mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
waliamua wao.... mimi nikiamua nisiingie kwenye ndoa ni mimi....Wazazi wako wangekuwa na wazo kama lako tusingeuona mchango muhimu kama huu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waliamua wao.... mimi nikiamua nisiingie kwenye ndoa ni mimi....Wazazi wako wangekuwa na wazo kama lako tusingeuona mchango muhimu kama huu.
Si kwelisi wanasema kwamba kuoa ni nusu ya dini
Ahahaaaaaa..wanaume wa dar wamemshindwa kabisa? sasa sisi wa mkoani tutafanya kazi ngapi kama kila kazi ya kiume tunafanya peke yetu? wao Wana follow tu page za mangekimambi
Kwa huyo dada sina comments..Anafanya massage,,au unafikiria nn mkuu
Labda zamani..sio maisha ya sasa...sema inabidi ujikaze😅 kila mtu atakuangalia vibaya na kusema una mikosi....
Fuatilia ujue anafanya shopping wapi, ukijua tega hapo kila siku mpaka umuone then anza kwa kumuomba lift ya gari [emoji4][emoji4]nitamuanzia wapi
anapanda gari
natembea kwa miguu
kwanza tutakutana wapi
Ana makinda ana mtoto...mmoja kafarikiRumors are and I sort of believe them....she's a lesbian and that's ok for me. Ila if not then it's ok Km she's not married and have no kids na hata Km hataki. Wapo wengi tu.
Anne Makinda
Lady Jay Dee etc
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] team upinde yuleUkifanikiwa kumgegeda uvae nguo zako ulale,,
Ukisema ulale uchi,,
Asubuhi utamkuta mgongoni kwako.
Atapataje mtoto na siyo ridhiki!Hayo yamewekwa wazi na mbunge wa viti maalum, Halima James Mdee akihojiwa na Wasafi Fm leo asubuhi.
My take:
Vijana mnakwama wapi? Lishangazi hilo lipo free changamkieni fursa
View attachment 2624249
Yeye kasema hana, hajajaaliwaHalima ana mtoto mmoja wa kiume
Well... so don't judge those who think not having a child is a failure, respect their opinion as they will respect yourswaliamua wao.... mimi nikiamua nisiingie kwenye ndoa ni mimi....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] team upinde yule
Really?Rama Dee alikuwa anakula uyo Manzi na ukaksi wake ivyo ivyo ila ilikuwa akija kwa mwamba ata sauti anabadilisha siyo ile mnayoijua ya base unaweza sema siyo yeye [emoji16][emoji38][emoji38]
Cha kusaga na kukoboa nafaka??Kiwanda hicho bwashee[emoji1]