Halima Mdee: Mbowe alikuwa anatafuta huruma tu, hajawahi kuzungumza na Wazazi wangu

Halima Mdee: Mbowe alikuwa anatafuta huruma tu, hajawahi kuzungumza na Wazazi wangu

Huyu aachwe tu, naona anamtafuta wa kufa naye, baada ya kila aina ya ujinga aliofanya, anataka kumgeuzia Mbowe kibao aonekane mbaya.

Labda nimuulize kidogo, ikawaje akaenda kuibusu picha ya Magufuli akiwa marehemu licha ya madhambi aliyomfanyia jimbo la Kawe kwenye ule uchaguzi?

Ni ipi siri ya ule upendo wake, atuambie alifanyiwa nini na Magufuli sirini mpaka akajikuta anampenda wazi hadharani?
Siasa sio chuki mkuu....
Baada ya yote hawa watu hukaa chini na kula na kunywa pamoja...
 
Yaani Mdee yupo sahihi na ndiye anapendwa na watanzania kuliko makajanja yenu ya NGO iliyokufa. Kwa taarifa yako Mdee sasa ni maarufu kuzidi huyo mwenyekiti wenu gaidi wa hicho ki NGO chenu, na tena asubiri DPP atalifufua file afungwe
Kumbe bado upo hai!
 
Mbowe hana uadilifu wa kiuongozi hata kidogo. Ni muhuni huni tu. Mfano mdogo tu ni hizo sare mpya za chama, utadhani pendekezo la sare lilitolewa na Medie Kagere au John Bocco. CHADEMA ya sasa ovyo sana.
Hebu na wewe kuwa muhini tuone uwezo.wako!
 
Dj ni msanii sanii sana , tangu apange njama za kumuuwa Sabaya simwamini kabisa
Ulishamuamini magufuli kwa kuuza nyumba za umma kwa kajala hawala yake wa pale kebys? Ikiwa co mtumishi wa umma? Ulishawahi muamini magufuli kwa kununua ndege za umma bila kufuata sheria za manunuzi za Tanzania?
Uyaamini nn sasa zaidi?
 
Mdee ukiachwa achika...

alisikika mchora tattoo akisema
 
hao unaosema wanajua kutunza watu elewa wanawatunza si kwakuwa ni wanachama tu bali ni sehemu ya serikali,kumbuka wamekula kiapo kutunza siri za serikali sasa unamwachaje mtu kama huyo aende anavyotaka tu" tafakari"
Mzee Hassan Nassoro Moyo, Mansour Humid,Bernad Membe,Sofia Simba nk walifukuzwa chama gani? Seif Sharif Hammad alifukuzwa chama gani?
 
Huruma ya nini !!?? Si alipewa nafasi ya kujitetea kama alidhani anasingiziwa !! Kiburi kinamsumbua. Asonge mbele na maisha yaendelee !!
 
Yaani Mdee yupo sahihi na ndiye anapendwa na watanzania kuliko makajanja yenu ya NGO iliyokufa. Kwa taarifa yako Mdee sasa ni maarufu kuzidi huyo mwenyekiti wenu gaidi wa hicho ki NGO chenu, na tena asubiri DPP atalifufua file afungwe
Wewe ni shetani. Kama umempenda sana Mdee mpeni uanachama ccm na uwaziri juu.
 
Back
Top Bottom