Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Shetani hana rafiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mku usijari kila aneamini atabatizwaidawa,
Sasa umefika wakati wa mzee Makamba kupewa ubatizo wa Moto, Musiba alitumika Kama chambo tu
Mwakani atakua kwenye kampeni ya nani? Labda kule upande wapili. Huku wameshamuudhi.Mzee makamba atayamaliza tu
Vijana wake walitaka wamtumie vibaya kwa tamaa ya madaraka
Naamimi mwakani atakuwa jukwaani kwenye kampeni
Sasa hivi hawa wazee wote wakiamua kutokwenda alafu wakafukuzwa kwenye Chama zaidi watapoteza nini?
Mbowe hakuna wa kumhoji chadema hata afuje vipi mali za chadema na kukanyaga Katiba.
Mzee makamba atayamaliza tu
Vijana wake walitaka wamtumie vibaya kwa tamaa ya madaraka
Naamimi mwakani atakuwa jukwaani kwenye kampeni
Makamba anaweza kuomba msamaha na atayamaliza....ila nina wasiwasi na kinana na membe wanaweza kuleta ubeberu
Kwani hayati Mtikila alipokiita chama kile Chama Cha Majambazi unadhani alikuwa akikosea?Huyo Zelothe Stephen aliyependekezwa kugombea uenyekiti Arusha si aliwahi kuwa kamanda wa Polisi au majina yanafanana!?
huyu ni mtoto wa huyo kamandaHuyo Zelothe Stephen aliyependekezwa kugombea uenyekiti Arusha si aliwahi kuwa kamanda wa Polisi au majina yanafanana!?
likuwa kuwa Kamanda wa Polisi alafu aliteuliwa kuwa DC Musoma na baadaye RC mkoa wa RukwaHuyo Zelothe Stephen aliyependekezwa kugombea uenyekiti Arusha si aliwahi kuwa kamanda wa Polisi au majina yanafanana!?
Naamini kabisa, baada ya Jiwe kuondoka madarakani, CCM kwa kauli moja itawaomba radhi Kinana na Makamba kwa udhalilishaji wanaofanyiwa sasa. Kuhusu Membe watamurudisha kundini fasta
Ndie yeye mkuu, ccm ina vituko sanaHuyo Zelothe Stephen aliyependekezwa kugombea uenyekiti Arusha si aliwahi kuwa kamanda wa Polisi au majina yanafanana!?
Usitumie hisia kujibu ndgMzee Makamba hajatumika. Mzee Makamba alikuwa ANATUKANWA hadharani na MTU anayejinadi kama anamtetea RAISI, na hadi leo hii MSIBA hajaguswa na mtu.
Hivyo basi, rekebisha kauli. Walichokifanya KINANA na MAKAMBA ndio kujisafisha mbele ya umma. Na wakiitwa huko MAADILI wataendelea KUJISAFISHA.
Mtu kama Mzee MAKAMBA na KINANA hawahitaji tena KINGA ya CCM. Umri ushakwenda, nina uhakika wataweka maslahi ya TAIFA mbele