KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Hakuna uhuni zaidi ya kuwa msaliti wa chama ulichokivujia jasho na damu.. Aliyekuwa mwanachama wa Chadema, Halima Mdee amesema hakukuwa na uhuru kwa wajumbe wa Baraza Kuu la chama hicho katika upigaji wa kura na kwamba, kilichofanyika ndani ya Baraza hilo ni uhuni.
Kwani chadema hawawezi kwenda mahakamani kuzuia hao wabunge wasihudhurie bungeni?Mkuu, unatakiwa kujua kua mahakama ndie muamuzi wa mwisho kwenye jambo lolote nchi hii.
Kwa hiyo wana haki ya kwenda mahakamani wakitaka. Kumbuka ishu ya Zitto.
Nachokisema, inawezekana mahakama ikakubaliana na uamuzi wa chadema 100% na hilo halina ubishi.
Ila kwa kitendo cha kwenda mahakamani, wanafanya mchezo wa kuchelewesha ama delaying techniques. Kwa hiyo hata Bunge haliwezi kuwafukuza maana bado ni wanachama hadi mahakama itoe majibu, tayari huo muda unakua umeenda na kama ni vikao vya bunge 2 ama 3 wnaakua wamekula hela zetu.
Tusubiri tuangalie.
Ndo maana nimemueleza wangekua wajanja wangeenda kuzuiwa kujadiliwa na kufukuzwa, sasa syo wanachama kwa mujibu wa katiba ya chama.Hivi unajua wale sio Wanachama, mahakama itwasikilizaje watu ambao siyo wanachama wa chadema?.
Hapo ni Mahakamani tu. Kesi inakuwa delayed mpaka 2024 ili watafune mishahara kidogo, basi tena ndo mambo ya ulaji wa kisiasaKina Halima watafanya delaying techniques, wataenda Mahakamani.
So bado wana nafasi za kula hela ya nchi kidogo.
Unless otherwise iwe ni makubaliano kati ya Mbowe na Samia kua watimue na bungeni tuwatimue mlete wengine.
Ni Bora Sasa wapeleke wawakilishi kule bungeni wa kuwasemea wananchi. Ni kweli waligomea matokeo, lkn Sasa hivi SERIKALI iliyopo madarakani inayafanyis kazi malalamiko ya vyama vya upinzani. Wakiendelea kugoma hawatawatendea haki wananchiKwani Chadema mpaka leo hawana uhakika na uwezo wao? siamini.
Kwangu nataka wasimame na ule msimamo wao wa mwanzo kama kielelezo cha kutoutambua ule uchaguzi mkuu uliopita na yale matokeo yake mabovu.
Kitendo cha kubadilisha msimamo kwao kitawajengea taswira mbaya kwa CCM, hawa watajua hata next time wakiharibu Chadema watasusa then baadae watalainika.
Matokeo yake wataendelea kuchezewa kwenye chaguzi zijazo, hili limeshaonekana over and over again, hizi scenario za huruma mnazotengeneza sasa zitakuja kuwa cost mbele ya safari.
Kama wameweza kusimama na uamuzi wa KK kuhusu wasaliti 19 kwanini wabadilishe kuhusu matokeo ya uchaguzi uliopita? kwangu hii kitu haina maana.
Shida ni kwamba kuna vitu kama nchi itapoteza. Je nchi ipoteze karibu 2 T kwa CHADEMA kuendelea na msimamo?Huu uamuzi kama ukifanyika ndio unaenda kuwa mwanzo wa tatizo jingine, hapa zitakuja assumptions za kila aina toka kwa maadui wa Chadema.
Hapa utatumika ukanda, ukabila, mahusiank, dini, na sababu nyingine zote ili kuhalalisha kina Mdee wameonewa ili wawekwe watu wao.
Nawashauri Chadema wabaki na msimamo wao wa mwanzo, kutoyatambua matokeo ya ubunge na Urais wa 2020 na kutopeleka wabunge bungeni, kama shida ni ruzuku, waendelee kuokoteza mitaani kama wanavyofanya.
Kwangu ni bora kupitia machungu ili kulinda heshima, kuliko kubadili msimamo wako na kupata kingi huku ukijipotezea heshima, hapa wasiyumbe kimsimamo.
Hakuna namna wanaweza "substitute" maamuzi yao ya mwanzo kwa kupeleka majina mengine bungeni ikiwa athari za uchaguzi ule bado zipo mpaka leo, hata kama serikali imebadilika.
Yaani watu wote 423 ni wajumbe wahuni? / halima pengeni uliwapa mlungula wakakutolea nje au kulikoni?Dar es Salaam. Aliyekuwa mwanachama wa Chadema, Halima Mdee amesema hakukuwa na uhuru kwa wajumbe wa Baraza Kuu la chama hicho katika upigaji wa kura na kwamba, kilichofanyika ndani ya Baraza hilo ni uhuni.
