Halima Mdee: Mbowe alikuwa anatafuta huruma tu, hajawahi kuzungumza na Wazazi wangu

Halima Mdee: Mbowe alikuwa anatafuta huruma tu, hajawahi kuzungumza na Wazazi wangu

Hakuna vita wakati Mzee Mdee anajulikana n msaliti tu.Na pia kwa ss c mwanachama w chadema. Akizungumza zaidi ataonekana n anatumiaka na ccm.
Vitabu vya dini vinasema usimtegeme binadamu wao wakaona wajanja kipindi cha mwenda zake. Mbunge anaapishiwa garage?
Yaani Mdee yupo sahihi na ndiye anapendwa na watanzania kuliko makajanja yenu ya NGO iliyokufa. Kwa taarifa yako Mdee sasa ni maarufu kuzidi huyo mwenyekiti wenu gaidi wa hicho ki NGO chenu, na tena asubiri DPP atalifufua file afungwe
 
Hili sakata ukilifikiria sana kama kuna kitu nyuma yke bt bado hatujaweza kung'amua na Leo inasemekana wamwtinga bungen

Sent from my LG-H910 using JamiiForums mobile app
 
Katika kitu ambacho CCM inawapiga bao upinzani ni uwezo wa kutunza watu ! Si kwamba hawakwaruzani bali misingi ya chama inatambua kuwa chamacha siasa chochote msingi wake ni watu .

Leo hii unampiga chini mdee! Je unakumbuka sakata la Makamba na Kinana au lile la Nape au lile la Lowasa hawa wote hawakuwahi kufukuzwa CCM kwakuwa “Mtu si Mbwa”

Kuna wanachama wengi wenye uwezo pengine hata kuzidi wakina Mdee lakini Halima Mdee ni mmoja na nguvu iliyotumika kumtengeneza haiwezi kuachwa iende bure .Huhitaji kuwa mbobezi wa siasa kujua kuwa Mdee akienda kokote akasimama na mwanamama au mwanasiasa yoyote ataleta ushindani kwani “There is no bad publicity” .

CDM lazima ijifunze kutunza watu hii trend imeanzia kwakina Zitto na wengine ni udhaifu wao mkubwa na inawachelewesha kupata walau wabunge 100 .
Hata kama msingi wa siasa ni watu, kukaa na watu wasiofuata sheria na taratibu za vyama vyao ni sawa na kumkumbatia nyoka, atakugonga any time.

Hao CCM pamoja na kuwa retain kina Lowassa na Makambo lakini bado wanategemea rafu kwenye uchaguzi ili washinde, tofauti na Chadema, ambao licha ya kuwafukuza wasaliti wake, bado kinaendelea kuwa chama cha upinzani chenye nguvu nchini.
 
Katika kitu ambacho CCM inawapiga bao upinzani ni uwezo wa kutunza watu ! Si kwamba hawakwaruzani bali misingi ya chama inatambua kuwa chamacha siasa chochote msingi wake ni watu .

Leo hii unampiga chini mdee! Je unakumbuka sakata la Makamba na Kinana au lile la Nape au lile la Lowasa hawa wote hawakuwahi kufukuzwa CCM kwakuwa “Mtu si Mbwa”

Kuna wanachama wengi wenye uwezo pengine hata kuzidi wakina Mdee lakini Halima Mdee ni mmoja na nguvu iliyotumika kumtengeneza haiwezi kuachwa iende bure .Huhitaji kuwa mbobezi wa siasa kujua kuwa Mdee akienda kokote akasimama na mwanamama au mwanasiasa yoyote ataleta ushindani kwani “There is no bad publicity” .

CDM lazima ijifunze kutunza watu hii trend imeanzia kwakina Zitto na wengine ni udhaifu wao mkubwa na inawachelewesha kupata walau wabunge 100 .
Yaani Mdee tunamuomba aje CCM tulisongeshe. Bulaya na wengine wote waje CCM. Mdee ni hazina na ni kichwa sana kuzidi mr zero
 
Yaani sijui mbowe kawapa pipi. Yaani kufuata sheria??? Mbona yeye kavunja katiba kwa kuendelea kuwa mwenyekiti, na ukiutaka anakuua
 
Halima umegamble umeLost shut the f**k...usitengeneze filim ya Senene kamla Mhaya.
Filim ndo nn.... anyway nadhan itauza sana.... ni wazo jipya ambalo halikjwahi kudhaniwa kutokea... kila kitu kinawezekana chini ya jua...
 
Yaani Mdee tunamuomba aje CCM tulisongeshe. Bulaya na wengine wote waje CCM. Mdee ni hazina na ni kichwa sana kuzidi mr zero
Makapi yote toka Chadema huwa mnayapokea, hata wale wanaoonekana mazezeta wakiwa Chadema, wakija CCM hugeuka genius.
 
Huyu aachwe tu, naona anamtafuta wa kufa naye, baada ya kila aina ya ujinga aliofanya, anataka kumgeuzia Mbowe kibao aonekane mbaya.

Labda nimuulize kidogo, ikawaje akaenda kuibusu picha ya Magufuli akiwa marehemu licha ya madhambi aliyomfanyia jimbo la Kawe kwenye ule uchaguzi?

Ni ipi siri ya ule upendo wake, atuambie alifanyiwa nini na Magufuli sirini mpaka akajikuta anampenda wazi hadharani?
Duh usaliti ulikuwa deep kiasi hiki. Halima hafai.
 

"Freeman Mbowe aliamua kutafuta huruma tu kwa wajumbe wa Baraza Kuu kwa kunitajia wazazi wangu,hajawahi kuzungumza na wazazi wangu hata siku moja kuhusu sakata hili, Nilisikitika, na sikuwa na nafasi ya kujibu," kauli ya Halima Mdee mara baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kusema kuwa alizungumza na wazazi wake kuhusu kuuacha Ubunge alionao sasa.

Chanzo: Dar Mpya
ni hulka ya binadamu baada ya kujiona amepata uwezo hudharau hadi wazazi au waliomkuza... wee mzee halima umewaponza wenzio kwa tamaa zako
 
Labda nimuulize kidogo, ikawaje akaenda kuibusu picha ya Magufuli akiwa marehemu licha ya madhambi aliyomfanyia jimbo la Kawe kwenye ule uchaguzi?

Ni ipi siri ya ule upendo wake, atuambie alifanyiwa nini na Magufuli sirini mpaka akajikuta anampenda wazi hadharani?

Hilo swali labda ungeweza kulijibu wewe kwa maana kama “aliyefanyiwa ubaya“ kabusu Picha ya Magu (RIP) to show respect for the man, iweje wewe ambaye siyo muhusika uone sio sawa ? Labda huo ubaya unaousema siyo kweli na kwamba hata wewe umeaminishwa jambo la uongo kwa maana muhusika haoni hivyo ?
 
Back
Top Bottom