Halima Mdee: Walichofanya wajumbe wa Baraza Kuu CHADEMA ni Uhuni! Mimi ni CHADEMA, nitaendelea kuwa CHADEMA

Halima Mdee: Walichofanya wajumbe wa Baraza Kuu CHADEMA ni Uhuni! Mimi ni CHADEMA, nitaendelea kuwa CHADEMA

Mimi nashauri wangeomba msamaha tu warudi kuwa wanachama wa kawaida kwanza then watagombea tena. Wafuate nyayo za akina Sophia Simba, Benard Membe n.k Halima Mdee anaonesha bado ni CHADEMA damu kama vile Manara kwa Simba Sc.
 
Mkuu, unatakiwa kujua kua mahakama ndie muamuzi wa mwisho kwenye jambo lolote nchi hii.

Kwa hiyo wana haki ya kwenda mahakamani wakitaka. Kumbuka ishu ya Zitto.

Nachokisema, inawezekana mahakama ikakubaliana na uamuzi wa chadema 100% na hilo halina ubishi.

Ila kwa kitendo cha kwenda mahakamani, wanafanya mchezo wa kuchelewesha ama delaying techniques. Kwa hiyo hata Bunge haliwezi kuwafukuza maana bado ni wanachama hadi mahakama itoe majibu, tayari huo muda unakua umeenda na kama ni vikao vya bunge 2 ama 3 wnaakua wamekula hela zetu.

Tusubiri tuangalie.
Kwa mujini Wa katiba ya chadema ukienda mahakamani kukishitaki chama kwa maamuzi kiliyofanya unapoteza wanachama wako directly. Zito alipoteza wanachama directly
 
Wapewe pole zao hakina mama wanasafari ndefu sana bado nchi hii.

Yaani watu walitaka wawaamulie kuchukua ubunge au kuacha, kitu walichosusia wenyewe leo tena wanakitaka.

Huo sasa ndio unyanyasaji wa kijinsia nitashangaa raisi wa nchi ambae ni mwanamama, speaker ambae ni mwanamke na waziri wa wizara ya akina mama ambae ni mwanamke wakitetea udhalilishaji huu kwenye jamii.
 
[mention]britanicca [/mention] tunasubiri ahadi uliyotuahidi kuona unaitimiza;
 
Hivi umemsikiliza vizuri Mbowe kwenye hotuba yake?

Timu ya watu 10 wa Chadema watakutana na Rais na timu yake, sasa kama Rais mnamtambuwa ni kwa nini wabunge wasiende kuapishwa?

Acheni siasa za itikadi kali mambo yamebadirika na huyu mama ndio Suluhu yenyewe, hii sio awamu ya kuipoteza.
Wakati ule akisema; "hata wasipopigiwa kura wao ndio watatangazwa washindi" alikuwa amelewa? huu ni uthibitisho CCM hawaaminiki.

I know wewe reasoning yako inakuwa influenced na mahaba yako kwa mama, sidhani kama unaweza kujadili hili suala vizuri.

Unaelewa matokeo ya ule uhuni uliofanyika ndio chanzo cha Chadema kuwafukuza kina Mdee leo kwa usaliti?

Sitaki kujua ni nini watakachozungumza wakikutana hao jamaa, lakini kitendo chochote cha Chadema kupeleka wabunge wengine wa viti maalum bungeni ni usaliti.

Ni usaliti wa dhamira zao na ahadi zao, usaliti kwa wale walioibiwa kura zao halali za ubunge majimboni, na ni usaliti kwa watanzania wanaowapa michango mbalimbali kwa ajili ya shughuli za kuendeshea chama chao.
 
Ukweli ni kwamba Mbowe na Mnyika wanajua wamewasaliti kina Mdee. Mawasiliano ya simu yapo na sauti. Subirini labda wasiende mahakamani.
Hilo mbona lipo wazi ila hao wakereketwa hawawezi kukuamini.
 
Dar es Salaam. Aliyekuwa mwanachama wa Chadema, Halima Mdee amesema hakukuwa na uhuru kwa wajumbe wa Baraza Kuu la chama hicho katika upigaji wa kura na kwamba, kilichofanyika ndani ya Baraza hilo ni uhuni. Na Mbowe anajua ni Uhuni. Nitaongea siku nyingine kwa Urefu leo sio siku mwafaka. Mimi Halima Mdee ni CHADEMA na nitaendelea kuwa chadema
View attachment 2221228
Matokeo ya jumla

Idadi ya wajumbe 423

Waliokubalina na maamuzi ya Kamati ya kuwafukuza Uanachama ni 413 sawa 97.6%

Wasiokubaliana na uamuzi wa Kamati kuu ni 5 sawa na 1.2%

Wasiofungamana na upande wowote ni 5 sawa na 1.2%

Pia, soma;


====

UPDATES ;

=====

Habari zaidi kutoka Gazetini;

Dar es Salaam. Aliyekuwa mwanachama wa Chadema, Halima Mdee amesema hakukuwa na uhuru kwa wajumbe wa Baraza Kuu la chama hicho katika upigaji wa kura na kwamba, kilichofanyika ni uhuni.

