Halima Mdee na wenzake watinga Bungeni licha ya CHADEMA kutangaza kuwafukuza rasmi

Halima Mdee na wenzake watinga Bungeni licha ya CHADEMA kutangaza kuwafukuza rasmi

Utaratibu wa barua ni dispatch book,sio maneno tu,aliyepokea barua ni nani?na sahihi yake kuwa kapokea.
Asante sana..nimesoma kule Twitter Kigaigai anasema eti barua amepeleka ofisi ya Spika leo asubuhi saa mbili na dakika arobaini na mbili na amemkabidhi katibu muhtasi wa Spika...hapo kwa mtazamo wangu ndio naona Chadema wamekosea, kama ulivyosema utaratibu wa kupeleka barua za kiofisi kama hizi ni lazima kuwa na dispatch na iwe signed na mtu aliyepokea barua, kwa ofisi za bunge hili zoezi nadhani linaanzia ofisi ya masjala, sasa kama Chadema hawakupitsha hii barua masjala, yule katibu muhtasi wa spika anaweza ipoteza hii barua na ukakosekana ushahidi wa kuiwakilisha, vinginevyo Kigaigai awe alimsainisha dispatch rasmi ya bunge! na kwa mtindo huu Spika ana haki ya kusema hajaipata barua.....Hawajui utaratibu, ama wamefanya kusudi...sijui....
 

Dodoma. Baadhi ya wabunge kati ya 19 waliofukuzwa uanachama na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakiingia bungeni tayari kuendelea na shughuli za Bunge jijini Dodoma, leo Ijumaa Mei 13, 2022.

Jumatano ya Mei 11, 2022 Baraza Kuu la Chadema lilitupilia mbali rufaa za wabunge hao 19 kupinga uamuzi wa Kamati Kuu ya chama hicho kuwafukuza uanachama kwa tuhuma za usaliti kwa kukubali kwenda kuapishwa kuwa wabunge kinyume na msimamo wa chama hicho kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020.
hao ni wabunge wa mwendazake hawawezi kufukuzwa bungeni ,walipelekwa huko kwa dili la kuwafurahisha masponsa wa abroad ambao wanapenda mambo ya new culture aka domoklasia
 
Ila jamani naomba mwenye taarifa anijuze, hivi tangu hawa watu 19 waingie bungeni CDM haipokei ruzuku kupitia wao?,naamini chama chochote kinapata ruzuku kutokana na namba ya wabunge wake waliopo bungeni.
Ruzuku ya chama inalipwa kulingana na wastani wa kura chama kulipata kwenye uchaguzi wa 2020, sio uwepo wa wabunge wako ndani ya bunge.

Lakini yote kwa yote, CHADEMA ilishakataa kupokea ruzuku yoyote inayotokana na matokeo ya uchaguzi wa 2020. Na mpaka leo hii haijawahi kupokea ruzuku yoyote.
 
Asante sana..nimesoma kule Twitter Kigaigai anasema eti barua amepeleka ofisi ya Spika leo asubuhi saa mbili na dakika arobaini na mbili na amemkabidhi katibu muhtasi wa Spika...hapo kwa mtazamo wangu ndio naona Chadema wamekosea, kama ulivyosema utaratibu wa kupeleka barua za kiofisi kama hizi ni lazima kuwa na dispatch na iwe signed na mtu aliyepokea barua, kwa ofisi za bunge hili zoezi nadhani linaanzia ofisi ya masjala, sasa kama Chadema hawakupitsha hii barua masjala, yule katibu muhtasi wa spika anaweza ipoteza hii barua na ukakosekana ushahidi wa kuiwakilisha, vinginevyo Kigaigai awe alimsainisha dispatch rasmi ya bunge! na kwa mtindo huu Spika ana haki ya kusema hajaipata barua.....Hawajui utaratibu, ama wamefanya kusudi...sijui....
Acheni usanii....... Barua rasmi ni formality tu mbona Sofia Simba na wabunge 8 wa Lipumba hawakusubiri barua?? Press statement tu ilitosha kwa spika kuandika NEC kuwa viti vipo wazi!!!

Ni sawa na mtu ameshinda ubunge eti hatambuliki mpaka apate kile cheti Cha NEC!! Formalities zinaweza chukua hata wiki lakini hazizuii hukumu kutekelezwa. Mtu Hana uanachama toka juzi usiku then unasubiri barua kwanza?

Kangi Lugora alitimuliwa uwaziri stejini sasa angegoma kuachia ofisi eti kisa barua rasmi ya ikulu haijamfikia ofisini kwake??

