Halima Mdee: Mbowe alikuwa anatafuta huruma tu, hajawahi kuzungumza na Wazazi wangu

Halima Mdee: Mbowe alikuwa anatafuta huruma tu, hajawahi kuzungumza na Wazazi wangu

Katika kitu ambacho CCM inawapiga bao upinzani ni uwezo wa kutunza watu ! Si kwamba hawakwaruzani bali misingi ya chama inatambua kuwa chamacha siasa chochote msingi wake ni watu .

Leo hii unampiga chini mdee! Je unakumbuka sakata la Makamba na Kinana au lile la Nape au lile la Lowasa hawa wote hawakuwahi kufukuzwa CCM kwakuwa “Mtu si Mbwa”

Kuna wanachama wengi wenye uwezo pengine hata kuzidi wakina Mdee lakini Halima Mdee ni mmoja na nguvu iliyotumika kumtengeneza haiwezi kuachwa iende bure .Huhitaji kuwa mbobezi wa siasa kujua kuwa Mdee akienda kokote akasimama na mwanamama au mwanasiasa yoyote ataleta ushindani kwani “There is no bad publicity” .

CDM lazima ijifunze kutunza watu hii trend imeanzia kwakina Zitto na wengine ni udhaifu wao mkubwa na inawachelewesha kupata walau wabunge 100 .
Hauwezi kuelewekana watu wenye mihemko na akili za kufuata upepo wa kimakundi.
 
Katika kitu ambacho CCM inawapiga bao upinzani ni uwezo wa kutunza watu ! Si kwamba hawakwaruzani bali misingi ya chama inatambua kuwa chamacha siasa chochote msingi wake ni watu .

Leo hii unampiga chini mdee! Je unakumbuka sakata la Makamba na Kinana au lile la Nape au lile la Lowasa hawa wote hawakuwahi kufukuzwa CCM kwakuwa “Mtu si Mbwa”

Kuna wanachama wengi wenye uwezo pengine hata kuzidi wakina Mdee lakini Halima Mdee ni mmoja na nguvu iliyotumika kumtengeneza haiwezi kuachwa iende bure .Huhitaji kuwa mbobezi wa siasa kujua kuwa Mdee akienda kokote akasimama na mwanamama au mwanasiasa yoyote ataleta ushindani kwani “There is no bad publicity” .

CDM lazima ijifunze kutunza watu hii trend imeanzia kwakina Zitto na wengine ni udhaifu wao mkubwa na inawachelewesha kupata walau wabunge 100 .
Well said Mkuu
 
Mbowe alikuwa na three investments tangu enzi hizo.

1. Zitto Kabwe

2. Halima Mdee

3. John Mnyika

Hawa ni uwekezaji wa kwanza kabisa wa kisiasa wa mbowe.

Bila shaka alikuwa na matumaini kuwaachia chama hapo baadae kadri wanavyo mature politically.

Two investment turned to losses and disappointment.

Kabakiwa na investment moja (mnyika).

Sijui kama mnyika analielewa hili kwamba he is there to take full control of the party in near future.

Because he is the only dear son(politically) of mbowe.after the two rude kids went away.

Vijana wa chadema acheni tamaa mbowe hatoa mwenyekiti milele nyie ndio future ya hiko chama hapo baadae.

Inasikitisha sana.
 
Katika kitu ambacho CCM inawapiga bao upinzani ni uwezo wa kutunza watu ! Si kwamba hawakwaruzani bali misingi ya chama inatambua kuwa chamacha siasa chochote msingi wake ni watu .

Leo hii unampiga chini mdee! Je unakumbuka sakata la Makamba na Kinana au lile la Nape au lile la Lowasa hawa wote hawakuwahi kufukuzwa CCM kwakuwa “Mtu si Mbwa”

Kuna wanachama wengi wenye uwezo pengine hata kuzidi wakina Mdee lakini Halima Mdee ni mmoja na nguvu iliyotumika kumtengeneza haiwezi kuachwa iende bure .Huhitaji kuwa mbobezi wa siasa kujua kuwa Mdee akienda kokote akasimama na mwanamama au mwanasiasa yoyote ataleta ushindani kwani “There is no bad publicity” .

CDM lazima ijifunze kutunza watu hii trend imeanzia kwakina Zitto na wengine ni udhaifu wao mkubwa na inawachelewesha kupata walau wabunge 100 .
Hivi kwa walichokifanya kina Mdee na wenzake unakichukulia poa?

Hivi ingekua ni jeshini wangekuwa wapi sasa hivi hao kina mama yeyoo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha weeee!!!
Yaani Mdee yupo sahihi na ndiye anapendwa na watanzania kuliko makajanja yenu ya NGO iliyokufa. Kwa taarifa yako Mdee sasa ni maarufu kuzidi huyo mwenyekiti wenu gaidi wa hicho ki NGO chenu, na tena asubiri DPP atalifufua file afungwe
 
Yaani Mdee yupo sahihi na ndiye anapendwa na watanzania kuliko makajanja yenu ya NGO iliyokufa. Kwa taarifa yako Mdee sasa ni maarufu kuzidi huyo mwenyekiti wenu gaidi wa hicho ki NGO chenu, na tena asubiri DPP atalifufua file afungwe
Mdee anapendwa na babako labda

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
 
Hakuwa na muda wakati freeman aliwaita mbele waseme kama ni uongo
Lakin kamanda kiboko 😀😀😀 "eti kama wanabisha haya ni uongo waje waongee hapa mbele" ss sijui halima angeenda ingekuwa ni mabishano au vp
 

"Freeman Mbowe aliamua kutafuta huruma tu kwa wajumbe wa Baraza Kuu kwa kunitajia wazazi wangu,hajawahi kuzungumza na wazazi wangu hata siku moja kuhusu sakata hili, Nilisikitika, na sikuwa na nafasi ya kujibu," kauli ya Halima Mdee mara baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kusema kuwa alizungumza na wazazi wake kuhusu kuuacha Ubunge alionao sasa.

