RoadLofa
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,509
- 3,313
Tatizo ni serikali yetu na viongozi wa juu haiwezekani katiba inapelekwa sivyo wametulia tu, mi ata sina shida nao wabunge wa COVID-19 waacheni nao wapige mipesa maana ata wasipopiga hakuna kinachobadilika kila mtu atakula kwa urefu wa kamba , ata wakitolewa izo pesa hazitufikii wala hatuambulii chochote zaidi ya kuishia kwenye mikono ya mafisadi