Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kuifuta kabisaMkuu Nyani Ngabu dawa ni kuipumzisha ccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuifuta kabisaMkuu Nyani Ngabu dawa ni kuipumzisha ccm
Kafurahi sn na haamini nadhani mwakani zitatoka kalenda za picha hiyo2021 Raisi kutoka Africa anaona ufahari mkubwa na mafanikio makubwa kupiga picha na Raisi wa nchi za ulaya.
Kwa hii katiba ya kijinga hakuna namna tutaendelea kukopa snTatizo je hatuna Sera ya Taifa kuhusu kujitegemea, na kama ipo kwa nini haitumiki?
Haiwezekani Rais A wa chama hicho akasema no tu mikopo then anakuja Rais B toka chama kilekile anasema ili tuendelee mikopo haikwepeki.
Kama taifa, Je tunajua tunapotaka kwenda.
CCM wenzako wanashangilia kama niniSipati picha baada ya miaka mitano deni litafika tirion miamoja na ngapi huko.
Haya maneno ungesema ukiwa kwenu Manzese ungeeleweka bwashee!Kukopa kopa, hata kama si kwa riba au hata kwa riba ndogo, siyo sifa.
Kuomba omba misaada nayo si jambo la fahar...
Kukopa unakopa ila kama una njia nyingine ya kupata fedha ambao itapunguza mikopo basi unafuata hiyo njia na unakopa kidogo.Hivi kuna nchi isiyo kopa kweli, jambo la msingi ni kuona namna bora ya matumizi ya fedha za mikopo ni namna gani zinatumika kama zinafanikisha ujenzi wa miradi na utoaji wa huduma za kumnufaisha mwananchi kuna shida gani au ni mradi tu mbunge wa upinzani uonekane umeongea bungeni.
Nayasema nikiwa kwetu IkungulyabashashiHaya maneno ungesema ukiwa kwenu Manzese ungeeleweka bwashee!
Bora kukopa kulilo kupora pesa za raiya kwenye account zao.Mbunge wa viti maalumu kupitia chama cha Chadema ameishambulia serikali kwa tabia yake mpya ya kukimbilia kukopa kila kunapotokea changamoto kwani tabia hiyo hudumaza akili na kuuwa uwezo wa kufikiri na kutumia fursa zilizopo ndani ya nchi...
Wanaumiza au wanawasaidia? Wasipokopa wakaongeza Kodi utalipa wewe?Wanaumiza watu
Mbunge wa viti maalumu kupitia chama cha Chadema ameishambulia serikali kwa tabia yake mpya ya kukimbilia kukopa kila kunapotokea changamoto kwani tabia hiyo hudumaza akili na kuuwa uwezo wa kufikiri na kutumia fursa zilizopo ndani ya nchi.
Mdee amebainisha kuwa kwenye report ya CAG imeonyesha kuwa serikali imeshindwa kukusanya zaidi ya trillioni 300 zilizokwama kutokana kesi kushindwa kuamliwa mahakamani.
Cha ajabu badala ya serikali kujikita kuzikwamua hizo hela zilizokwama na kuongeza mapato badala yake wanakimbilia kuomba misaada na kukopa kunakopelekea kuongeza deni la taifa.
Acheni shobo, halima mdee sio mbunge wa ChademaMbunge wa viti maalumu kupitia chama cha Chadema ameishambulia serikali kwa tabia yake mpya ya kukimbilia kukopa kila kunapotokea changamoto kwani tabia hiyo hudumaza akili na kuuwa uwezo wa kufikiri na kutumia fursa zilizopo ndani ya nchi.
Mdee amebainisha kuwa kwenye report ya CAG imeonyesha kuwa serikali imeshindwa kukusanya zaidi ya trillioni 300 zilizokwama kutokana kesi kushindwa kuamliwa mahakamani.
Cha ajabu badala ya serikali kujikita kuzikwamua hizo hela zilizokwama na kuongeza mapato badala yake wanakimbilia kuomba misaada na kukopa kunakopelekea kuongeza deni la taifa.
Mama mshambenga yuleeAliyekuwa spika, Bwana Ndugai; Chagueni moja kati ya Tozo ama mikopo
Rais Samia: Mimi nimechagua Mikopo, kwani Mimi ndiye wa kwanza kukopa? Waliopita hamkuwaona wakikopa?? Tena Bwana Ndugai unikome
Kuna kitu mama hasemi ila miradi mingi mikubwa ili anzishwa kwa mihemuko, ni kama zaidi ya tr 20 ivi una zitoa wapi?Tanzania Kuendelea kukopa Pesa isiyokuwa na Tija haifanyi watanzania kuondokana na Umasikini, Bali mikopo Hiyo isiyokuwa na Tija inaongeza Umasikini kwa Watanzania.
Kwenye Uchumi wa Nchi Yetu, Siasa haitakiwi,