Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
Atawavua vipi wakati rufaa yao haijasikilizwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpare pekee mjinga jamiiforum.Chadema bhana 😂 itafika 2050 na bado mtaendelea kumlaumu JPM, michongo yote ifanywe na mume wenu Mbowe halafu mnakuja kumlalamikia JPM
NA BADO MTALALAMIKA SANA TUUU.
with the same reasoning, unaweza kuwa hakimu kwenye jambo ambalo wewe ni mlalamikiwa?Hivi unaweza kuwa mjumbe wa kamati kuu bila kuwa mjumbe wa halmashauri kuu?.
Heeeee ,endelea kuamini kuwa mbowe anaweza fanya maamuzi yoyote bila baraka ya baba mkwe
Hivi ile michango wanayokamua wananchi maskini kwenye mikutano unafikiri ni hela ndogo?embu fikiria ruzuku ya bilion mbili kila mwezi na hata ofisi hawana ?cdm ni zaidi ya ngombe wa maziwa.
Hivi ile michango wanayokamua wananchi maskini kwenye mikutano unafikiri ni hela ndogo?embu fikiria ruzuku ya bilion mbili kila mwezi na hata ofisi hawana ?cdm ni zaidi ya ngombe wa maziwa.
Mnajua chadema ni chama cha kikanda ndio maana hua mnamshangaa mtu wa kanda yenu ambaye hashabikii upuuzi wenuMpare pekee mjinga jamiiforum.
with the same reasoning, unaweza kuwa hakimu kwenye jambo ambalo wewe ni mlalamikiwa?
Mahakama hapo ipo sahihi. Haiwezekani uwepo kwenye kamati iliyowafukuza halafu tena iwepo kwenye wanaosikiliza rufaa.
Kurudia inamaana gani kwenye kichwa chako ewe ziro?
Lazima alinde CV ya DuniaHapo ndo pagumu sasa
Mimi ninavyojua siasa huu mtego kwa akina mdee. Baraza likikaa likaridhia si itabidi wakimbilie mahakamani. Jaji anglisema hawa wasiguswe na combo chochote cha chadema mpaka uchaguzi mkuuSina nimeona vumbi likitimka ghafla mdee and the gang wanashangilia lissu na wenzie chalii ,chadema na mdee wamepata ushindi!
Wewe unajua wanapokea shilingi ngapi tusahihishe Mangi wangu Mkuu