Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Mzee Mdee ameshaanza kuongea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeperuzi naona badoMzee Mdee ameshaanza kuongea?
Hasira zenu mnaapomwona mtu akihusiana na CCM ama kusikia Tu ana mahusiano na mtu wa CCM mnamtimua, Chama kitabaki kimekonda Hadi watu mliomo ndani!!We kilaza kweli. Unataka wabaini ukweli gani Kama mtu kajipeleka kuapa Bila idhini ya chama?😀😀😀😀😀
Wewe na ukubwa wote huo bado unaendelea kujitoa ufahamuChadema hakuna demokrasia,kuna uhuni mwingi kule,lakini this time wamepatwa
Jambo gani!?, jana walikutuma upandishe uzi humu kumbeChadema walifanya makosa makubwa Sana kuwafukuza wabunge wao bila ya kubaini ukweli wa Jambo lenyewe
Kama CCM kumtimua Kachero Mbobezi eh?Chadema walifanya makosa makubwa Sana kuwafukuza wabunge wao bila ya kubaini ukweli wa Jambo lenyewe
Kati yako wewe na CHADEMA nani anaujua ukweli ?Chadema walifanya makosa makubwa Sana kuwafukuza wabunge wao bila ya kubaini ukweli wa Jambo lenyewe
Na ogopa sana njaa inayokupanda mpaka kichwani 😛 😛 😛 -hawa washapoteza uhalaliTumbo lenye njaa siyo mshauri mzuri katika siasa. 😂😂😂😂
Anzisha chama chako uwachukueChadema walifanya makosa makubwa Sana kuwafukuza wabunge wao bila ya kubaini ukweli wa Jambo lenyewe
Mkuu ufahamu upi niliojitoa? Nani asiyeona kuwa CHADEMA hakuna demokrasia ila uhuni na political mongers wamejazana huko?Wewe na ukubwa wote huo bado unaendelea kujitoa ufahamu
Ndugai kumbe huku nako upo?