Tuache usanii kesho mtadai minutes za kikao zimekosewa.... Kesho kutwa mtasema font haisomeki!!! Mnaharibu taswira ya nchi kama watunga Sheria hawafuati katiba.
 
Ila jamani naomba mwenye taarifa anijuze, hivi tangu hawa watu 19 waingie bungeni CDM haipokei ruzuku kupitia wao?,naamini chama chochote kinapata ruzuku kutokana na namba ya wabunge wake waliopo bungeni.
Ruzuku Ni million 60 pekee kwa mwezi so CHADEMA haiwezi risk kupoteza heshima eti kisa Million 60 ilihali join the chain pekee imeshaleta 400 Million mpaka sasa!!!
 
Walikuwaje akina makonda? Nchi makini haiwezi kumpa uongoz Mwezi wa Kwanza marope. Tanzania mafuta lazima yapande bei maana si wazalishaji wakati huo mkuu wake anasema bei yetu ni nzuri kuliko kule kwa mzalishaji mkuu USA.
Kipindi mnazima bunge mbona mlisema hata USA hawaonyeshi bunge live?? Mkasema Uingereza haina Katiba!!! In fact mlipokua mnakopa mkajustify kwamba hata marekani inadaiwa madeni mengi kuliko serikali ya Tanzania!!! Na wote mkapiga makofi. Leo hii CCM hao hao wakitumia ulinganisho ule ule mnagoma???

Mlipanda propaganda acha mvune propaganda
 
Acheni usanii....... Barua rasmi ni formality tu mbona Sofia Simba na wabunge 8 wa Lipumba hawakusubiri barua?? Press statement tu ilitosha kwa spika kuandika NEC kuwa viti vipo wazi!!!

Ni sawa na mtu ameshinda ubunge eti hatambuliki mpaka apate kile cheti Cha NEC!! Formalities zinaweza chukua hata wiki lakini hazizuii hukumu kutekelezwa. Mtu Hana uanachama toka juzi usiku then unasubiri barua kwanza?

Kangi Lugora alitimuliwa uwaziri stejini sasa angegoma kuachia ofisi eti kisa barua rasmi ya ikulu haijamfikia ofisini kwake??

Tuache usanii kesho mtadai minutes za kikao zimekosewa.... Kesho kutwa mtasema font haisomeki!!! Mnaharibu taswira ya nchi kama watunga Sheria hawafuati katiba.
Asante...tatizo ndio hilo Chadema walitakuwa wawe smart zaidi na kujua kuwa hizi "formalities" ndio hutumiwa kama loopholes za kuchelewesha maamuzi...na kama watoa maamuzi wa mwisho wanania ovu..basi watatumia nafasi hiyo...na kwa bahati mbaya hizi formalities ndio utaratibu rasmi. Kosa moja halihalalishi jingine...kama spika aliyepita hakusubiri formalities haihalalishi huyu nae asisubiri!
Issue ya Kangi haina ufanano na hii...Kangi alitimuliwa na aliyemteua...na kumbuka kauli ya Rais ni "decree" haikuhitaji barua Rasmi.
Wakati mwingine Chadema wanajikwamisha wenyewe kwa kuacha upenyo kama huu...Ungewashauri
 
Kipindi mnazima bunge mbona mlisema hata USA hawaonyeshi bunge live?? Mkasema Uingereza haina Katiba!!! In fact mlipokua mnakopa mkajustify kwamba hata marekani inadaiwa madeni mengi kuliko serikali ya Tanzania!!! Na wote mkapiga makofi. Leo hii CCM hao hao wakitumia ulinganisho ule ule mnagoma???

Mlipanda propaganda acha mvune propaganda
Ndugu Zitto Junior...sio kila aliye na mawazo tofauti na fikra za mashabiki wa chadema basi ni sehemu ama ya serikali au CCM...wakati mwingine mitazamo hutofautiana kutokana na jambo husika!
 
Hauoni ingekuwa vyema na bora kwao na kwa chama kama wangeomba msamaha na shauri la rufaa kutupwa ili waanze upya?
Kama waliamini wako sahihi isingekuwa bora maana unayemuomba msamaha asingekusamehe eti uendelee na ubunge tu. Dhamira yao ni kusameheana ila utoke kwenye madaraka ili aonekane n superior.
 
Kipindi mnazima bunge mbona mlisema hata USA hawaonyeshi bunge live?? Mkasema Uingereza haina Katiba!!! In fact mlipokua mnakopa mkajustify kwamba hata marekani inadaiwa madeni mengi kuliko serikali ya Tanzania!!! Na wote mkapiga makofi. Leo hii CCM hao hao wakitumia ulinganisho ule ule mnagoma???

