Halima Mdee na wenzake watinga Bungeni licha ya CHADEMA kutangaza kuwafukuza rasmi

Halima Mdee na wenzake watinga Bungeni licha ya CHADEMA kutangaza kuwafukuza rasmi

Kwani mkipeleka hao virusi vipya Delta 22 ndo kodi zetu hazitakamuliwa?
Au kwa vile ni nymba ndogo hamna uchungu na kodi zetu?
Hao Covid19 hawana ridhaa yetu wameghushi na kuingia Bungeni kitapeli.

Tutaridhia kwa wale tutakaowaingiza kihalali.
 
Spika atasema kwamba hajapata barua rasmi kutoka chadema inayo mtaarifu kwamba wamefukuzwa uanachama.

Ama kama amepata barua kutoka chadema, atasema kwamba hana taarifa rasmi kutoka kwa msajili wa vyama vya siasa.

Baada ya hapo bunge litalipuka kwa shangwe na kisha spika atatangaza kwamba yeye anawatambua kama wabunge halali wa chadema.
Dah....mabushiloyaz wanasema...sababu kuu ya kufukuzwa uanachama ni usaliti....usaliti wa kupinga uchaguzi mkuu.....Kama Bunge likikubaliana na kufukuzwa kwao.....kihisabati litakuwa limekubaliana na hoja za chadema....hivyo Bunge litavunjwa....Mama atakaa pembeni.....uchaguzi utarudiwa....nimesikia tu haya kutoka kwa mabushiloyaz 🤣🤣🤣🤣🤣
 

Dodoma. Baadhi ya wabunge kati ya 19 waliofukuzwa uanachama na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakiingia bungeni tayari kuendelea na shughuli za Bunge jijini Dodoma, leo Ijumaa Mei 13, 2022.

Jumatano ya Mei 11, 2022 Baraza Kuu la Chadema lilitupilia mbali rufaa za wabunge hao 19 kupinga uamuzi wa Kamati Kuu ya chama hicho kuwafukuza uanachama kwa tuhuma za usaliti kwa kukubali kwenda kuapishwa kuwa wabunge kinyume na msimamo wa chama hicho kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020.
Wanawake wanaovaa magwanda ya Chadema wanaweza!
 

Dodoma. Baadhi ya wabunge kati ya 19 waliofukuzwa uanachama na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakiingia bungeni tayari kuendelea na shughuli za Bunge jijini Dodoma, leo Ijumaa Mei 13, 2022.

Jumatano ya Mei 11, 2022 Baraza Kuu la Chadema lilitupilia mbali rufaa za wabunge hao 19 kupinga uamuzi wa Kamati Kuu ya chama hicho kuwafukuza uanachama kwa tuhuma za usaliti kwa kukubali kwenda kuapishwa kuwa wabunge kinyume na msimamo wa chama hicho kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020.
Hizi mbwa zinawahi miti ya mbogamboga tu ziache ziendelee kukalia
 
Ila wale walioiba Kira ndo Wana MSHIPA WA AIBU?
unafiki watanzania ndo somo tulipata [emoji817].
Nilishasema sintokuja kuwalaumu hao akina halima kamwe
Maana aliyefanya mambo yawe mvurugano mnamjua na lengo lake lilitimia.
Hao akina halima NI MATOKEO TU.
Ngoja tuone

Covid 19 hawana mshipa wa aibu

Chadema imewakataa kea asilimia 97
 
Hayo ni mapambio chadema ni mpango wa Mungu, Kama hawatajibu mamlaka Mungu atajibu,
Kwanza wanaonesha upunguani kwamba hata katiba ya nchi hawajui ,na wapo pale hata kanuni za Bunge hawajui ,unaendaje bungeni wakati huna chama ,watapigwa na fedhea sio ya nchi hii, watu wamengangana mfunga Mbowe imeshidikana sasa wanadhani wanaweza shindana na chama chao
Mnachezewa pichatu, juzitu lowasa mlikuwa mnamsafisha nakumtandikia makanga chini apite, mmechezeshewa kipanya sasaivi karudi Ccm maisha yanaendelea mmnakodoa mimachotu hamjui mnachotaka.

Kwenye ishu ya Lowasa mngemuwajibisha mtu ndio ningewaamini Nyumbu.
 
Hao COVID 19 mbona bado wapo wapo sana mjengoni. kufukuzwa uanachama katikati ya utumishi wa ubunge hakuwavui ubunge!! hao waliapishwa kuwa wabunge hadi miaka mitano iishe, Bw Makengeza Miwani mikubwa yule Mchagga kakaa jela weeee katoka na kaishiwa vibe anataka kumalizia hasira kwa Halima! .

Hao wabunge wako mjengoni kimkakati kulaghai wazungu tuna wapinzani bungeni ili tupate mikopo hadi tuweke bondi wajukuu ,wazungu wakimuona Halima na wenzake wanasema bunge liko mzuka sana kumbe bosheni tu hawajui bunge ni letu wa kijani, wanaosema ndio waseme ndiyo na wagonge mezani kuamsha wazee waliolala , NDIYOOOOOOOooo!! PA pa pa pa pa! wajinga ndio waliwao!!

hivi unaanzaje kwanza kuwatoa mjengoni COVID 19? wewe kama nani? uwatoe kwa mamlaka ya nani? Mwendazake au Baba wa nchi?
 
Hao COVID 19 mbona bado wapo wapo sana mjengoni. kufukuzwa uanachama katikati ya utumishi wa ubunge hakuwavui ubunge!! hao waliapishwa kuwa wabunge hadi miaka mitano iishe
Ni kweli mkuu.Katiba inaruhusu ata mtu asipokuwa na chama anaweza kuwa mbunge.Swali Je Mdee ataacha lini kuvaa sare za CHADEMA?
 
hii nchi mwendazake alitaka kuiharibu vibaya sana, sema mkono wa Bwana umetuokoa !! mambo kama haya ni aibu kubwa kimataifa, looks like we're not organized & uncivilized.
Sisi ni shit hole country
 
Back
Top Bottom