Uchaguzi 2020 Halima Mdee, kwa hili utatusamehe kwa kweli...

Hata mimi ningekuwa yeye nisingetaka kugombe tena miaka kumi yote haujafanya kitu unaenda kuwaambia nini wananchi wako
Ninaunga mkono hoja kwasababu inaonekana alikuwa amekubali matokeo kuwa ameshindwa
Kama mtu hakuwa tayari kwa hiari yake atawezaje kuleta maendeleo hii sio sawa kabsa inabidi tuchague kiongozi ambaye yuko tayar kufanya kazi bila kulazimishwa
Halima hukuwa tayari kututetea sisi wanaKawe ndiyo maana hukutana kugombea sasa wanaKawe tutakupaje kura zetu mtu ambaye hakuwatari kwaajili yetu
Halima kawe alishaitosa miaka mingi Sana Ila yupo yupo tu
Halima alikuwa anafahamu alichotutendea wana Kawe ndiyo maana hakutaka kabisa kugombea tena na nibora asingegombea tu huyu tapeli.
Basi hatuna haja ya kumsikiliza mtu ambaye alishatuangusha, sikio letu lote lipo kwa Gwajima
Hivi nyie jamaa huwa mnaitana.

Maana kila uzi unamhusu H.M lazima mje kureply, halafu mnakuwa mnafuatana.
 
Yaani mfuasi wa Gwaji boy una maneno machafu na ya karaha kiasi hiki? Si utakua una mapepo mengi sana wewe kichwani!!!
Gwajima kakodi wale matapeli tumapesa kwa namba hii mpumbafu sana huyu kiumbe asipewe hata kura moja
 
Misukule at their best

Misukule ya CCM na

Misukule ya ufufuo na uzima
Misekule ya kisiasa ipo Chadema, hoja zifuatazo:
1.Msekule ni kiumbe kinachoongozwa kama remote na tv na huyu si mwengine ni Lisu, kwa maana anaongozwa na mabeberu
2.Misukule huwa inatabia ya kuomba omba kila kitu kwa watwana wao, na hii tabia ipo chadema na kwa lisu kuwaomba omba mabeberu wao wakina Amsterdam
Lete hoja hapa
 
Gwajima kakodi wale matapeli tumapesa kwa namba hii mpumbafu sana huyu kiumbe asipewe hata kura moja
Gwajima kakodi wale matapeli tumapesa kwa namba hii mpumbafu sana huyu kiumbe asipewe hata kura moja
Hapo kwenye attachment inapowahusu chadema napo wamekodiwa wakina nani? Au ndo wale wazee wakulia misibani.
 

Attachments

  • IMG_20201003_154051.jpg
    91.6 KB · Views: 1

Hii ni id ya September inayojifanya Ni ya muisilamu, ili kujifanya hata waislamu wanamkubali Gwajima. Kwa taarifa yenu pambano mmepoteza kabla ya mechi.
 
Kwanza hujui kuandika, misekule, msekule inamaanisha umekurupuka au shule huna tena elementary kwa hiyo wewe ni MSUKULE

Pili ni misukule tu inayokaririshwa kwamba kuna mabeberu :sababu serikali inawategemea mno
Wanaotengeneza ndege ni hao,
Partners wa maendeleo ni hao,
Wanaochangia bajeti hususan za maendeleo ni hao,
Wanaotoa misaada mikubwa kwenye sekta ya elimu ni hao,
World Bank ambao serikali huwa inawabembeleza hata walipotishia kusimamisha misaada ni hao,
Technology inatoka kwao,
Madini nchini wanachimba wao,
Mifano michache tu.

Msukule wa CCM au umefufuliwa na uzima unakuja na mapovu kutafuta kubishana akili iko Lumumba.

Kwa nini misukule ni WAPUMBAVU?
 
