Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Benard Camilius Membe ni Kachero Mbobezi.Umekua ukijidai mpinga sera sana sasa mwisho wako umewadia,hao wawili ni chambo tu wewe ndo mlengwa na sasa mwisho wako kisiasa umefika
Mwache akome na yeye! Yeye naye alisimamia kuwakata akina EL, Pinda na wengine, akidai hawana maadili.Jiwe halina shukurani. Kabisa!! Kinana kuhojiwa!! Wapi na wapi. Where n where
Niguse ninukeUmekua ukijidai mpinga sera sana sasa mwisho wako umewadia,hao wawili ni chambo tu wewe ndo mlengwa na sasa mwisho wako kisiasa umefika
Yule aliyekuwa anawatukana wazee vipi ataitwa?Umekua ukijidai mpinga sera sana sasa mwisho wako umewadia,hao wawili ni chambo tu wewe ndo mlengwa na sasa mwisho wako kisiasa umefika
Chama cha siasa kama kanisa au msikiti, kila mtu anakaribishwa
ataenda ACT huyo, CDM hawana interest tena na hizo calibre, ndio maana sasa hivi wanazipukuchukua zote kimya kimya, wacha aende kwa yule msanii!
Halmashauri kuu ya CCM imewatahadharisha wabunge watatu machachari Nape, January na Ngeleja kuwa watavuliwa uanachama endapo hawatajirekebisha baada ya kupata msamaha kutoka kwa Mwenyekiti Dr Magufuli na chama kwa ujumla.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Wananchi wanaipenda CCM hilo halina mjadala!
Sasa chama ndio kimerudi kwa wanachama kutoka kwa mafisadi!
Ni kweli, wanatakiwa wabaki makondoo wa Magu tu.
Ila wajue kuwa zama zao zitapiga na wao watakuja kutobolewa vile vileHabari zilizotufikia hivu punde zinasema kamati ya ccm inayoendelea na vikao vyake jijini Mwanza inasema imewaita Benard Membe,Yusufu Makamba na Abdulahman Kinana kufika Mwanza mara moja kujielezaView attachment 1291287View attachment 1291288View attachment 1291289
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikiwa inapemdwa kwanini mnafunga office na kukimbia?Wananchi wanaipenda CCM hilo halina mjadala!
Makamba senior, Membe na Kinana je,mbona walifanya makosa yanayofanana na akina Nape,Chama hakitawaita kuwahoji?Taarifa yako ina mapungufu.Halmashauri kuu ya CCM imewatahadharisha wabunge watatu machachari Nape, January na Ngeleja kuwa watavuliwa uanachama endapo hawatajirekebisha baada ya kupata msamaha kutoka kwa Mwenyekiti Dr Magufuli na chama kwa ujumla.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Wananchi wenyewe kama ndiyo hawa hakuna tabuWananchi wanaipenda CCM hilo halina mjadala!