Halima Mdee: Nipo single na sijafanikiwa kupata mtoto

Halima Mdee: Nipo single na sijafanikiwa kupata mtoto

Michakato Ianze Fika Dodoma Anakaa Area D
Lesbian wazuri Ni wale wanaovaa kike,,ambao huwezi kuwatambua,,

Kuna lesbian wa aina 2.
1-wanaovaa kama jike Dume.
2- ambao hawavai kama jike Dume na Ni ngumu sn kumtambuwa,,


Huyo ambaye havai kama jike Dume,,

Mkuu ni hatari sn..

Namla mmoja mwanzoni sikugunduwa Ila baadae akanifungukia kwamba lesbian..

Mkuu ni balaa na nusu..
Mtoto mzr wa sura,
Umbo,
Yupo so sexy

Na wala sikugunduwa kama lesbian.
 
Lesbian wazuri Ni wale wanaovaa kike,,ambao huwezi kuwatambua,,

Kuna lesbian wa aina 2.
1-wanaovaa kama jike Dume.
2- ambao hawavai kama jike Dume na Ni ngumu sn kumtambuwa,,


Huyo ambaye havai kama jike Dume,,

Mkuu ni hatari sn..

Namla mmoja mwanzoni sikugunduwa Ila baadae akanifungukia kwamba lesbian..

Mkuu ni balaa na nusu..
Mtoto mzr wa sura,
Umbo,
Yupo so sexy

Na wala sikugunduwa kama lesbian.
Uyo bisexual
 
Ni wanawake wachache wa kariba yake huenda hapendi kua na mtoto.

Nilikua na manzi hata mjegeje sti hapendi yeye anapenda adventure, ni anazurula miji na nchi ya karibu mno.
Mambo ya familia sijui mke na mume hataki hata kiyasikia.
Wanasema wameolewa na majini
 
Rumors are and I sort of believe them....she's a lesbian and that's ok for me. Ila if not then it's ok Km she's not married and have no kids na hata Km hataki. Wapo wengi tu.
Anne Makinda
Lady Jay Dee
Zuhura Yunus
Salama Jabir etc
Makinda -- wann hapo Sasa ,anawatoto Kila mtoto na BAO lake ,huyu alijarbu

Judith wambura -lady JD ,amekatikiwa kiuno na gardina miaka 10 ,mfuko wa uzazi Hana

Salama jabir --- hakimo nae

Zuhura yunis -- ndo kaolewa juzi ngoja tuone

Mdee halima ---- wanaume mnamkimbia hata wabunge wezake anashinda na Bulaya tusubirie pengine watapata mtoto
 
Wanaume hawataki strong women huwaogopa
 
Rumors are and I sort of believe them....she's a lesbian and that's ok for me. Ila if not then it's ok Km she's not married and have no kids na hata Km hataki. Wapo wengi tu.
Anne Makinda
Lady Jay Dee
Zuhura Yunus
Salama Jabir etc
Zuhura Yunus yupo singo?
 
Ina maana wanaume wamepungua kiasi hicho?
Wangemuuliza, kwa mwezi anatongozwa na watu wangapi? Ili tuweze kutathmini tatizo lilipo
 
Basi Halima anicheki PM namaanisha Halima mdee pekee sio kina Halima wote .
 
Back
Top Bottom