Mdee ambaye amepata kuwa mbunge wa Jimbo la Kawe na Katibu wa Baraza la Wanawake wa Chadema, Bawacha, ni miongoni mwa makada walifukuzwa baada ya Bazara Kuu kubariki uamuzi wa Kamati Kuu ya Chadema kuwafukuza ndani ya chama kwa kukubali kwenda kuapishwa na kuwa wabunge kinyume cha matakwa ya chama hicho.

Matokeo ya jumla

Idadi ya wajumbe 423

Waliokubalina na maamuzi ya Kamati ya kuwafukuza Uanachama ni 413 sawa 97.6%

Wasiokubaliana na uamuzi wa Kamati kuu ni 5 sawa na 1.2%

Wasiofungamana na upande wowote ni 5 sawa na 1.2%

Chanzo: Mwananchi
Yeye na kundi lake ndio wahuni. Nyani haoni kundule.
 
Wewe Halima ulijisajau ukajiweka juu ya kila kitu ktk chama sasa mmetimuliwa unaona Baraza kuu ni wahuni.

Nani muhuni aliyetelekeza matakwa ya katiba au wewe uliyetekeleza matakwa ya ccm chini ya mchizi ndugai na dikteta mwendazake?

Waliwaponza, nilifikiri una akili kumbe mjinga, nafuta na namba yako ya simu kwenye simu yangu shenzi kabisa
Ni bora angetumia lugha ya kusema sheria haikufuatwa but kuwaita wanakamati ni wahuni ni kudhalilisha zaidi chama
alisikika nwanafisiemu mmoja wa K koo
 
Hawa wameshajiona kama wamekuwa chama ndani ya chama hakuna mtu atakubali kuwa na kikundi kisichokuwa na nidhamu na kuheshimu uongozi wa juu hakuna anaweza kuvumilia watu wa aina hii kiwe chama chochote au hata kikundi cha kwaya tu huwezi kuvumilia mtu au watu wasiokuwa na nidhamu hata siku moja.
Ahahaa..mkuu umenigusa ..mwaka jana nikiwa mwenyekiti wa kwaya tukataka kuleta mapinduzi na katibu wangu ndani ya kikundi..mchungaji akatufukuza 😂😂😂😂😂😂
 
Ukihukumiwa adhabu haisimami kwa kuomba rufaa, are you informed of that?
Wanaweza kwenda Mahakamani wakaomba order ya status quo pending main case kama watakuwa wamefile na wamebaini katiba ya CDM haikufuatwa kisawasawa wakati wanatimiliwa
 
Dar es Salaam. Aliyekuwa mwanachama wa Chadema, Halima Mdee amesema hakukuwa na uhuru kwa wajumbe wa Baraza Kuu la chama hicho katika upigaji wa kura na kwamba, kilichofanyika ndani ya Baraza hilo ni uhuni. Na Mbowe anajua ni Uhuni. Nitaongea siku nyingine kwa Urefu leo sio siku mwafaka. Mimi Halima Mdee ni CHADEMA na nitaendelea kuwa chadema
View attachment 2221228
Matokeo ya jumla

Idadi ya wajumbe 423

Waliokubalina na maamuzi ya Kamati ya kuwafukuza Uanachama ni 413 sawa 97.6%

Wasiokubaliana na uamuzi wa Kamati kuu ni 5 sawa na 1.2%

Wasiofungamana na upande wowote ni 5 sawa na 1.2%

Pia, soma;


====

UPDATES ;

=====

Habari zaidi kutoka Gazetini;

Dar es Salaam. Aliyekuwa mwanachama wa Chadema, Halima Mdee amesema hakukuwa na uhuru kwa wajumbe wa Baraza Kuu la chama hicho katika upigaji wa kura na kwamba, kilichofanyika ni uhuni.

Mdee ambaye amepata kuwa mbunge wa Jimbo la Kawe na Katibu wa Baraza la Wanawake wa Chadema, Bawacha, ni miongoni mwa makada walifukuzwa baada ya Bazara Kuu kubariki uamuzi wa Kamati Kuu ya Chadema kuwafukuza ndani ya chama kwa kukubali kwenda kuapishwa na kuwa wabunge kinyume cha matakwa ya chama hicho.

Matokeo ya jumla

Idadi ya wajumbe 423

Waliokubalina na maamuzi ya Kamati ya kuwafukuza Uanachama ni 413 sawa 97.6%

Wasiokubaliana na uamuzi wa Kamati kuu ni 5 sawa na 1.2%

Wasiofungamana na upande wowote ni 5 sawa na 1.2%

Chanzo: Mwananchi
Usaliti ni uhaini.
 
Wakubali tu kuwa ukweli siku zote uta prevail tu hata ukifunikwa vipi.

Sheria ndio huamua haki na huhifadhi haki ni kwamba walichelewesha tu maamuzi ila kimsingi regardless Mbowe aliamua kuwakomoa but ndo katiba inavyotaka kuwa wasiendelee kuwa wabunge as long as sio wanachama. Huu ukweli its time waukubali.
Na siku zinavyozidi kwenda Kuna mmoja atajitia kitanzi
 
Back
Top Bottom