Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sorry simtetei ila umeishia kudai ni muhuni lakin uhuni wake ukowapi ndio bado ujaweka waz hapaMbowe mhuni sana, mm niliwaambia, hata Mama Samia inabidi awe nae makini sana, Mbowe sio mtu wa kumkaribisha karibisha Ikulu, ni kuwa nae makini sana, mhuni.
Hii issue ya covid 19 imeihaibisha taasisi nyeti sana ya usalama yani itasumbua sana huko tuendako
"Freeman Mbowe aliamua kutafuta huruma tu kwa wajumbe wa Baraza Kuu kwa kunitajia wazazi wangu, hajawahi kuzungumza na wazazi wangu hata siku moja kuhusu sakata hili, Nilisikitika, na sikuwa na nafasi ya kujibu," kauli ya Halima Mdee mara baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kusema kuwa alizungumza na wazazi wake kuhusu kuuacha Ubunge alionao sasa.
Chanzo: Dar Mpya
What is important ni kuwa alikusihi na kuendelea kulamba asali ya mkeo bulaya!! bungeni
"Freeman Mbowe aliamua kutafuta huruma tu kwa wajumbe wa Baraza Kuu kwa kunitajia wazazi wangu, hajawahi kuzungumza na wazazi wangu hata siku moja kuhusu sakata hili, Nilisikitika, na sikuwa na nafasi ya kujibu," kauli ya Halima Mdee mara baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kusema kuwa alizungumza na wazazi wake kuhusu kuuacha Ubunge alionao sasa.
Chanzo: Dar Mpya
Hiyo movie ya senene kamtafuna muhaya itakuwa academy award winner!Halima, umegamble umeLost shut the f**k...usitengeneze film ya Senene kamla Mhaya.
So what?
"Freeman Mbowe aliamua kutafuta huruma tu kwa wajumbe wa Baraza Kuu kwa kunitajia wazazi wangu, hajawahi kuzungumza na wazazi wangu hata siku moja kuhusu sakata hili, Nilisikitika, na sikuwa na nafasi ya kujibu," kauli ya Halima Mdee mara baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kusema kuwa alizungumza na wazazi wake kuhusu kuuacha Ubunge alionao sasa.
Chanzo: Dar Mpya
CCM wakikununua lazima umtukane Mheshimiwa Mbowe.Binafsi naona kama hii ni vita kati ya Mbowe na Halima, na sio tena Chadema na Covid19
Na nakumbuka jana nilisoma quote moja ya mbowe akisema pale pale mbele ya baraza kwamba Halima yupo hapa apewe nafasi ya kupinga maneno kwamba yeye mbowe aliongea na wazazi wake yeye akakaa kimya means amekubaliana nae.Sawa. Na hakuongea nae Nairobi? Hakuongea nae wakati akiwa mahabusu? Na je ina maana kuwa angeongea na wazazi wake angebadilisha msimamo wake?
Naona kama anaelekea kwa wakina Lijualikali.
Amandla....
Wanaomhoji Hakina kwa sasa huwa wanakumbuka kumuuliza jinsi alivyofanikisha kwenda bungeni safari hii? Mchakato ulikuwaje?
hao unaosema wanajua kutunza watu elewa wanawatunza si kwakuwa ni wanachama tu bali ni sehemu ya serikali,kumbuka wamekula kiapo kutunza siri za serikali sasa unamwachaje mtu kama huyo aende anavyotaka tu" tafakari"Katika kitu ambacho CCM inawapiga bao upinzani ni uwezo wa kutunza watu ! Si kwamba hawakwaruzani bali misingi ya chama inatambua kuwa chamacha siasa chochote msingi wake ni watu .
Leo hii unampiga chini mdee! Je unakumbuka sakata la Makamba na Kinana au lile la Nape au lile la Lowasa hawa wote hawakuwahi kufukuzwa CCM kwakuwa “Mtu si Mbwa”
Kuna wanachama wengi wenye uwezo pengine hata kuzidi wakina Mdee lakini Halima Mdee ni mmoja na nguvu iliyotumika kumtengeneza haiwezi kuachwa iende bure .Huhitaji kuwa mbobezi wa siasa kujua kuwa Mdee akienda kokote akasimama na mwanamama au mwanasiasa yoyote ataleta ushindani kwani “There is no bad publicity” .
CDM lazima ijifunze kutunza watu hii trend imeanzia kwakina Zitto na wengine ni udhaifu wao mkubwa na inawachelewesha kupata walau wabunge 100 .
Wakati anapanga kumuua ulikuwa umesimama wapi?Nyau kabisa weye.Mauongo yamekujaa tu.Dj ni msanii sanii sana , tangu apange njama za kumuuwa Sabaya simwamini kabisa
Hapo ndipo wanapobugi CHADEMA,sina uhakika kama wamedhamiria kuwatimua kweli, inawezekana ikawa sinema tu hii.Katika kitu ambacho CCM inawapiga bao upinzani ni uwezo wa kutunza watu ! Si kwamba hawakwaruzani bali misingi ya chama inatambua kuwa chamacha siasa chochote msingi wake ni watu .
Leo hii unampiga chini mdee! Je unakumbuka sakata la Makamba na Kinana au lile la Nape au lile la Lowasa hawa wote hawakuwahi kufukuzwa CCM kwakuwa “Mtu si Mbwa”
Kuna wanachama wengi wenye uwezo pengine hata kuzidi wakina Mdee lakini Halima Mdee ni mmoja na nguvu iliyotumika kumtengeneza haiwezi kuachwa iende bure .Huhitaji kuwa mbobezi wa siasa kujua kuwa Mdee akienda kokote akasimama na mwanamama au mwanasiasa yoyote ataleta ushindani kwani “There is no bad publicity” .
CDM lazima ijifunze kutunza watu hii trend imeanzia kwakina Zitto na wengine ni udhaifu wao mkubwa na inawachelewesha kupata walau wabunge 100 .
Kazi ipo.
"Freeman Mbowe aliamua kutafuta huruma tu kwa wajumbe wa Baraza Kuu kwa kunitajia wazazi wangu, hajawahi kuzungumza na wazazi wangu hata siku moja kuhusu sakata hili, Nilisikitika, na sikuwa na nafasi ya kujibu," kauli ya Halima Mdee mara baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kusema kuwa alizungumza na wazazi wake kuhusu kuuacha Ubunge alionao sasa.
Chanzo: Dar Mpya
Duh mkuuHuyu aachwe tu, naona anamtafuta wa kufa naye, baada ya kila aina ya ujinga aliofanya, anataka kumgeuzia Mbowe kibao aonekane mbaya.
Labda nimuulize kidogo, ikawaje akaenda kuibusu picha ya Magufuli akiwa marehemu licha ya madhambi aliyomfanyia jimbo la Kawe kwenye ule uchaguzi?
Ni ipi siri ya ule upendo wake, atuambie alifanyiwa nini na Magufuli sirini mpaka akajikuta anampenda wazi hadharani?