Hii ni id ya September inayojifanya Ni ya muisilamu, ili kujifanya hata waislamu wanamkubali Gwajima. Kwa taarifa yenu pambano mmepoteza kabla ya mechi.
Acha povu leta hoja mezani, hoja hujibiwa kwa hoja.
Na hiyo tabia ya kumbagua mtu kwa dini yake sio tabia nzuri kabisa. Ndio maana tunasema wapinzania hawafai kuingoza nchi hii, hata kwa ngazi ya ujumbe wa nyumba 10.
Panic at Your Own Risk
 
Acha povu leta hoja mezani, hoja hujibiwa kwa hoja.
Na hiyo tabia ya kumbagua mtu kwa dini yake sio tabia nzuri kabisa. Ndio maana tunasema wapinzania hawafai kuingoza nchi hii, hata kwa ngazi ya ujumbe wa nyumba 10.
Panic at Your Own Risk

Mtumikie kafiri dogo ili upate mradi wako.
 
Tulia tulia dawa ikuingie taratibu.
Mnapojichanganya na kudangwanywa na kibaraka wa mabeberu ni kuwa kila mzungu ni beberu rudi darasani ukajifunze maana halisi ya beberu, halafu ndo uje nikueleweshe vizuri kwanini tunasema lisu anatumwa na mabeberu na kibaraka wa mabeberu.
Shida nyingine mliyo nayo kila mtu ambaye atawapa hoja za msingi na zenye tija akili zenu zinawatuma kuwa ametumwa na Lumumba, ukweli ni kwamba watanzania tufunguka macho na akili tunaona juhudi zinazofanywa na Magufuli, na tunaamini maendeleo sio maharage kwamba ni rahisi kuyachemsha hivyo maendeleo ni hatua.
Panic at Your Own Risk
 
Hizi I'd ni so lovely! Unaweza kukuta mimi ni mchangiaji wa tatu kwenye huu uzi!

Uzi wowote wa kumponda Halima lazima uwe na I'd mpya pamoja na asilimia 99 ya wachanguaji.
Ufufuo na uzima hoyeeeeeee
Haya ni mawakala wa Gwajima
 
Mbona design kama umepanic

Kipi cha kunifanya nipanick? Tazama I'd yangu ni ya lini, na yako ni ya lini, kisha utajua nani anaweza kupanick kwa michango hapa jukwaani. Fahamu ww uko hapa jukwaani kumtumikia Gwajima, wakati mimi niko huru.
 
Muongo wewe
 
Kipi cha kunifanya nipanick? Tazama I'd yangu ni ya lini, na yako ni ya lini, kisha utajua nani anaweza kupanick kwa michango hapa jukwaani. Fahamu ww uko hapa jukwaani kumtumikia Gwajima, wakati mimi niko huru.
Duuh, kumbe Id ndo ina determine panic ya mtu, nilikuwa sijui aisee.
Na suala la kuzungumza ukweli wa jambo, haitoi uhalali ya kuwa mtu fulani ana mtumikia mtu fulani.
 
Jinga kabisa wewe ndio umepanic msukule, wapumbavu waliokaririshwa, ufahamu duni pekee ndio utawakuta wakiimba katumwa na beberu, myopic mapumbavu pekee narudia.

Nipe mfano mmoja wa beberu na definition ya beberu, msukule huna zaidi ya kusema nchi za magharibi ambazo ndio partners wa maendeleo. Pathetic fool unaelewa?

Mambo yepi yaliyofanywa na CCM ambayo hayakufanywa na CCM kwa miaka 59? Misukule ya CCM kama wewe utakuwa convinced.

Flyovers Ethiopia ziko zaidi ya Tanzania

SGR mradi mkubwa zaidi ya Tanzania

Ndege zaidi ya Tanzania

Wana mradi mkubwa wa umeme megawatts 9000

Lakini hakuna maendeleo ya watu ndio kila mara wanapita kwenda SA kutafuta maisha bora.

Msukule niambie mambo makubwa yaliyofanywa nikujibu

Misukule nyinyi ni wapumbavu, na misukule inapatikana Lumumba kwa kuwa wewe ni msukule basi ni wa Lumumba. Period!
 
Kipi cha kunifanya nipanick? Tazama I'd yangu ni ya lini, na yako ni ya lini, kisha utajua nani anaweza kupanick kwa michango hapa jukwaani. Fahamu ww uko hapa jukwaani kumtumikia Gwajima, wakati mimi niko huru.
Kwahyo kama id yako n yazaman inakusaidia nin sasa
 
Hahaha tatizo chadema hata kwenye ukweli huwa kazi yao n kubisha na kupindisha tunawajua nyie hamtupi shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…