Halima Mdee: Mbowe alikuwa anatafuta huruma tu, hajawahi kuzungumza na Wazazi wangu

Halima Mdee: Mbowe alikuwa anatafuta huruma tu, hajawahi kuzungumza na Wazazi wangu

Katika kitu ambacho CCM inawapiga bao upinzani ni uwezo wa kutunza watu ! Si kwamba hawakwaruzani bali misingi ya chama inatambua kuwa chamacha siasa chochote msingi wake ni watu .

Leo hii unampiga chini mdee! Je unakumbuka sakata la Makamba na Kinana au lile la Nape au lile la Lowasa hawa wote hawakuwahi kufukuzwa CCM kwakuwa “Mtu si Mbwa”

Kuna wanachama wengi wenye uwezo pengine hata kuzidi wakina Mdee lakini Halima Mdee ni mmoja na nguvu iliyotumika kumtengeneza haiwezi kuachwa iende bure .Huhitaji kuwa mbobezi wa siasa kujua kuwa Mdee akienda kokote akasimama na mwanamama au mwanasiasa yoyote ataleta ushindani kwani “There is no bad publicity” .

CDM lazima ijifunze kutunza watu hii trend imeanzia kwakina Zitto na wengine ni udhaifu wao mkubwa na inawachelewesha kupata walau wabunge 100 .
Tz ndio maana haitoboi kwasababu ccm haitaki kuwatupa mafisadi, wezi na wasaliti kwa sababu walitumia nguvu nyingi kuwajenga
 
Katika kitu ambacho CCM inawapiga bao upinzani ni uwezo wa kutunza watu ! Si kwamba hawakwaruzani bali misingi ya chama inatambua kuwa chamacha siasa chochote msingi wake ni watu .

Leo hii unampiga chini mdee! Je unakumbuka sakata la Makamba na Kinana au lile la Nape au lile la Lowasa hawa wote hawakuwahi kufukuzwa CCM kwakuwa “Mtu si Mbwa”

Kuna wanachama wengi wenye uwezo pengine hata kuzidi wakina Mdee lakini Halima Mdee ni mmoja na nguvu iliyotumika kumtengeneza haiwezi kuachwa iende bure .Huhitaji kuwa mbobezi wa siasa kujua kuwa Mdee akienda kokote akasimama na mwanamama au mwanasiasa yoyote ataleta ushindani kwani “There is no bad publicity” .

CDM lazima ijifunze kutunza watu hii trend imeanzia kwakina Zitto na wengine ni udhaifu wao mkubwa na inawachelewesha kupata walau wabunge 100 .

Utamtunza mtu anayekisaliti chama?chama kilikuwa kwenye kipindi cha mpito,yeye akaenda Bungen na akina mama wengine wakala kiapo,
 
Katika kitu ambacho CCM inawapiga bao upinzani ni uwezo wa kutunza watu ! Si kwamba hawakwaruzani bali misingi ya chama inatambua kuwa chamacha siasa chochote msingi wake ni watu .

Leo hii unampiga chini mdee! Je unakumbuka sakata la Makamba na Kinana au lile la Nape au lile la Lowasa hawa wote hawakuwahi kufukuzwa CCM kwakuwa “Mtu si Mbwa”

Kuna wanachama wengi wenye uwezo pengine hata kuzidi wakina Mdee lakini Halima Mdee ni mmoja na nguvu iliyotumika kumtengeneza haiwezi kuachwa iende bure .Huhitaji kuwa mbobezi wa siasa kujua kuwa Mdee akienda kokote akasimama na mwanamama au mwanasiasa yoyote ataleta ushindani kwani “There is no bad publicity” .

CDM lazima ijifunze kutunza watu hii trend imeanzia kwakina Zitto na wengine ni udhaifu wao mkubwa na inawachelewesha kupata walau wabunge 100 .

Unajua maana ya kutunza watu au unabwabwaja tu.Kutunza watu maana yake kuwapatia nafasi ambazo wanazo nyingi tu eg RC,DC.................
 
