Uchaguzi 2020 Halima Mdee: Gwajima alijaza fomu ya maadili nyumbani kwake badala ya kuja mbele ya msimamizi wa uchaguzi hivyo hana sifa ya kugombea

Uchaguzi 2020 Halima Mdee: Gwajima alijaza fomu ya maadili nyumbani kwake badala ya kuja mbele ya msimamizi wa uchaguzi hivyo hana sifa ya kugombea

ukatili walioufanya ccm mwaka huu ni kumteua gwajima apambane na halima mdee ni ukatili wa kijinsia huyu dada kafanyiwa bila kujua..
Wewe kichaa kwani Gwajima hata wakiiba hazitamsaidia kushinda
 
Nasikia jumapili inayokuja askofu atafufua maiti 2 tena ukiacha ile ya kwanza.
 
Kanuni ya 26(3) ya Kanuni za Uchaguzi zinataka Fomu ya KUTEKELEZA MAADILI kujazwa mbele ya Msimamizi wa Uchaguzi. Ndugu yangu wa CCM KAWE alijaza tarehe 20/8/2020 NYUMBANI kwake. Na BADO MSIMAMIZI wa UCHAGUZI Kinondoni AKAMTEUA !⁩ HUYU Mgombea HANA SIFA-Halima Mdee on twitter.

View attachment 1549033
kama huyo Halima hajaweka pingamizi rasmi kaandika mtandaoni kufurahisha baraza tu, it's rubbish.

that's why Tundu Lissu remains a thousand miles ahead of every goddamn politician in this country!
 
Sasa atathibitisha vipi aliijaza nyumbani ?Na kama aliijaza akiwa kwa msimamizi wa uchaguzi tarehe hiyo ?Halima Mdee hapa kachemsha.
Kwani nyumbu huwa akili mnaziweka wapi?? Unajua sheria za uchaguzi zinasemaje hasa kwenye ujazaji hizo fomu?!! Unajua ni kwanini hiyo sheria ilibadirishwa? Ndio tatizo la waafrika kutunga sheria kwa kumukomoa mtu!! Sema hayo yamemkuta wa ccm, litaisha tu,
 
Kweli wee akili zako ni sawa na kinyesi changu ..fomu ya tamko la mgombea linajazwa mbele ya msimamizi wa uchaguzi siku ya kurejesha fomu ambayo ni trh 25, haya hapo juu kajaza trh 20 ..hv hapo Gwajiboy anaponaje???
Do you believe in miracles? Yesu anaweza.
 
Haya makosa wangefanya upande wa pili tungeona kazi ya Tume. Mpaka wanampitisha hawakuona.
 
Kanuni ya 26(3) ya Kanuni za Uchaguzi zinataka Fomu ya KUTEKELEZA MAADILI kujazwa mbele ya Msimamizi wa Uchaguzi. Ndugu yangu wa CCM KAWE alijaza tarehe 20/8/2020 NYUMBANI kwake. Na BADO MSIMAMIZI wa UCHAGUZI Kinondoni AKAMTEUA!⁩ HUYU Mgombea HANA SIFA-Halima Mdee on twitter.

Tulimwomba tulimsihi tukalalamika @halimamdee aje jomboni hakuja wala kutujali. Sasa atauona mpilipili na maua yake. Dharau mbaya sana duniani..
 
Kanuni ya 26(3) ya Kanuni za Uchaguzi zinataka Fomu ya KUTEKELEZA MAADILI kujazwa mbele ya Msimamizi wa Uchaguzi. Ndugu yangu wa CCM KAWE alijaza tarehe 20/8/2020 NYUMBANI kwake. Na BADO MSIMAMIZI wa UCHAGUZI Kinondoni AKAMTEUA!⁩ HUYU Mgombea HANA SIFA-Halima Mdee on twitter.

HaLafu haina picha

Jr[emoji769]
 
Kanuni ya 26(3) ya Kanuni za Uchaguzi zinataka Fomu ya KUTEKELEZA MAADILI kujazwa mbele ya Msimamizi wa Uchaguzi. Ndugu yangu wa CCM KAWE alijaza tarehe 20/8/2020 NYUMBANI kwake. Na BADO MSIMAMIZI wa UCHAGUZI Kinondoni AKAMTEUA!⁩ HUYU Mgombea HANA SIFA-Halima Mdee on twitter.

Shetani anawekwa hadharani!
 
Daah Ni aibu kubwa Sana kwa Mwanasiasa Nguli Kama Halima kuja kuleta Tatizo la kifundi Kama hili huku mitandaoni badala ya kwenda kuweka pingamizi kwa NEC Kama alivyofanya John mrema kwa Bonna.

Yani muda wa mapingamizi umeisha ndo unasema Hana sifa Ukiwa Kama tume ya uteuzi ama Ukiwa Kama halima mdee.

Unachokitafta kwa huyo gwaji boy soon utakipata Naona unamchokonoa afungue Domo lake,, Kuna yule alikuwa RC wa Dsm aligalagazwa mdomoni vibaya mnoo na huyo gwaji hivyo kuwa makini Sana na huyo jamaa.
We nawe mjinga tu Kama wajinga wengine nani amesema muda imeisha wa mapingamizi?
 
Back
Top Bottom