kagoshima
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 2,887
- 5,687
Kiukweli kabisa niliacha siku nyingi kusoma uchafu unaoandikwa na the so called paskal mayala. Ni opportunistic asiye na bahati. Msome toka enzi za awamu ya nne. Huwa anacheza na upepo. Kwa lugha nyingine hawa wanaitwa hypocrites Mara nyingi hufanya hivo ili aonwe na mamlaka za uteuzi. Zamani alikua na kimsemo " if you can't beat them join them" huyo ndo P kubwa la wanafiki na much know