Karne
JF-Expert Member
- Jun 13, 2016
- 8,118
- 13,547
Watu wazima hawakatai wito bali hukataa walichoitiwa.
Watakiweka pabaya kisiasa kizazi chao chote ndani ya CCM ambayo bado ina decades kadhaa madarakani.
Watapoteza marafiki na watu wao wa karibu ukiangalia majority watakuwa ni haohao.
Wataziweka pabaya biashara zao na za washirika wao.
Makaburi yao yatafukuliwa kama ijulikanavyo report ya uhakiki wa mali za CCM sidhani kama hao makatibu wakuu wastaafu wako salama 100% hata kwa technicalities tu.
Watakiweka pabaya kisiasa kizazi chao chote ndani ya CCM ambayo bado ina decades kadhaa madarakani.
Watapoteza marafiki na watu wao wa karibu ukiangalia majority watakuwa ni haohao.
Wataziweka pabaya biashara zao na za washirika wao.
Makaburi yao yatafukuliwa kama ijulikanavyo report ya uhakiki wa mali za CCM sidhani kama hao makatibu wakuu wastaafu wako salama 100% hata kwa technicalities tu.