Matokeo ya jumla
Idadi ya wajumbe 423
Waliokubalina na maamuzi ya Kamati ya kuwafukuza Uanachama ni 413 sawa 97.6%
Wasiokubaliana na uamuzi wa Kamati kuu ni 5 sawa na 1.2%
Wasiofungamana na upande wowote ni 5 sawa na 1.2%
Halima Mdee kukataa kuongea kuwa uhuni gani umefanyika inaonyesha anaenda mahakamani kupinga
Ngoma bado mbichi
Lakini wanaendelea kuwa wabunge hadi kesi iamuliwe ina maana Chadema hawatakuwa na uwezo wa kuteua wabunge wengine
Unaeleweka vizuri sana.Huu uamuzi kama ukifanyika ndio unaenda kuwa mwanzo wa tatizo jingine, hapa zitakuja assumptions za kila aina toka kwa maadui wa Chadema.
Hapa utatumika ukanda, ukabila, mahusiank, dini, na sababu nyingine zote ili kuhalalisha kina Mdee wameonewa ili wawekwe watu wao.
Nawashauri Chadema wabaki na msimamo wao wa mwanzo, kutoyatambua matokeo ya ubunge na Urais wa 2020 na kutopeleka wabunge bungeni, kama shida ni ruzuku, waendelee kuokoteza mitaani kama wanavyofanya.
Kwangu ni bora kupitia machungu ili kulinda heshima, kuliko kubadili msimamo wako na kupata kingi huku ukijipotezea heshima, hapa wasiyumbe kimsimamo.
Hakuna namna wanaweza "substitute" maamuzi yao ya mwanzo kwa kupeleka majina mengine bungeni ikiwa athari za uchaguzi ule bado zipo mpaka leo, hata kama serikali imebadilika.
Viti maalum wanawakilisha wananchi gani?Ni Bora Sasa wapeleke wawakilishi kule bungeni wa kuwasemea wananchi. Ni kweli waligomea matokeo, lkn Sasa hivi SERIKALI iliyopo madarakani inayafanyis kazi malalamiko ya vyama vya upinzani. Wakiendelea kugoma hawatawatendea haki wananchi
kumbe huwa una akiliWakienda mahakamani hawatalipwa tena na bunge, mpaka labda washinde kesi ndio watalipwa malimbikizo yao ya mishahara! ni sawa na kufukuzwa kazi, ukipinga mahakamani hulipwi mshahara mpaka ushinde kesi....
Kama nchi ikipoteza vitu, hilo sio kosa la Chadema, ni kosa la wale wajinga waliochezea uchaguzi wakidhani wanawakomoa Chadema.Shida ni kwamba kuna vitu kama nchi itapoteza. Je nchi ipoteze karibu 2 T kwa CHADEMA kuendelea na msimamo?
Hapa patamu sana.Unaeleweka vizuri sana.
Lakini ni kama hayo yamekwishapitwa na wakati, kutokana na mahusiano mapya na utawala uliopo sasa. Ni kama vile Mbowe amekwishatambua uhalali wa serikali iliyopo madarakani. Kusema hawaitambui kwa vile uchaguzi haukuwa wa haki kutazua maswali yaliyo wazi: Mbowe anajihusisha vipi na uongozi usiotambulika na chama chake?
Mbaya zaidi, haiwezekani tena wakati huu kudai uchaguzi urudiwe tena!
😄na chakula chenyewe ni endelevuUlaji ndio lengo la Mbowe😅 hawezi kukuweka kama hapati chakula kidogo hapo
Last kicks of a dying horse after butcher's sword has passed through the wind pipeDar es Salaam. Aliyekuwa mwanachama wa Chadema, Halima Mdee amesema hakukuwa na uhuru kwa wajumbe wa Baraza Kuu la chama hicho katika upigaji wa kura na kwamba, kilichofanyika ndani ya Baraza hilo ni uhuni.
Matokeo ya jumla
Idadi ya wajumbe 423
Waliokubalina na maamuzi ya Kamati ya kuwafukuza Uanachama ni 413 sawa 97.6%
Wasiokubaliana na uamuzi wa Kamati kuu ni 5 sawa na 1.2%
Wasiofungamana na upande wowote ni 5 sawa na 1.2%
Lakini wanaendelea kuwa wabunge hadi kesi iamuliwe ina maana Chadema hawatakuwa na uwezo wa kuteua wabunge wengine
Ndio, hawataweza mpaka kesi iishe.
Hivi hawatapewa mafao?