[emoji837] Maisha ndivyo yalivya
[emoji837] Unachukua katoto cha simba kalikotelekezwa kadogo, unakatunza , unakapa maziwa , kanakuwa urembo wa nyumba ,nnamaita petty kanakuwa fadhila yake kanakutafuna
[emoji837] Unamchukua ndugu yako choka mbaya kijijini, unamleta mjini unampa mradi wako anakuhujumu, anakufilisi na anaanza kujijenga na kukufanya uwe adui yake hadi nyumbani
[emoji837] Unamchukua demu wako choka mbaya, unaamua kumsomesha au kumfungulia biashara ili msaidiane kimaisha lakini baadaye anakutana na majitu mengine, anakugeuka na kuchukuliwa na majamaa mengine
[emoji837] Unamchukua mdogo wako unamfundisha maisha, unamsimamia , baada ya kuujua mji anaanza madharau, alikuwa anakusalimia brodher shikamoo sasa anakutaja kwa jina lako kitu ambacho zamani hakikuwepo