Small letter
JF-Expert Member
- Jun 7, 2024
- 280
- 177
Mbona iko sawa, Wanakodi kwa Kila mwakaHalmashauri ya Longido imeipa familia ya Rostam Aziz mapori 3 kwa uwekezaji wa Carbon credit wa miaka 15 kwa malipo ya Tsh. Milioni 10 kwa kila pori kwa mwaka.
Mkataba huo umesaniwa na Akram Azizi ambaye ni Director wa kampuni iliyoingia mkataba huo ya Kilombero North Safaris.
Marejeo na maboresho ya mkataba huu yatafanyika kila baada ya miaka 5 ili kuendana na mahitaji ya wakati huo.
Kama biashara hauko na ufahamu nayo usiifanye, tafuta elimu na ujuzi kuhusu biashara hiyo halafu sasa way out kama itakufaidisha au itamfaidisha mwekezaji.Yap ina onekana biashara nyepesi lakn ghali kwa mtu wa kawaida kufahamu logistics zake
Mkaldayoooooo waarabu wanaimega nchi wewe unachamba vizee tu huko badala uje ukomboe rasilimali za nchi.Mkuu home kwenu huko wewe sabaya na mbusii Chaliifrancisco
Bora kuchamba unapata baraka kutoka harufu ya mikundu ya mibibi mizee ya kizungu kuliko mimatumbi uchwara ukitaka kuisaidia inakuroga.Mkaldayoooooo waarabu wanaimega nchi wewe unachamba vizee tu huko badala uje ukomboe rasilimali za nchi.
UmbwaaaaπBora kuchamba unapata baraka kutoka harufu ya mikundu ya mibibi mizee ya kizungu kuliko mimatumbi uchwara ukitaka kuisaidia inakuroga.
Mgerasi wewe ni umbwaaa
Tueleweshe boss. Hakuna mtu anaejua kila kitu, wewe kama unajua tuambie na sisi kuna siku tutakuambia tunayojua.Hivi mnajua mnajua nmna biashara y carbon inavyofanyika? Au tunalalamika tu? Tuanzia hapo kwanza
naaam wacha tuzidi kuongezewa sisi wenye nacho. poleni
10*3Milioni kumi kwa mwaka, na mapori yako matatu.
watu wa ukimani wanateseka sisi diaspora tunachekea chooni.Bora kuchamba unapata baraka kutoka harufu ya mikundu ya mibibi mizee ya kizungu kuliko mimatumbi uchwara ukitaka kuisaidia inakuroga.
Mgerasi wewe ni umbwaaa
Safi.Halmashauri ya Longido imeipa familia ya Rostam Aziz mapori 3 kwa uwekezaji wa Carbon credit wa miaka 15 kwa malipo ya Tsh. Milioni 10 kwa kila pori kwa mwaka.
Mkataba huo umesaniwa na Akram Azizi ambaye ni Director wa kampuni iliyoingia mkataba huo ya Kilombero North Safaris.
Marejeo na maboresho ya mkataba huu yatafanyika kila baada ya miaka 5 ili kuendana na mahitaji ya wakati huo.
Unajua kusoma au unasumbuliwa na ujinga?Milioni kumi kwa mwaka, na mapori yako matatu.
Wewe ulitakaje?Halmashauri ya Longido imeipa View attachment 3012921View attachment 3012922View attachment 3012923View attachment 3012924familia ya akina Rostam mapori 3 kwa uwekezaji wa Carbon offset Kwa miaka 15 kwa malipo ya Tsh 10m Kwa kila pori kwa mwaka.
Hii hela hapa Arusha haupati hata kiwanja cha Mita 15x10.
Mlifunzwa Ulalamishi na upumbavu wakati watu wanakamatia fursa, endeleeni kuongea muone kama Kuna kitu kitabadilika kwenye maisha yenuHatari sana halafu watu wakiongea wanaonekana wapinzani
Google it utaelewa vizuri kuliko nikikueleza hapa, Rostam atapata pesa na jina zuri kwenye makampuni yake anajali mazingira, yes vijiji vinaweza na ndio inatakiwa iwe hivyo, program za carbon credits zipo nyingi Tatizo serikali haisaidii kuelimisha watu wapige pesa inaachia wenye pesa na uelewa wapige pesa peke yaoHivi hii carbon credit inafanya kazi namna gani? Rostam anapata nini kwenye huu uwekezaji? Na hivyo vijiji haviwezi kuwekeza vyenyewe?
Vp leo simba yanga wana mpya gani πMlifunzwa Ulalamishi na upumbavu wakati watu wanakamatia fursa, endeleeni kuongea muone kama Kuna kitu kitabadilika kwenye maisha yenu