Pre GE2025 Halima Mdee na Wenzake 18 walifukuzwa CHADEMA kwa Usaliti, Nafasi yao Haipo tena na haitokuja kuwepo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Utumboo huu aisee mbona mwenzie twaha mwaipaja alitoka?
Kwani naye Twaha Mwaipaya ni mwanamke?

Au unamtetea Mwaipaya kwa vile demu wako? Ulitaka na wewe uwe mume wa mbunge?
 
Hujui siasa japo wapenda siasa. Siasa hazina adui wala rafiki wa kudumu. Angalia scenario za Kenya za KANU, ODM, UDA, AZIMIO etc
Halafu wamefanya nini hapo bungeni tangu waapishwe na ccm? eti sijui siasa!
 
Halafu wamefanya nini hapo bungeni tangu waapishwe na ccm? eti sijui siasa!
Basi huwa hufuatlii mijadala ya bunge kwa kuwa saa zote uko kwenye mikutano ya Mbowe. Nenda kaombe Hansard utaona kazi zao
 
Basi huwa hufuatlii mijadala ya bunge kwa kuwa saa zote uko kwenye mikutano ya Mbowe. Nenda kaombe Hansard utaona kazi zao
Hivi waliokuteua na kukuapisha waweza kuwaambia nini? Mkuu sisi si wa kudanganywa kijinga
 
Uwe na akiba ya maneno comrade, kwenye siasa kila kitu kinawezekana. Ni kama Mwenyekiti wa CCM, Samia alipohutubia mkutano wa BAWACHA.

Ukitaka kujua ugumu wa ulichokieleza hapa, mwambie Mbowe atamke kama ambavyo umeandika hapa kuhusu Halima Mdee na wenzake.

Waswahili wana msemo mashuhuri sana unaoendana na ugumu wa suala la akina Mdee kwa Chadema, usemao; Tikiti baya limo shambani mwako.

Ova
 
Nimeandika nikijua wako watakaokuja na andiko kama lako, Sijakurupuka
 
Ni suala la muda tu, acha tusubiri 2025 sio mbali.
 
Who are you? Are you the party owner? Who decide ? One person can decide?
 
Hakuna haja ya kuwarudisha. Wafukuzwe jumla na waende kwenye Vyama vinavyowahitaji.
 
mbona mbowe amepokea ruzuku kwa mgongo wao, akiwatambua kuwa anapokea ruzuku ya wabunge wa chadema, na ameona ruzuku tamu kweli kweli.
 
Mchungaji Msigwa amesema maamuzi ya Mwenyekiti ni ya mwisho ndio sababu alimkata Dr Slaa na kumleta Lowassa bila kuishirikisha Kamati Kuu
Ahaa , kwa hiyo kwako wewe John tayari Msigwa keshakuwa “authority” ya uongozi wa CHADEMA. Yaani neno lake ni fact! Sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…