Jeshi la polisi ndilo lenye mamlaka ya uchunguzi wa jinai ndani ya JMT, kama ni kweli kulikuwa na jinai ya forgery, hakuna namna nyingine yoyote Chadema wanaweza kujua bila kuripoti polisi, na uchunguzi wa kipolisi ungebaini kuna jinai, wabunge wale 19, ilikuwa ni hapo hapo wanapoteza ubunge wao, na sio kusubiri hadi miaka 2!.Mkuu P,umeongea ukweli mtupu nimekuelewa,,kumbe hawa cdm wanatuchezea akili,,lkn point ya kusema cdm waende police kupeleka hio jinai ya kufoji napata ukakasi Kwa police ipi au mahakama ipi itawasikiliza
Mkuu kwa vile kila siku humu kunaingia wageni, unaonekana na wewe ni mmoja wao, ambapo Esta Bulaya umemfahamia Chadema. Karibu mitaa hii Mbunge wa CCM, Esta Bulaya, Afanya Tukio la Kishujaa Mjini Dodoma!Ester Bulaya si asset bali ni pandikizi, hii fracas imesababisha aangaliwe kwa jicho la tatu hivyo kumtumia kama reference kunanifanya nihisi una agenda maalum kwenye mlolongo wa posts zako.
Uwepo wa Ester Bulaya ndiyo umem-mcopromise Halima Mdee, watu wenye nia njema na chama chao hawawezi kung'ang'ania kwenda kinyume na majority kwenye chama chao regardless taratibu za katiba zikoje. Mshikamano wa chama ni primary goal, sasa hawa wanaosababisha mpasuko wanafanya hivyo kwa faida ya chama gani?
Chadema imekuwa na mazoea ya kufanya mambo ya hovyo kinyumecha katiba yake na kufanikiwa. Hivyo ndivyo walivyomfanya Zitto, CC ya Chadema haina mamlaka na NKM, lakini ilimtimua, alipokwenda mahakamani akawa ndio amejifukuzisha jumla.Sasa Halima Mdee(this is according to your posts) atakuwa akishiriki vikao vya CDM kwa cheo chake ndani ya chama.
Mkuu kwa vile kila siku humu kunaingia wageni, unaonekana na wewe ni mmoja wao, ambapo Esta Bulaya umemfahamia Chadema. Karibu mitaa hii Mbunge wa CCM, Esta Bulaya, Afanya Tukio la Kishujaa Mjini Dodoma!
Chadema imekuwa na mazoea ya kufanya mambo ya hovyo kinyumecha katiba yake na kufanikiwa. Hivyo ndivyo walivyomfanya Zitto, CC ya Chadema haina mamlaka na NKM, lakini ilimtimua, alipokwenda mahakamani akawa ndio amejifukuzisha jumla.
Mamlaka ya nidhamu ya NKM na M/Kiti wa Bawacha ni Baraza Kuu. Mwisho wa uwezo wa CC ni kumsimamisha tuu. Shauri lake linasikilizwa na Baraza Kuu, uamuzi wake unatolewa na Mkutano Mkuu. Hivyo hiyo CC ya Chadema haina mamlaka na Mdee. Hii timua timua Chadema, kinyume cha katiba, kimeifanya Chadema kuwa ni Mmezoea vya kunyonga hamviwezi vya kuchinja. Hongera sana Halima Mdee na Makamanda wote kwa kugomea wito wa kienyejienyeji
P
Hapo ni kama tu polisi wataamua kufanya kazi kwa weledi kitu ambacho historia ya matukio kwenye kesi zenye 'usiasa' ndani yake huwa hawafanyi hivyo kwani either huzikwepa na kuzikaushia kabisa ie: Shambulizi la Lissu au kupotea Saanane na Heche. Wameamua kufunika kombe kwa sababu za kisiasa.Jeshi la polisi ndilo lenye mamlaka ya uchunguzi wa jinai ndani ya JMT, kama ni kweli kulikuwa na jinai ya forgery, hakuna namna nyingine yoyote Chadema wanaweza kujua bila kuripoti polisi, na uchunguzi wa kipolisi ungebaini kuna jinai, wabunge wale 19, ilikuwa ni hapo hapo wanapoteza ubunge wao, na sio kusubiri hadi miaka 2!.
P
Tena Ijumaa nimewaona Bungeni na Speaker hawezi kuwafanya kitu yet...Ni aibu kwa MAMLAKA zetu kuwaacha wahudhurie bunge.
Tena Ijumaa nimewaona Bungeni na Speaker hawezi kuwafanya kitu yet.
Mamuzi ya Baraza kuu sio tamko la Rais na hizo mamlaka haziwezi kuact instantly. Kuna utaratibu wa kufuata na unaanzia kwa Chama kupeleka taarifa kunakohusika (hapa tusianze kusema ati taratibu zilifuatwa mwaka 2020..,).
Huyo mwanasheria tumbo kila anapojaribu,kuhalalisha uteuzi wa Covid 19, ukigusia issue ya Nusrate Hanje anakuwa bubu.Chadema iliteua Hadi mfungwa?
Kwenye kuwa wazalendo ndipo shida inaanzia maana kila upande unahisi upo sahihi. Hii kitu sintoshangaa ikihamia mahakamani na wakaanza kuhoji kama ule mchakato wa kuwafukuza ulikuwa sahihi...Tuwe wazalendo.
