rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
nafasi ya Halima kurudi bungeni ilikuwa finyu ila ccm wamekosea kwa kuwaletea Gwajima kiongozi tapeli anayetumia dini kutapeli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unakula za nani? Acha akili mgandoHii Ni id nyingine ya siku mbili zilizopita, huu ndio muda wa kupiga hizo hela za huyo boya bila jasho. Zipo id nyingi zilizoanza july kwa ajili ya kumpamba Gwajima. Kuleni hela za bwege hilo.
Mataga wamepewa 'new task' hapo koridoni Lumumba..kwa kila taga linamiliki I'd 7.Oya mnazingua,ID zenu za leo leo wote.
Haikusaidii sana kuongea na kufikiri kama boga lililojuu ya kichwa chako.Msivyo na akili kama jiwe lenu...
Kwa hiyo mnataka mbunge atakaekuwa mwakilishi wa serikali bungeni?
Mwenyekiti wenu hajui kazi yake na nyie wafu asi wake hamjui wajibu wenu! Kweli CCM imekufa
Hata jina lako linaonyesha ulivyomkabila! Nchi hii sio ya kabila lenu tu...Haikusaidii sana kuongea na kufikiri kama boga lililojuu ya kichwa chako.
Siye tunaita realpolitik, ambayo inataka kuishawishi na kulobby powers that be.
Hiyo ni prctice world over.
Halima kashindwa kazi ya ubunge.
Na ninyi vichwa vya kuku mtaendelea kumshabikia kama hamna akili nzuri.
Halima MUST GO!
[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Mataga wamepewa 'new task' hapo koridoni Lumumba..kwa kila taga linamiliki I'd 7.
Nyie mabolizozo nini?Account zooote hizi ni mpya zote, zina mwez au miezi miwili
Wameshashauriana huko kwenye groups zao za WhatsApp wanakuja vamia huku
wasted sperm's
Kufikiria ukabila karne hii ni kuonyesha watu kuwa pamoja na kwenda shule za Kanumba, elimu haijapanda.Hata jina lako linaonyesha ulivyomkabila! Nchi hii sio ya kabila lenu tu...
Halafu zote zimesajiliwa september 28,29 na july 5 na 6.Hizi ID mpya ni kero
Ni mtu mmoja huyu vijana na njaa zao mtaaniUzi unachangiwa sana na ID za kuanzia July mwaka huu hadi Sept. Kama kamkakati fulani hivi.
Hii 2010 dogo wakati bado hujaja hata mjiniHata akituita hatuendi sasa hivi maana hana la kutuambia zaidi ya uongoView attachment 1586943
Ni mtu mmoja huyu usikute Gwajima mwenyeweThread inakwenda Faster na majina kama matatu hivi....
Hali mbaya sana kwa Mbunge wa Kawe anayemaliza muda wake. Nadhani yawezekana sasa kuwa wananchi wamemchoka na bora apumzike.
Tarehe 28 pale ambavyo ninaenda kumchagua Gwajima sitaki kabisa ahadi za uongo
Kwakweli wananchi wa Kawe tumemchoka yeye aende tu.
Imeisha hivyo akapumzike ajenge familia yake.
Nyie vichaa kumbe ni kweli mmetoka kanisani kwa Gwajiboy kuja kuleta pumba zenu huku, Kawe sio lindi wajomba, acheni kuhangaika na mcheza porn wenu.R.I.P Halima Mdee mwenyewe anajiita sauti ya zege
Waumini wake hao.Hizi ID mpya ni kero
Vip wewe hujawahi "kuombwa" na huyo msanii wenu kanisani?!Sasa hivi tunamtaka na tunamchagua mtu atakaye tatua matatizo yetu ya Kawe[emoji106]
Halima umekuwa mfu
Zipo nyingi mkuu, tena ni za Sep 29, 2020