Halima Mdee: Mimi pamoja na timu yangu (Wabunge 19) tutabaki kuwa WanaCHADEMA kindakindaki. Tutaenda kuyajenga ndani kwetu

Ukweli ulikuwa upi zaidi ya kushawishiwa na CCM na kuwarubuni..... hawa wadada wakajisahau namna walivyokuwa wanavurumishwa na hao hao ambao leo wamewakumbatia.
Hivi inawezekana kwa mtu mzima mwenye akili zake timamu mwanachama kindakindaki akashawishiwa kirahisirahisi hivyo. Wewe unaweza kushawishiwa kwa namna hiyo.
 
Tunawasubiri kwa ham watupe ukweli wa manyanyaso ndani ya chadema, kuna watu wametendewa mabaya sn ndani ya chadema
Pia ccm imewatendea watz unyama wa kishetani... Yupo wapi ben saa8, mawazo, azory, diwan kilombero, katibu ananasifu? Kwenu kuua na kutesa n km dua na sio manyanyaso!
 
Hao waliochelewa watakuwa walienda Lumumba kupokea maelekezo ya mwisho juu ya nini wakaongee na wanahabari, hao wanawake ni weupe sana vichwani, wamekosa "organisation" kabisa juu ya hili suala lao.

Sasa wanaendelea kutetewa na Ndugai ndio wanazidi kuonekana vituko.
 
Hakika binadamu hubadilika!

Heri hata ya fisi.
 
Au sababu ni kwamba kwa kuwa Mbowe ameshindwa ubunge basi wote msiende bungeni?
Kumbe mkuu una cheap politics kiasi hiki-Nilikuwa nadhan unajenga arguments based on facts ila hapa hapana aisee
 
Naona wameingia na Magwanda yao .... next step ni kukata rufaa ndani ya chama ili kuchelewesha mambo!!

Baada ya vikao vya ndani watakwenda mahakamani.
 
Hii vita nilishasema, Halima na wenzake walishashinda, bado wana move nyingine kama mbili hivi mbele yao wakati CHADEMA wamefikia ukomo.

Hawa ni wabunge wa CHADEMA hadi 2025 kwa vyovyote na wataendelea kuwa wanachama halali kupitia mahakama.
 
Chezea pesa siyo ajira!
Miaka 5 mbunge, na kuinua mgongo cha kustaafu kinono!
Nyie endeleeni kura vumbi hapo ufipa
 
Picha inajieleza zaidi nadhani kuliko watakayoongea!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…