Wewe kichaa kwani Gwajima hata wakiiba hazitamsaidia kushindaukatili walioufanya ccm mwaka huu ni kumteua gwajima apambane na halima mdee ni ukatili wa kijinsia huyu dada kafanyiwa bila kujua..
Wewe kichaa kwani Gwajima hata wakiiba hazitamsaidia kushinda
kama huyo Halima hajaweka pingamizi rasmi kaandika mtandaoni kufurahisha baraza tu, it's rubbish.Kanuni ya 26(3) ya Kanuni za Uchaguzi zinataka Fomu ya KUTEKELEZA MAADILI kujazwa mbele ya Msimamizi wa Uchaguzi. Ndugu yangu wa CCM KAWE alijaza tarehe 20/8/2020 NYUMBANI kwake. Na BADO MSIMAMIZI wa UCHAGUZI Kinondoni AKAMTEUA ! HUYU Mgombea HANA SIFA-Halima Mdee on twitter.
View attachment 1549033
Kwani nyumbu huwa akili mnaziweka wapi?? Unajua sheria za uchaguzi zinasemaje hasa kwenye ujazaji hizo fomu?!! Unajua ni kwanini hiyo sheria ilibadirishwa? Ndio tatizo la waafrika kutunga sheria kwa kumukomoa mtu!! Sema hayo yamemkuta wa ccm, litaisha tu,Sasa atathibitisha vipi aliijaza nyumbani ?Na kama aliijaza akiwa kwa msimamizi wa uchaguzi tarehe hiyo ?Halima Mdee hapa kachemsha.
[emoji23][emoji23][emoji23]Nasikia jumapili inayokuja askofu atafufua maiti 2 tena ukiacha ile ya kwanza.
Umeelewa kinachoongelewa hapa kweli au unahemka tu..naona umetoka bilabila.Je hiyo form ya maadili imejazwa au haijajazwa?
Kama imejazwa huyo Halima ajiandae tu kisaikolojia
Do you believe in miracles? Yesu anaweza.Kweli wee akili zako ni sawa na kinyesi changu ..fomu ya tamko la mgombea linajazwa mbele ya msimamizi wa uchaguzi siku ya kurejesha fomu ambayo ni trh 25, haya hapo juu kajaza trh 20 ..hv hapo Gwajiboy anaponaje???
Sio kwenye hilo maana yesu hasimami na watenda dhambiDo you believe in miracles? Yesu anaweza.
Basi humjui Yesu kiundani, mission yake alikuja kwa ajili ya watenda dhambi, mzima haitaji tabibu mkuu.Sio kwenye hilo maana yesu hasimami na watenda dhambi
Unakubaliana watu wanaosema Gwajiboy ni tapeli?? Na yesu amekuja kumsaidia tapeliBasi humjui Yesu kiundani, mission yake alikuja kwa ajili ya watenda dhambi, mzima haitaji tabibu mkuu.
Si kweli mkuu, ratiba ni kuwa fomu za uraisi zirejeshwe tarehe 25, AugMwisho wa kurudisha ndo ulikuwa tarehe 25,ila unaweza rudisha kabla ya hiyo tarehe.
Tulimwomba tulimsihi tukalalamika @halimamdee aje jomboni hakuja wala kutujali. Sasa atauona mpilipili na maua yake. Dharau mbaya sana duniani..Kanuni ya 26(3) ya Kanuni za Uchaguzi zinataka Fomu ya KUTEKELEZA MAADILI kujazwa mbele ya Msimamizi wa Uchaguzi. Ndugu yangu wa CCM KAWE alijaza tarehe 20/8/2020 NYUMBANI kwake. Na BADO MSIMAMIZI wa UCHAGUZI Kinondoni AKAMTEUA! HUYU Mgombea HANA SIFA-Halima Mdee on twitter.
HaLafu haina pichaKanuni ya 26(3) ya Kanuni za Uchaguzi zinataka Fomu ya KUTEKELEZA MAADILI kujazwa mbele ya Msimamizi wa Uchaguzi. Ndugu yangu wa CCM KAWE alijaza tarehe 20/8/2020 NYUMBANI kwake. Na BADO MSIMAMIZI wa UCHAGUZI Kinondoni AKAMTEUA! HUYU Mgombea HANA SIFA-Halima Mdee on twitter.
Shetani anawekwa hadharani!Kanuni ya 26(3) ya Kanuni za Uchaguzi zinataka Fomu ya KUTEKELEZA MAADILI kujazwa mbele ya Msimamizi wa Uchaguzi. Ndugu yangu wa CCM KAWE alijaza tarehe 20/8/2020 NYUMBANI kwake. Na BADO MSIMAMIZI wa UCHAGUZI Kinondoni AKAMTEUA! HUYU Mgombea HANA SIFA-Halima Mdee on twitter.
We nawe mjinga tu Kama wajinga wengine nani amesema muda imeisha wa mapingamizi?Daah Ni aibu kubwa Sana kwa Mwanasiasa Nguli Kama Halima kuja kuleta Tatizo la kifundi Kama hili huku mitandaoni badala ya kwenda kuweka pingamizi kwa NEC Kama alivyofanya John mrema kwa Bonna.
Yani muda wa mapingamizi umeisha ndo unasema Hana sifa Ukiwa Kama tume ya uteuzi ama Ukiwa Kama halima mdee.
Unachokitafta kwa huyo gwaji boy soon utakipata Naona unamchokonoa afungue Domo lake,, Kuna yule alikuwa RC wa Dsm aligalagazwa mdomoni vibaya mnoo na huyo gwaji hivyo kuwa makini Sana na huyo jamaa.