Chanzo: Dar Mpya

Halima Mdee, Kwanini Mbowe kuzungumza na Mume wako?​

 

"Freeman Mbowe aliamua kutafuta huruma tu kwa wajumbe wa Baraza Kuu kwa kunitajia wazazi wangu,hajawahi kuzungumza na wazazi wangu hata siku moja kuhusu sakata hili, Nilisikitika, na sikuwa na nafasi ya kujibu," kauli ya Halima Mdee mara baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kusema kuwa alizungumza na wazazi wake kuhusu kuuacha Ubunge alionao sasa.

Chanzo: Dar Mpya
Siasa za hii nchi ni 'comedy' tupu

Yoda Matola Frank Wanjiru Maghayo
 
Hakuna vita wakati Mzee Mdee anajulikana n msaliti tu.Na pia kwa ss c mwanachama w chadema. Akizungumza zaidi ataonekana n anatumiaka na ccm.
Vitabu vya dini vinasema usimtegeme binadamu wao wakaona wajanja kipindi cha mwenda zake. Mbunge anaapishiwa garage?
Hivi kweli Kwa uchaguzi ulivyovurugwa na Halima mwenyewe kukamata wizi WA kura, na baada ya yote hayo anakwenda kujiunga na watesi wake na huku anataka asionekane ni msaliti!! Hiyo Dunia ya hivyo Bado Mungu hajaiumba
 
[emoji837] Maisha ndivyo yalivya

[emoji837] Unachukua katoto cha simba kalikotelekezwa kadogo, unakatunza , unakapa maziwa , kanakuwa urembo wa nyumba ,nnamaita petty kanakuwa fadhila yake kanakutafuna

[emoji837] Unamchukua ndugu yako choka mbaya kijijini, unamleta mjini unampa mradi wako anakuhujumu, anakufilisi na anaanza kujijenga na kukufanya uwe adui yake hadi nyumbani

[emoji837] Unamchukua demu wako choka mbaya, unaamua kumsomesha au kumfungulia biashara ili msaidiane kimaisha lakini baadaye anakutana na majitu mengine, anakugeuka na kuchukuliwa na majamaa mengine

[emoji837] Unamchukua mdogo wako unamfundisha maisha, unamsimamia , baada ya kuujua mji anaanza madharau, alikuwa anakusalimia brodher shikamoo sasa anakutaja kwa jina lako kitu ambacho zamani hakikuwepo
Unachukua lijitu unalipa ubunge uwaziri then Uraisu af linaanza kusakama kwamba wewe fisadi unawaza gamba nk, binaadamu habebeki anateleza tu
 

"Freeman Mbowe aliamua kutafuta huruma tu kwa wajumbe wa Baraza Kuu kwa kunitajia wazazi wangu,hajawahi kuzungumza na wazazi wangu hata siku moja kuhusu sakata hili, Nilisikitika, na sikuwa na nafasi ya kujibu," kauli ya Halima Mdee mara baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kusema kuwa alizungumza na wazazi wake kuhusu kuuacha Ubunge alionao sasa.

Chanzo: Dar Mpya
Halima nakuonya kaa kimia, tena funga mdomo, hujui kwamba chama kikubwa kuliko yoyote ila elewa hakuna aliefurahi moyoni kukupoteza katika chama ,Kama sio ujinga na ulimbukeni wako tena baada ya kuwa na mafanikio kisiasa lakini pia nguvu kubwa uliotumia kujenga chama, achana na hao wapumbavu wengine ,

Nakushauri achana na malumbano ya kijinga kaa na tafakari , utapata jibu lipi la kufanya kuliko malumbano yasiyokua na tija

Wakati umetoka gerezani ulimleta mpaka mzee ,baba YAKO unafikili anajisikiaje moyoni hata Kama hawezi kukwambia maana ni mwanae ,kaa kimia nasema
 
Katika kitu ambacho CCM inawapiga bao upinzani ni uwezo wa kutunza watu ! Si kwamba hawakwaruzani bali misingi ya chama inatambua kuwa chamacha siasa chochote msingi wake ni watu .

Leo hii unampiga chini mdee! Je unakumbuka sakata la Makamba na Kinana au lile la Nape au lile la Lowasa hawa wote hawakuwahi kufukuzwa CCM kwakuwa “Mtu si Mbwa”

Kuna wanachama wengi wenye uwezo pengine hata kuzidi wakina Mdee lakini Halima Mdee ni mmoja na nguvu iliyotumika kumtengeneza haiwezi kuachwa iende bure .Huhitaji kuwa mbobezi wa siasa kujua kuwa Mdee akienda kokote akasimama na mwanamama au mwanasiasa yoyote ataleta ushindani kwani “There is no bad publicity” .

CDM lazima ijifunze kutunza watu hii trend imeanzia kwakina Zitto na wengine ni udhaifu wao mkubwa na inawachelewesha kupata walau wabunge 100 .
Una akili ya kimasikini. Utapata taabu sana ukiishi kwa kutegemea watu. Hujajifunza tu kwa Ndungai na Sabaya??
 
Back
Top Bottom