Uchaguzi 2020 Halima Mdee, fedha za mfuko wa jimbo umepeleka wapi?

Uchaguzi 2020 Halima Mdee, fedha za mfuko wa jimbo umepeleka wapi?

Gwajima hoyeeee wakati wako sasa kawe

mdee lamba udongo si kweli umetuibia si kweli wewe ni jambazi si kweli wewe ni muongo
 
Hii mada inachangiwa na watu watano kwa ID tofauti ili iondokane wako wengi lakini ni ushamba tu.

Magufuli amefuja trilioni 1.5 na kaishia kujijengea kiwanja cha ndege kijijini kwao lakini hamtaki kuliongelea. Nonsense.

Tuanze na Magufuli aende nyumbani, hana sifa ya kuwa rais labla unyapara wa barabara.
Nyie wajinga humuwezi kushika nchi hata iweje yan chadema wawe watawala mtaendelea kuota tu ndotoni urais ila kushinda kamwe hamuwezi kushinda aki vile kwanza mmelaaniwa mnajidai watetea haki kumbe ndo waondoa amani kwa taifa
 
Hii mada inachangiwa na watu watano kwa ID tofauti ili iondokane wako wengi lakini ni ushamba tu.

Magufuli amefuja trilioni 1.5 na kaishia kujijengea kiwanja cha ndege kijijini kwao lakini hamtaki kuliongelea. Nonsense.

Tuanze na Magufuli aende nyumbani, hana sifa ya kuwa rais labla unyapara wa barabara.
Chadema siku zote tunawatambua kuwa hamna jema mko kama mashetani kila kitu kwenu n kibali
 
Wana Kawe tumechoka kuongozwa na Bachela wa kike tunahitaji kiongozi mwenye familia Halima hana familia amezowea kwenda na wanawake wenzie sehemu ndiyo maana hana akili ya kutuongoza zaidi ya kututapeli tu na ahadi zake za uongo.
Kawe tumeazimia kwenda na Gwajima October 28
hivi unalipwa ngapi hasa na huyo Mlokole unayesema ana mke mmoja?
hakuma mwanaKawe atakayempa Gwajima kura labda walokole wenzake wanaomfichia maufuska yake
hapo mnajichosha kushabikia Ukabila, wasio Wasukuma sasa hawatawapa
Uaskofu wasio walokole hawatawapa kwani ni askofu uchwara mmwenye PHD ya kutunga
Ukristo na hasa waislamu mliowadhihaki kuwa mtageuza madrasa
wakatoliki hawatawapa kwani aliwadharau Askofu Pengo
Gwajima angejiachia tu Ubunge akarudi madhabahuni
 
Naona Gwajima kaona namna pekee ya kupita ni kumshambulia Halima badala ya kuelezea sera zake!
Gwajyboy Anajitia dole halafu anajinusa..Yaani kajifungulia mi account kibao ya Jf anaanzisha Uzi nakujijibu mwenyewe.Yaani kila Uzi unaomponda Halima ukiangalia wanao changia kwakukosoa nihaohao misekule wake aliowafufua.
 
Na wewe endelea kumtetea Huyo dume jike lako haujakatazwa
Wewe wasema sasa kama unalijua hlo kelele za nin si ukae kimya
mihemuko ni ya nini sasa unaleta malumbano?
ninyi mmekuha Jukwaa hili kuchafua tu na mnalipwa
utajiungaje september 2020 kuja kumtetea Askofu malaya?
bora tuongozwe na dume jike hata nyinyi wanawake walokole mtashughulikiwa na kibwana chenu Askofu
hadanganyiki mtu hapo
 
hivi unalipwa ngapi hasa na huyo Mlokole unayesema ana mke mmoja?
hakuma mwanaKawe atakayempa Gwajima kura labda walokole wenzake wanaomfichia maufuska yake
hapo mnajichosha kushabikia Ukabila, wasio Wasukuma sasa hawatawapa
Uaskofu wasio walokole hawatawapa kwani ni askofu uchwara mmwenye PHD ya kutunga
Ukristo na hasa waislamu mliowadhihaki kuwa mtageuza madrasa
wakatoliki hawatawapa kwani aliwadharau Askofu Pengo
Gwajima angejiachia tu Ubunge akarudi madhabahuni
Gwajima njia nyeupee , halima hajafanya kitu chochote kawe.
 