..tuache visingizio vya kutokuheshimu sheria.
..Ule msemo wa, " kuheshimu sheria bila kushurtishwa, " una maana kubwa hapa.
Zito kabwe mlimfanyia hivyo hivyo na amekaa bungeni hadi bunge limeisha..baraza kuu la chadema limeshathibitisha kuwavua uanachama.
..uamuzi huo ulifanyika kwa uwazi, wahusika walikuwepo, na vyombo vya habari vilishuhudia.
..hawa kina mama wawe WAUNGWANA. Kuendelea kwenda bungeni ni kuvunja sheria na kufanya vurugu.
..Ni aibu kwa MAMLAKA zetu kuwaacha wahudhurie bunge.
Mkuu huo ndio ukweli, jamaa ana ajenda ya siri, kila akilala na kuamka anafikiria uteuzi, njaa ni kitu kibaya jamani.Ukweli huu wote uliouandika kila mtu anaujua, na Paskali anaujua vyema, lakini ukweli huu si lolote si chochote kwake maana Cdm hawawezi kumpa cheo. Yeye hasimamii ukweli, anaangalia anayeweza kumpa madaraka. Hapo ndio Paskali Mayalla alipofikia!
Hizi post zake zote ni kujaribu kubaki relevant kwa post zake za huko nyuma za kuwasifia hao COVID-19, na akiangalia uamuzi uliochukuliwa umemkwaza sana kwani huenda anadhani anafahamu sana mambo ya ndani ya vyama. Hivyo uamuzi huu hauendani na uzushi wake wa huko nyuma. Kinachomfanya kwa sasa aanzishe uzi kila baada ya muda mfupi kuhusu maamuzi ya Cdm, ni vile watu wanamkejeli na kumdharau, hali hii inamuacha na msongo wa mawazo, hivyo anaanzisha uzi ili kutaka kuhalalisha uzushi wake.
subiri huo mda nadhani uko njiani unakuja ila mimi sisubiri naomba usubirie wewe, pengine unaweza kufika hata kabla 2098Kuna msemo unasema ukitenda sawa sawa na kwa haki unaitendea NAFSI yako.
Na vilevile ukitenda uovu hujamtendea mwingine ni umeitendea nafsi yako.
Muda waja yatakuja kutokea makubwa kwa upande wao na hawata kuwa na la kufanya wala hakuna kitakachotokea vilevile.
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Kwani Ndugai unadhani alijitoa kafara?.Samia hana mamlaka ya kuwatoa watu bungeni , hilo ni jukumu la Spika.
Hapo ndipo mwizi aliposahau kufuta nyayo zake mwishowe akanaswa.Ndugu Pascal Mayalla
Hivi ilikuwaje kwa yule dada Nusrat Hanje, aliyekua gerezani Singida, akatolewa saa tatu usiku na kusafirishwa usiku kwa usiku kuelekea Dodoma kuapishwa na kuwa mbunge!?
Hapa CHADEMA walifanyaje mkuu Pascal Mayalla
Bila baraka zake nani angedhubutu kumfungulia Nusrat Hanje toka mahabusu usiku usiku na kumsafirisha mpaka Dodoma kwenda kumzawadia ubunge.Mlisema Magufuli ndy anawakingia kifua wasiondolewe,
Kwani bado yupo?
Katika hesabu kuna njia za kufikia jibu,Bado wapo jengoni. Hawajafukuzwa.
Zito kabwe mlimfanyia hivyo hivyo na amekaa bungeni hadi bunge limeisha
Hivi utaratibu huo ni kwa CDM pekee?.Mbona CUF ya Lipumba na CCM haikuwa hivyo.Najua lolote la awamu ya 5 maoni yako tunajua yatakuwajeMkuu Nguruvi3 , salaam, NEC wanafua kanuni za ushahidi, the one who alleges must prove.
Yes ni makamanda mashujaa wazalendo 19 walioipigania Chadema kwa machozi jasho na damu.
The one who alleges must prove
Subjectively
Yupo aliyesaini, wenyewe wanajuana ndio maana hukusikia hili jambo kujadiliwa
Japo wote ni wanachama the ila wana hadhi tofauti. Kwa wabunge, CC ya Chadema ni mamlaka yao ya nidhamu na Baraza Kuu ndio mamlaka yao ya rufaa, kama CC ya Chadema wasinge kaa Kikangroo court, baada ya Baraza Kuu kuyabariki maamuzi yale CC, wabunge they've been done.
Mdee mamlaka yake ya nidhamu ni Baraza Kuu na mamlaka yake ya Rufaa ni Mkutano Mkuu. CC ya Chadema ilipata wapi mamlaka kumtimua Mdee?.
Nimemjibu
P
Ni mihimili miwili tofauti, samia aamue ya bungeni? 😁 baadae mseme bunge ni dhaifu linaingiliwa na raisSamia awe makini sana hasa wakati huu anaposisitiza maridhiano, kitendo cha kuendelea kuwaweka bungeni hao wanawake itatafsiriwa ni dharau, muhimu awe na heshima kwa mwenzake kama naye anavyotaka kuheshimiwa.