiyo ya matumizi mabaya ya fedha hizo imempa wakati mguu katika kampeni zake za kuwania Ubunge kwa Mara ya tatu mfululizo lakini wananchi wamemkataa mpaka atakapo waeleza zaidi ya bilioni 2 zimepotelea wapi maana katika ripoti yake ya utekelezaji inaonyesha bilioni 1 tu umetumika lakini bilioni 2 hazijulikani hazipo.

Unatia aibu kwa ccm wenzako
Aliekwambia ni mbunge pekee ndio anakaa na pesa za jimbo ni Nani?

Why usimuulize mkurugenzi alieteuliwa na Rais wako?

Na ww unakuwa na akili Kama za gwajima,
Analalamika barabara kwa halima hajui kama imeundwa taasisi inaitwa tarula kwa ajili ya Hizo barabara
 
Aa wapi Halima mdee hana ubavu wa kumgalagaza Gwajima .halima hatumuoni Bungeni wala jimboni.
Hivi awamu hii ya 5 uliliona Bunge letu, au kuna Mbunge ulimsikia kapewa mradi? umeambiwa maendeleo hayana Chama
ni nini walichokipitisha? ununuzi wa ndege, Nyerere Dam, Mbuga ya wanyama walikopelekwa Twiga? au zile 15trilioni alizohoji Zitto
ilikuwa Ndiooooooo kila Kikao
 
Unatia aibu kwa ccm wenzako
Aliekwambia ni mbunge pekee ndio anakaa na pesa za jimbo ni Nani?

Why usimuulize mkurugenzi alieteuliwa na Rais wako?

Na ww unakuwa na akili Kama za gwajima,
Analalamika barabara kwa halima hajui kama imeundwa taasisi inaitwa tarula kwa ajili ya Hizo barabara
Hajui na hatakaa ajue
 
Siku hizi humu JF kuna ujinga sana vitu gani hivi umeandika?[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Back
Top Bottom