hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Ngoja tuone
Covid 19 hawana mshipa wa aibu
Chadema imewakataa kea asilimia 97
Leo umeandika Kwa upole sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tuone
Covid 19 hawana mshipa wa aibu
Chadema imewakataa kea asilimia 97
This cannot be a surprise to Tanzanians. It is BAU.
Dodoma. Baadhi ya wabunge kati ya 19 waliofukuzwa uanachama na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakiingia bungeni tayari kuendelea na shughuli za Bunge jijini Dodoma, leo Ijumaa Mei 13, 2022.
Jumatano ya Mei 11, 2022 Baraza Kuu la Chadema lilitupilia mbali rufaa za wabunge hao 19 kupinga uamuzi wa Kamati Kuu ya chama hicho kuwafukuza uanachama kwa tuhuma za usaliti kwa kukubali kwenda kuapishwa kuwa wabunge kinyume na msimamo wa chama hicho kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020.
Kukiri kuipokea ni dispatch book na si vinginevyo au kugongewa muhuri wa received na signature kwenye copy of original.Wao ni lazima waeende bungeni. Barua ikishapelekwa ni sharti aloandikiwa akiri kuipokea.
Na kama kawaida ya spika wa ccm ni lazima atawasiliana na Ikulu kumpa maamuzi.
Kifupi tu ni kuwa Covid-19 wanaichafua Royal Tour!
Tena siyo wa Chadema tangu hapo mwanzo.Hawa wabunge wa Chadema wanatia aibu sana
inafikirisha. mtu wa nje anawaza kama mhimili upo hivi,je wananchi wake watakuaje si ni takataka tuhii nchi mwendazake alitaka kuiharibu vibaya sana, sema mkono wa Bwana umetuokoa !! mambo kama haya ni aibu kubwa kimataifa, looks like we're not organized & uncivilized.
Yanaweza kuwa na makosa yakarudishwaMaamuzi ya kufukuzwa uanachama hayamuhusu kabisa spika !
Ishu kubwa inayoangaliwa kwa admin decision ni legality.Je aliyetoa uamuzi ndiye mwenye power hiyo kisheria,kama ndivyo, je taratibu zilifuatwa ktk mchakato huo wa kutoa maamuzi.Kama zote tiki hamna shida.Kama tiki moja tu au haipo kbs basi shida ipo.Generally iko hivyo.Hivi mahakama inaweza kutengua maamuzi ya baraza kuu la chama? Nauliza tu
Haaaa haaa. Yaaaanii hawa chadema tunawashangaaa kwelikweliii. Nyinyi kiongozi wao walishakaa kikao na kuwafukuza wamama wa watu, sasa cha ajabu wanachadema kuchakutwa wanafuatilia saaanaaa?? Au bado wanwataka??mshawafukuza basi inatosha msiendelee kuwafatafata.wanasiasa wa kweli ni wachache sana waliowengi ni njaa tu.
wajinga ni wale waliopata majera,kufa au kufungwa jela kwaajili ya kupigania siasa za njaa kama za hawa wapinzani wa tz.
Jiwe acha anangwe hata miaka mia, kama vile Idd Amin tuMWENDAZAKE ana mwaka na miezi kadhaa tunga afariki lakini hakauki kwenye mabakuli (midomo) ya baadhi ya wanajF hapa, kana kwamba hakuna vitu vya kujadili.
Alipovuliwa uanachama Sophia Simba, hatukusikia longo longo hizi.Sawa kabisa, maana spika hajapata barua, na hatujui ataipata lini, na akiipata aite kamati zake za kumshauri, na yeye apate muda wa kufanya maamuzi, kama maamuzi yana makosa, anayakataa
Kwani mkipeleka hao virusi vipya Delta 22 ndo kodi zetu hazitakamuliwa?Fedha zetu za Kodi tunazokamuliwa hizo.
Kwani bado ni wabunge wa chadema?Hawa wabunge wa Chadema wanatia aibu sana
Dole la mwendazake bado lipo makalioni mwako.hii nchi mwendazake alitaka kuiharibu vibaya sana, sema mkono wa Bwana umetuokoa !! mambo kama haya ni aibu kubwa kimataifa, looks like we're not organized & uncivilized.
Kwani chadema wamekwambia wameshapeleka barua rasmi kwa spika?Spika atasema kwamba hajapata barua rasmi kutoka chadema inayo mtaarifu kwamba wamefukuzwa uanachama.
Ama kama amepata barua kutoka chadema, atasema kwamba hana taarifa rasmi kutoka kwa msajili wa vyama vya siasa.
Baada ya hapo bunge litalipuka kwa shangwe na kisha spika atatangaza kwamba yeye anawatambua kama wabunge halali wa chadema.
Na kawaambia chawa wake waache kuitukana serikali mitandaoni.Mbowe juzi alikuwa Ikulu