Mbowe alikuwa na three investments tangu enzi hizo.

1. Zitto Kabwe

2. Halima Mdee

3. John Mnyika

Hawa ni uwekezaji wa kwanza kabisa wa kisiasa wa mbowe.

Bila shaka alikuwa na matumaini kuwaachia chama hapo baadae kadri wanavyo mature politically.

Two investment turned to losses and disappointment.

Kabakiwa na investment moja (mnyika).

Sijui kama mnyika analielewa hili kwamba he is there to take full control of the party in near future.

Because he is the only dear son(politically) of mbowe.after the two rude kids went away.

Vijana wa chadema acheni tamaa mbowe hatoa mwenyekiti milele nyie ndio future ya hiko chama hapo baadae.

Inasikitisha sana.
Umemsahau Sugu hapo, ilo amenitamkia kwa mdomo wake kwamba Freeman ndio amemshawishi muda mrefu kujiunga Chadema ila Sugu hakuwa interested lakini baada ya kukutana na unyanyasaji wa kins Ruge kwenye deal ya Marelia no more ndipo aliporudi kwa Mbowe na kukata shauri.

Ukitaka kumjuwa vizuri Freeman ni mtu wa namna gani kaa na Wilfred Lwakatare atakueleza.

Kuna wakati chama hakina pesa na mambo yanatakiwa yaende hapo ndio unajuwa Freeman ni kichwa cha aina gani.

Jaribu kuwauliza watu huo mkutano wa baraza umegharimu sh ngapi kukodi ukumbi, kulipa posho wajumne, nauli na malazi, je Chadema hii ina hizo pesa kwenye account?

Siku Mbowe atastaafu Chadema ndio utaona wanafki wanavyommwagia sifa, Bob Makani alishindwa kukijengs hicho chama no money ikabidi amuachie Freeman.
 
Katika kitu ambacho CCM inawapiga bao upinzani ni uwezo wa kutunza watu ! Si kwamba hawakwaruzani bali misingi ya chama inatambua kuwa chamacha siasa chochote msingi wake ni watu .

Leo hii unampiga chini mdee! Je unakumbuka sakata la Makamba na Kinana au lile la Nape au lile la Lowasa hawa wote hawakuwahi kufukuzwa CCM kwakuwa “Mtu si Mbwa”

Kuna wanachama wengi wenye uwezo pengine hata kuzidi wakina Mdee lakini Halima Mdee ni mmoja na nguvu iliyotumika kumtengeneza haiwezi kuachwa iende bure .Huhitaji kuwa mbobezi wa siasa kujua kuwa Mdee akienda kokote akasimama na mwanamama au mwanasiasa yoyote ataleta ushindani kwani “There is no bad publicity” .

CDM lazima ijifunze kutunza watu hii trend imeanzia kwakina Zitto na wengine ni udhaifu wao mkubwa na inawachelewesha kupata walau wabunge 100 .
Umeshaanza kujamba, Sophia Simba na Benard Membe walifukuzwa na Chadema?

Msome baba yako wa Taifa hapa.

FHb_m5cWUAM6cVb.jpg
 
Membe alifukuzwa na Jiwe
Katika kitu ambacho CCM inawapiga bao upinzani ni uwezo wa kutunza watu ! Si kwamba hawakwaruzani bali misingi ya chama inatambua kuwa chamacha siasa chochote msingi wake ni watu .

Leo hii unampiga chini mdee! Je unakumbuka sakata la Makamba na Kinana au lile la Nape au lile la Lowasa hawa wote hawakuwahi kufukuzwa CCM kwakuwa “Mtu si Mbwa”

Kuna wanachama wengi wenye uwezo pengine hata kuzidi wakina Mdee lakini Halima Mdee ni mmoja na nguvu iliyotumika kumtengeneza haiwezi kuachwa iende bure .Huhitaji kuwa mbobezi wa siasa kujua kuwa Mdee akienda kokote akasimama na mwanamama au mwanasiasa yoyote ataleta ushindani kwani “There is no bad publicity” .

