digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Lissu na mbowe kule waliko wanajinyea sasa hivi, madaktari wao wawe karibu, presha lazima ziwe juu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi inawezekana kwa mtu mzima mwenye akili zake timamu mwanachama kindakindaki akashawishiwa kirahisirahisi hivyo. Wewe unaweza kushawishiwa kwa namna hiyo.Ukweli ulikuwa upi zaidi ya kushawishiwa na CCM na kuwarubuni..... hawa wadada wakajisahau namna walivyokuwa wanavurumishwa na hao hao ambao leo wamewakumbatia.
Pia ccm imewatendea watz unyama wa kishetani... Yupo wapi ben saa8, mawazo, azory, diwan kilombero, katibu ananasifu? Kwenu kuua na kutesa n km dua na sio manyanyaso!Tunawasubiri kwa ham watupe ukweli wa manyanyaso ndani ya chadema, kuna watu wametendewa mabaya sn ndani ya chadema
Wajishushe, maisha yaendelee ndani ya CDM.
Wamefanya jmbo la maaana watakua kama Lijualikali alitukana sana mwisho wa siku what happenChadema walifanya makosa makubwa Sana kuwafukuza wabunge wao bila ya kubaini ukweli wa Jambo lenyewe
Hakika binadamu hubadilika!Wabunge 19 viti maalum kupitia CHADEMA ambao waliapishwa na Spika Ndugai kisha kufutiwa uanachama na chama chao leo wanaongea na waandishi wa habari. Tayari wabunge hao wanawake wamefika ukumbi wa Regency wakiwa wamevalia sare za CHADEMA almaarufu 'Gwanda'. Kuwa nami kukujuza watachokiongea.
=========
9:32 Asubuhi: Halima Mdee na Ester Bulaya kufika baada ya dakika kumi kutokana na kuchelewa
Kumbe mkuu una cheap politics kiasi hiki-Nilikuwa nadhan unajenga arguments based on facts ila hapa hapana aiseeAu sababu ni kwamba kwa kuwa Mbowe ameshindwa ubunge basi wote msiende bungeni?
Kama wanatendewa mabaya na CHADEMA si waondoke sasa huko CHADEMA kwani wamelazimishwa kuwa wanachama wakeTunawasubiri kwa ham watupe ukweli wa manyanyaso ndani ya chadema, kuna watu wametendewa mabaya sn ndani ya chadema
Chezea pesa siyo ajira!Natarajia kuwa watakubaliana na uamuzi wa CDM
Kuto kutii hayo ni kujipolomosha kisiasa na ni kushindana na taasisi ambayo huto weza kushinda kamwe na ukishinda ni kwa figisu ambazo hazito kusaidia maana una someka sio mwenzao...
Pia nategemea nitasikia wakisema tuna jiuzuru nyazifa za ubunge viti maalum kwa kuwa tulifikiri tofauti na kuzani zina baraka ya chama kumbe hapana...
Mambo rahisi sana nashangaa wana jitutumua pasina msingi wowote
NB:
Chukueni mfano wa Mh. Mwanadiplomasia nguli B. Membe alishindana na chama lakini hakushinda, aliishia kukubaliana na maanlmuzi ya chama na kukaaa pembeni
Picha inajieleza zaidi nadhani kuliko watakayoongea!Wabunge 19 viti maalum kupitia CHADEMA ambao waliapishwa na Spika Ndugai kisha kufutiwa uanachama na chama chao leo wanaongea na waandishi wa habari. Tayari wabunge hao wanawake wamefika ukumbi wa Regency wakiwa wamevalia sare za CHADEMA almaarufu 'Gwanda'. Kuwa nami kukujuza watachokiongea.
=========
9:32 Asubuhi: Halima Mdee na Ester Bulaya kufika baada ya dakika kumi kutokana na kuchelewa
9:45 Asubuhi: Halima Mdee na Ester Bulaya wameingia ukumbini