Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Kule alienda kwa kesi nyingine. Hiyo unayodai ww kwann msifungue nyingine?Aliachiwa kwa mbeleko ya mama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kule alienda kwa kesi nyingine. Hiyo unayodai ww kwann msifungue nyingine?Aliachiwa kwa mbeleko ya mama
Tz ndio maana haitoboi kwasababu ccm haitaki kuwatupa mafisadi, wezi na wasaliti kwa sababu walitumia nguvu nyingi kuwajengaKatika kitu ambacho CCM inawapiga bao upinzani ni uwezo wa kutunza watu ! Si kwamba hawakwaruzani bali misingi ya chama inatambua kuwa chamacha siasa chochote msingi wake ni watu .
Leo hii unampiga chini mdee! Je unakumbuka sakata la Makamba na Kinana au lile la Nape au lile la Lowasa hawa wote hawakuwahi kufukuzwa CCM kwakuwa “Mtu si Mbwa”
Kuna wanachama wengi wenye uwezo pengine hata kuzidi wakina Mdee lakini Halima Mdee ni mmoja na nguvu iliyotumika kumtengeneza haiwezi kuachwa iende bure .Huhitaji kuwa mbobezi wa siasa kujua kuwa Mdee akienda kokote akasimama na mwanamama au mwanasiasa yoyote ataleta ushindani kwani “There is no bad publicity” .
CDM lazima ijifunze kutunza watu hii trend imeanzia kwakina Zitto na wengine ni udhaifu wao mkubwa na inawachelewesha kupata walau wabunge 100 .
Katika kitu ambacho CCM inawapiga bao upinzani ni uwezo wa kutunza watu ! Si kwamba hawakwaruzani bali misingi ya chama inatambua kuwa chamacha siasa chochote msingi wake ni watu .
Leo hii unampiga chini mdee! Je unakumbuka sakata la Makamba na Kinana au lile la Nape au lile la Lowasa hawa wote hawakuwahi kufukuzwa CCM kwakuwa “Mtu si Mbwa”
Kuna wanachama wengi wenye uwezo pengine hata kuzidi wakina Mdee lakini Halima Mdee ni mmoja na nguvu iliyotumika kumtengeneza haiwezi kuachwa iende bure .Huhitaji kuwa mbobezi wa siasa kujua kuwa Mdee akienda kokote akasimama na mwanamama au mwanasiasa yoyote ataleta ushindani kwani “There is no bad publicity” .
CDM lazima ijifunze kutunza watu hii trend imeanzia kwakina Zitto na wengine ni udhaifu wao mkubwa na inawachelewesha kupata walau wabunge 100 .
Katika kitu ambacho CCM inawapiga bao upinzani ni uwezo wa kutunza watu ! Si kwamba hawakwaruzani bali misingi ya chama inatambua kuwa chamacha siasa chochote msingi wake ni watu .
Leo hii unampiga chini mdee! Je unakumbuka sakata la Makamba na Kinana au lile la Nape au lile la Lowasa hawa wote hawakuwahi kufukuzwa CCM kwakuwa “Mtu si Mbwa”
Kuna wanachama wengi wenye uwezo pengine hata kuzidi wakina Mdee lakini Halima Mdee ni mmoja na nguvu iliyotumika kumtengeneza haiwezi kuachwa iende bure .Huhitaji kuwa mbobezi wa siasa kujua kuwa Mdee akienda kokote akasimama na mwanamama au mwanasiasa yoyote ataleta ushindani kwani “There is no bad publicity” .
CDM lazima ijifunze kutunza watu hii trend imeanzia kwakina Zitto na wengine ni udhaifu wao mkubwa na inawachelewesha kupata walau wabunge 100 .
Umemsahau Sugu hapo, ilo amenitamkia kwa mdomo wake kwamba Freeman ndio amemshawishi muda mrefu kujiunga Chadema ila Sugu hakuwa interested lakini baada ya kukutana na unyanyasaji wa kins Ruge kwenye deal ya Marelia no more ndipo aliporudi kwa Mbowe na kukata shauri.Mbowe alikuwa na three investments tangu enzi hizo.
1. Zitto Kabwe
2. Halima Mdee
3. John Mnyika
Hawa ni uwekezaji wa kwanza kabisa wa kisiasa wa mbowe.
Bila shaka alikuwa na matumaini kuwaachia chama hapo baadae kadri wanavyo mature politically.
Two investment turned to losses and disappointment.
Kabakiwa na investment moja (mnyika).
Sijui kama mnyika analielewa hili kwamba he is there to take full control of the party in near future.
Because he is the only dear son(politically) of mbowe.after the two rude kids went away.
Vijana wa chadema acheni tamaa mbowe hatoa mwenyekiti milele nyie ndio future ya hiko chama hapo baadae.
Inasikitisha sana.
Umeshaanza kujamba, Sophia Simba na Benard Membe walifukuzwa na Chadema?Katika kitu ambacho CCM inawapiga bao upinzani ni uwezo wa kutunza watu ! Si kwamba hawakwaruzani bali misingi ya chama inatambua kuwa chamacha siasa chochote msingi wake ni watu .
Leo hii unampiga chini mdee! Je unakumbuka sakata la Makamba na Kinana au lile la Nape au lile la Lowasa hawa wote hawakuwahi kufukuzwa CCM kwakuwa “Mtu si Mbwa”
Kuna wanachama wengi wenye uwezo pengine hata kuzidi wakina Mdee lakini Halima Mdee ni mmoja na nguvu iliyotumika kumtengeneza haiwezi kuachwa iende bure .Huhitaji kuwa mbobezi wa siasa kujua kuwa Mdee akienda kokote akasimama na mwanamama au mwanasiasa yoyote ataleta ushindani kwani “There is no bad publicity” .