CDM lazima ijifunze kutunza watu hii trend imeanzia kwakina Zitto na wengine ni udhaifu wao mkubwa na inawachelewesha kupata walau wabunge 100 .
 
Hii ndio picha halisi ya wanasiasa wa kiafrica,tumbo zao first,kwa mfano hao cdm wakishawatoa kina mdee hao watakaowachagua kwenda bungeni wataenda kwa matokeo ya uchaguzi ule ule walioukataa hadi mdee akajipeleka bungeni au kutakua na uchaguzi mwingine!
 
Tutarithisha watoto wetu tabia za ajabu na haswa unongo na uzandiki
Halima mdee anataka kupata sypmath kwa jamii akijua fika kuwa alikosea !
Kukataa offer ile kwa wakati ule ilikuwa ni ngumu , ila kuongopa kwa wakati huu ni ngumu zaidi pia !
 
[emoji837] Maisha ndivyo yalivya

[emoji837] Unachukua katoto cha simba kalikotelekezwa kadogo, unakatunza , unakapa maziwa , kanakuwa urembo wa nyumba ,nnamaita petty kanakuwa fadhila yake kanakutafuna

[emoji837] Unamchukua ndugu yako choka mbaya kijijini, unamleta mjini unampa mradi wako anakuhujumu, anakufilisi na anaanza kujijenga na kukufanya uwe adui yake hadi nyumbani

[emoji837] Unamchukua demu wako choka mbaya, unaamua kumsomesha au kumfungulia biashara ili msaidiane kimaisha lakini baadaye anakutana na majitu mengine, anakugeuka na kuchukuliwa na majamaa mengine

[emoji837] Unamchukua mdogo wako unamfundisha maisha, unamsimamia , baada ya kuujua mji anaanza madharau, alikuwa anakusalimia brodher shikamoo sasa anakutaja kwa jina lako kitu ambacho zamani hakikuwepo
Chukua four cousins..popote nitalipa

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
🔴 Maisha ndivyo yalivya

🔴 Unachukua katoto cha simba kalikotelekezwa kadogo, unakatunza , unakapa maziwa , kanakuwa urembo wa nyumba ,nnamaita petty kanakuwa fadhila yake kanakutafuna

🔴 Unamchukua ndugu yako choka mbaya kijijini, unamleta mjini unampa mradi wako anakuhujumu, anakufilisi na anaanza kujijenga na kukufanya uwe adui yake hadi nyumbani

🔴 Unamchukua demu wako choka mbaya, unaamua kumsomesha au kumfungulia biashara ili msaidiane kimaisha lakini baadaye anakutana na majitu mengine, anakugeuka na kuchukuliwa na majamaa mengine

🔴 Unamchukua mdogo wako unamfundisha maisha, unamsimamia , baada ya kuujua mji anaanza madharau, alikuwa anakusalimia brodher shikamoo sasa anakutaja kwa jina lako kitu ambacho zamani hakikuwepo
Mkuu hili ni funzo. Alianza Zitto, wakaja kina Lijuakali na leo Mdee. Hapa unafundishwa kwamba hata ndugu unatakiwa kwenda naye Win-Win situation
 

"Freeman Mbowe aliamua kutafuta huruma tu kwa wajumbe wa Baraza Kuu kwa kunitajia wazazi wangu, hajawahi kuzungumza na wazazi wangu hata siku moja kuhusu sakata hili, Nilisikitika, na sikuwa na nafasi ya kujibu," kauli ya Halima Mdee mara baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kusema kuwa alizungumza na wazazi wake kuhusu kuuacha Ubunge alionao sasa.

Chanzo: Dar Mpya
Hata wangeachwa ni sawa tu. Zchadema haiwalipi chochote tunaoumia ni wananchi pesa zetu zinachezewa.wangeachwa tu baada ya miaka mitano wanaondoka zao.kwanza hakuna jimbo lolote wanawakilisha binafsi naona hakuna impact yoyote zaidi ya kutuumiza wananchi.
 
Back
Top Bottom