Ndungu zangu wana jamvi habari za muda huu.

Leo nimepata wasaha wa kupitia Kitabu cha taarifa ya utekelezaji wa ilani ya jimbo la kawe (2015-2020)
kilichoandikwa na aliyekuwa mbunge wetu Halima James Mdee.

Nimeshtushwa sana na nilichokiona kwenye kitabu hiki, naomba kuwashirikisha kitu ambacho kimepelekea nishtuke mimi kama mkazi wa jimbo la Kawe na mnufaika wa fedha za mfuko wa jimbo.

Kwenye kipengele kinachosomeka Taarifa ya Miradi ya Maendeleo ya Fedha za mfuko wa Jimbo.

Jina la Mradi: Kujenga Kivuko cha waenda kwa miguu Soko la Samaki Ununio

Mwaka 2017/18- (Uk.25 )

Tsh. Mil 5,000,000/= zilitengwa kwa ajili ya mradi huo wa kivuko cha waenda kwa miguu kilichopo karibu na soko la samaki la ununio.

Mwaka 2018//19- (Uk.27)

Mradi huo huo unaonekana katika ukurasa namba 27 huku ukitengewa Kiasi cha Tsh Mil 13,500,000/= lakini utekelezaji wake kama ilivyoandikwa kwenye kitabu hiki bado ulikuwa katika hatua za awali za manunuzi.

Mwaka 2019/20 - (Uk.31)

Mradi huo huo tena unaonekana kutengewa kiasi cha Tshs Mil 20,000,000/= kwenye page no 31. Huku mbunge wetu akijinadi kwenye kitabu hiki kuwa mradi huo umekamilika.

Lakini kiuhalisia kabisa ni kwamba mradi huo hadi ninavyoandika thread hii , haujakamilika na hautumiki hata na mkazi mmoja wa ununio na kata nzima ya kunduchi kwa ujumla.

Kwa hiyo mradi mmoja wa kivuko cha waenda kwa miguu soko la samaki ununio umegharimu Jumla ya kiasi cha Tshs Mil 38,500,000/= ndani ya kipindi cha miaka 2 (2018-2020) , ambazo ni fedha zinazosimamiwa na kutolewa na Ofisi ya Mbunge ambaye ni Mh.Halima Mdee.

Kwa tafsiri nyepesi kabisa inaonyesha hakukua na usimamizi mzuri wa fedha za jimbo la Kawe chini ya dada yetu Halima.

Ndugu zangu wana Jamvi nimeattach hapa picha za mradi uliotajwa kwenye taarifa kama ulivyo kwa sasa.

Ally Ramadhan Salehe

Ununio Mwisho-Kunduchi
Rubbish
 
mihemuko ni ya nini sasa unaleta malumbano?
ninyi mmekuha Jukwaa hili kuchafua tu na mnalipwa
utajiungaje september 2020 kuja kumtetea Askofu malaya?
bora tuongozwe na dume jike hata nyinyi wanawake walokole mtashughulikiwa na kibwana chenu Askofu
hadanganyiki mtu hapo
Tena mchafuaji wa imani za wengine?huyu askofu fake hafai hata kuendesha misa za mashetani watamkimbia tu kutokana na unafiki wake,leo kawaanza waislam kesho kawafata wakatoliki je kesho kunywa akipata hayo madaraka si atabadiliisha kweli hizo madras's?Hatumtaki
 
Kwahiyo watu ambao wana akili ni wale wanaibiwa halafu wananyamaza kmya au ni wale ambapo waliahidiwa kutatuliwa matatizo kwa miaka kumi halafu hakijafanyika kitu au wale ambao wanao mtu huyo akipewa miaka ishirini hawezi kufanya kitu kwahiyo wanaamua kubadilisha mueleekeo au akili yangu unaipimaje

Hii Ni id nyingine ya siku mbili zilizopita, huu ndio muda wa kupiga hizo hela za huyo boya bila jasho. Zipo id nyingi zilizoanza july kwa ajili ya kumpamba Gwajima. Kuleni hela za bwege hilo.
 
Back
Top Bottom