Huo utaratibu umesaidia nini toka enzi za kuunga juhudi mpaka kina Mdee? kufukuzwa leo itasaidia nini,unadhani CCM itawaacha CCM ni kuwafanya waendelee na ubunge wao,
CCM haiwezi kuzuia wasifukuzwe kwenye chama inachoweza kukifanya ni kuwasaidia washinde kesi ili wawe wabunge wa mahakama.Huo utaratibu umesaidia nini toka enzi za kuunga juhudi mpaka kina Mdee? kufukuzwa leo itasaidia nini,unadhani CCM itawaacha wafukuzwe?
Atakuwa anakumiliki wewe kwa kuwa vyama vyasiasa havina umiliki wa hisa!Unajua Halima Mdee anamiliki hisa ngapi pale CHADEMA?
Angalau likifanyika hilo, bado public intaendelea kuwaamini Chadema, na kuwaona CCM, Serikali na mahakama kuwa wanavuruga siasa za nchi, na kulielekeza Taifa kibra! Wafukuzwe tu!CCM haiwezi kuzuia wasifukuzwe kwenye chama inachoweza kukifanya ni kuwasaidia washinde kesi ili wawe wabunge wa mahakama.
Hivi leo ukiambiwa Magufuli hana nidhamu kesho unamfukuza.Yote hayo ndio mnayaona leo? je tukiwaita wanafiki tutakuwa tumekosea? hizo ngonjera zako hazisaidii kitu,leo ndio mnamuona Mdee hana nidhamu afukuzwe,mlipokuwa mnaambiwa huko nyuma kuwa Mdee hana nidhamu hatukisikia mkitoa mapovu hayo sabuni ya FOMA.
Hizo zote ni speculations.CHADEMA watakuwa walikaa kwenye drawing board wakaconsider critically faida za kususia then wakacompare na hasara zake. Huhitaji kuwa na degree kuona kwamba kuna hasara nyingi zaidi ya faida....
Endelea kukariri.Atakuwa anakumiliki wewe kwa kuwa vyama vyasiasa havina umiliki wa hisa!
Ndio maana duniani huwa Coups d’etat zinatokea hasa pale fikra za kiongozi mmoja zinapoelekea kuzamisha Nchi au TaasisiHizo zote ni speculations.
Thibitisha, vinginevyo wewe ndiye unamilikiwa!Endelea kukariri.
Mbowe anamiliki Bavicha na Halima Mdee anamiliki Bawacha!
Uliowataja wanatoka familia bora.400m si mchezo, ila kuna watu wenye misimamo unadhani Maria Sarungi au Fatma Karume hawajahongwa vyeo au pesa mbona bado wana misimamo yao.
Wewe umejitoa chadema?CHADEMA hivi hakuna kitengo cha intelligence? Kama mmeshindwa si bora muwe mnamsoma Kigogo2014 kule Twitter, maana kila anachokutabiri kinatokea.
Waombeni hao wahisani wenu, wawapeleke vijana nje wakasome ujasusi.
Huwezi kuendesha taasisi kubwa bila ya kuwa kitengo imara cha kukusanya taarifa, kuzichakata na kuzitafsiri.
Information is power
Kwahiyo wangemuamini kigogo na kutoa hukumu pasi na kuwapa nafasi?kama kilijua hujuma alizosema Kigogo walipaswa kufukuzwa kabla.
Na hilo ndilo tatizo laoKila mkipewa ushauri huwa mnatukana na kudhania wote ni CCM
Sio sifa hii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani yule mtaalamu wa kujiropokea Mmawia ana lolote la kusema?
Huyo ndiyo hasa liability kwa chadema. Hakuwa na mpango mkakati wa kugombea, alitegemea nguvu ya Amsterdam na wajinga wachache wa kizungu. Amsterdam aliamini Tanzania 🇹🇿 inaweza kuyumba kama walivyo yumbusha nchi za kiarabu na sehemu ya afrika.Lissu alijiona ni zaidi ya chama kumbe ni ghalasha na sasa wenye chama wana dictate termsInfact anayetakiwa kuwekwa pembeni ( to rescue himself) kwenye chama ni Anti ambaye amekitia hasara kubwa sana chama kifedha na kisiasa. Na baada ya kufanya hivyo yeye kuamua kusepa
Tatizo lenu mnabweka tu mmechanganyikiwa,hamjui nini kimetokea mnatoa hukumuChama kimshukuru Mdee kwa kuijenga BAWACHA na yote aliyokifanyia chama lakini kitendo cha yeye kama kiongozi kukiuka maamuzi ya chama hakiwezi kuvumilika na chama kikiendelea kumlea anaweza kuambukiza mbegu ya uasi ndani ya chama na kuleta madhara makubwa ‘irreparable’ kwa sababu hatujui walio nyuma yake ndani na nje ya chama ni akina nani na wana nguvu kiasi gani.