Mlipanda propaganda acha mvune propaganda
Nchi ya kimalaya malaya maana inaongozwa na wanasiasa malaya malaya.
 
Kama waliamini wako sahihi isingekuwa bora maana unayemuomba msamaha asingekusamehe eti uendelee na ubunge tu. Dhamira yao ni kusameheana ila utoke kwenye madaraka ili aonekane n superior.
Ni sawa lakini wakati mwingine ni kheri nusu shari kuliko shari kamili...waswahili tunasema kwa muoga huenda kicheko, kwa shujaa huenda kilio...kina Mdee wangekubali kuwa "waoga" (hata kama waliamini wako sawa), ili wapate kicheko, kung'ang'ania kwao ushujaa sasa kimekwenda kilio...katika mbinu za kivita inashauriwa ni vyema kujua ni wakati gani wa Ku surrender ili kujipanga kwa mapambano mapya.
 
Ni sawa lakini wakati mwingine ni kheri nusu shari kuliko shari kamili...waswahili tunasema kwa muoga huenda kicheko, kwa shujaa huenda kilio...kina Mdee wangekubali kuwa "waoga" (hata kama waliamini wako sawa), ili wapate kicheko, kung'ang'ania kwao ushujaa sasa kimekwenda kilio...katika mbinu za kivita inashauriwa ni vyema kujua ni wakati gani wa Ku surrender ili kujipanga kwa mapambano mapya.
Ni vita ya makamanda hawataki kuonesha nani kamanda muoga. Acha watifuane tujue mwisho wa vita ya makamanda hawa kama wanavyojiita.
 
Wanakwambia "mwanamke anakuua kirahisi ukisha zeeka " 🤣🤣🤣

Jeuri wanayo kwa kuwa ni kawaida kucheza na akili za mwanaume tangia mwanzo hadi kipindi anachoonesha makucha yake.
 
Ni wabunge hao wamepeleka pingamizi mahakamani tayari
Hili la kupeleka pingamizi Mahakamani ni jema sana. Mimi ninatamani sana kusikia juu ya nyaraka zilizotumika kuwapeleka Bungeni. Hakika, suala hili likifika Mahakamani, ukweli na uhalali wa aliyeandaa na kupeleka nyaraka Tume ya Uchaguzi utajulikana. Na hapo ndipo itakuja hoja ya nani awajibishwe.
 
Kwa nini wanang'ang'ania ubunge wakati wanajua vigezo vya kuwa Mbunge hapa Tanzania.Kabla ya Mkutano Wa Baraza Kuu la CHADEMA walikuwa na sababu (bado wanachama wa Chadema mpaka rufaa yao itakapotelewa uamuzi).
Waheshimiwa hawa ni vema wakubali matokeo,na kama watafungua kesi Mahakama,Ni kesi kupinga uachamana kama ipo.Lakini kuhusu suala la ubunge,wamejaribu kufuata katiba na kanuni ya CHADEMA,lakini wamekwaa kisiki.
Kuendelea kuingia bungeni na kulipwa posho siyo sahihi.
 
Bado ni wabunge maana Chadema bado haijapeleka barua rasmi kwa Spika juu ya kufukuzwa kwao chamani
Hata baada ya barua kufika bungeni bado wanaweza kuendelea na ubunge wao kama ambavyo wamekuwa wakiendelea muda wote huu. Walishafukuzwa muda mrefu. Hata baada ya kukata rufaa kwenye chama bunge lilipaswa kutowatambua hadi hapo rufaa yao itakaposikilizwa na Baraza kuu la Chadema kuwarudishia uanachama. Kinyume chake ni uhuni na jinai unaofanywa na watu waliojipa kinga ya kuvunja katiba na sheria za nchi. Kuna siku haya makaburi yatafukuliwa. Mama SSH atumie hekima ili katika kipindi hiki mchakato utekelezwe wa kuridhiana na kusameheana uhalifu huu.
 
Hii sinema ya Chadema bado inaendelea.
Pascal Mayalla imhotep Yoda Matola
Wenye hiyo sinema ni CCM na siyo CDM ambao tangu day one walitangaza kuwa hawakupeleka majina rasmi ya wabunge viti maalum.Hizi figisu ni kuhalalisha kamati ambazo zinatakiwa kuongozwa na wapinzani bungeni(PAC&LAC) kama sijakosea.
Yote ni kuwahadaa mabeberu ya CCM,kuvutia misaada/mikopo.
 
Back
Top Bottom