Huyo Zelothe Stephen aliyependekezwa kugombea uenyekiti Arusha si aliwahi kuwa kamanda wa Polisi au majina yanafanana!?
Membe ni bora asiende maana wanaweza kumkolimba
Au kumtundulissu
Hivi kumhisi mtu kuwa atachukuwa fomu ya kugombea urais, ndiyo inayomletea chuki kiasi hiki Bernard Membe??Umekua ukijidai mpinga sera sana sasa mwisho wako umewadia,hao wawili ni chambo tu wewe ndo mlengwa na sasa mwisho wako kisiasa umefika
Ndio huyo huyo hujakosea,Pensheni zote alizolipwa hazijamnufaisha itakuwaHuyo Zelothe Stephen aliyependekezwa kugombea uenyekiti Arusha si aliwahi kuwa kamanda wa Polisi au majina yanafanana!?
Usichanganye fomu za urais na uwenyekiti wa CCM! Tena mwaka 2010 hata fomu ya urais hakuna mwana CCM aliyechukua fomu ya urais!Rudisha Kumbukumbu nyuma
Mwaka 2005 CCM waliochujua Fomu walikuwa 24
Mwaka 2010 waliochukua fomu walikuwa 14
Mwaka 2015 walichukua fomu watu 40
Usidanganye watu aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio uyo uyo alikuwa POLICCM alafu kuna mtoto wake pia yupo uvccmHuyo Zelothe Stephen aliyependekezwa kugombea uenyekiti Arusha si aliwahi kuwa kamanda wa Polisi au majina yanafanana!?
Wafukuzwe tu hao kwanza mmoja wao ana uraia wa mashaka!
Umewaza kama MimiUmekua ukijidai mpinga sera sana sasa mwisho wako umewadia,hao wawili ni chambo tu wewe ndo mlengwa na sasa mwisho wako kisiasa umefika