CDM lazima ijifunze kutunza watu hii trend imeanzia kwakina Zitto na wengine ni udhaifu wao mkubwa na inawachelewesha kupata walau wabunge 100 .
Vita hiyo ndio haiwezi kabisa, kashindwa Zitto Kabwe ambaye ni smart kuliko huyo Halima.Binafsi naona kama hii ni vita kati ya Mbowe na Halima, na sio tena Chadema na Covid19
Usimnayamazishe, ewe chawa wa Samia na MboweHalima umegamble umeLost shut the f**k...usitengeneze filim ya Senene kamla Mhaya.
Katika kitu ambacho CCM inawapiga bao upinzani ni uwezo wa kutunza watu ! Si kwamba hawakwaruzani bali misingi ya chama inatambua kuwa chamacha siasa chochote msingi wake ni watu .
Leo hii unampiga chini mdee! Je unakumbuka sakata la Makamba na Kinana au lile la Nape au lile la Lowasa hawa wote hawakuwahi kufukuzwa CCM kwakuwa “Mtu si Mbwa”
Kuna wanachama wengi wenye uwezo pengine hata kuzidi wakina Mdee lakini Halima Mdee ni mmoja na nguvu iliyotumika kumtengeneza haiwezi kuachwa iende bure .Huhitaji kuwa mbobezi wa siasa kujua kuwa Mdee akienda kokote akasimama na mwanamama au mwanasiasa yoyote ataleta ushindani kwani “There is no bad publicity” .
CDM lazima ijifunze kutunza watu hii trend imeanzia kwakina Zitto na wengine ni udhaifu wao mkubwa na inawachelewesha kupata walau wabunge 100 .
Wangoja nini kupeleka vielelezo vyako polisi?Dj ni msanii sanii sana , tangu apange njama za kumuuwa Sabaya simwamini kabisa
Povu la magwanjiUsimnayamazishe, ewe chawa wa Samia na Mbowe
Chukua four cousins..popote nitalipa[emoji837] Maisha ndivyo yalivya
[emoji837] Unachukua katoto cha simba kalikotelekezwa kadogo, unakatunza , unakapa maziwa , kanakuwa urembo wa nyumba ,nnamaita petty kanakuwa fadhila yake kanakutafuna
[emoji837] Unamchukua ndugu yako choka mbaya kijijini, unamleta mjini unampa mradi wako anakuhujumu, anakufilisi na anaanza kujijenga na kukufanya uwe adui yake hadi nyumbani
[emoji837] Unamchukua demu wako choka mbaya, unaamua kumsomesha au kumfungulia biashara ili msaidiane kimaisha lakini baadaye anakutana na majitu mengine, anakugeuka na kuchukuliwa na majamaa mengine
[emoji837] Unamchukua mdogo wako unamfundisha maisha, unamsimamia , baada ya kuujua mji anaanza madharau, alikuwa anakusalimia brodher shikamoo sasa anakutaja kwa jina lako kitu ambacho zamani hakikuwepo
Inawezekana hata Mwendazake kauwawa na DJ pia.Si alipelekwa mahakamani mkaanza kulialia eti mbowe sio gaidi.
Mkuu hili ni funzo. Alianza Zitto, wakaja kina Lijuakali na leo Mdee. Hapa unafundishwa kwamba hata ndugu unatakiwa kwenda naye Win-Win situation🔴 Maisha ndivyo yalivya
🔴 Unachukua katoto cha simba kalikotelekezwa kadogo, unakatunza , unakapa maziwa , kanakuwa urembo wa nyumba ,nnamaita petty kanakuwa fadhila yake kanakutafuna
🔴 Unamchukua ndugu yako choka mbaya kijijini, unamleta mjini unampa mradi wako anakuhujumu, anakufilisi na anaanza kujijenga na kukufanya uwe adui yake hadi nyumbani
🔴 Unamchukua demu wako choka mbaya, unaamua kumsomesha au kumfungulia biashara ili msaidiane kimaisha lakini baadaye anakutana na majitu mengine, anakugeuka na kuchukuliwa na majamaa mengine
🔴 Unamchukua mdogo wako unamfundisha maisha, unamsimamia , baada ya kuujua mji anaanza madharau, alikuwa anakusalimia brodher shikamoo sasa anakutaja kwa jina lako kitu ambacho zamani hakikuwepo
Hata wangeachwa ni sawa tu. Zchadema haiwalipi chochote tunaoumia ni wananchi pesa zetu zinachezewa.wangeachwa tu baada ya miaka mitano wanaondoka zao.kwanza hakuna jimbo lolote wanawakilisha binafsi naona hakuna impact yoyote zaidi ya kutuumiza wananchi.
"Freeman Mbowe aliamua kutafuta huruma tu kwa wajumbe wa Baraza Kuu kwa kunitajia wazazi wangu, hajawahi kuzungumza na wazazi wangu hata siku moja kuhusu sakata hili, Nilisikitika, na sikuwa na nafasi ya kujibu," kauli ya Halima Mdee mara baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kusema kuwa alizungumza na wazazi wake kuhusu kuuacha Ubunge alionao sasa.
Chanzo: Dar Mpya