Hamas hawana shukran au hawana ufahamu, kifupi wako primitive

Hamas hawana shukran au hawana ufahamu, kifupi wako primitive

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Katika kitu kilichonikatisha tamaa ni kuona katika hotuba ya msemaji wa Hamas hakutaja nchi kama South Africa au Ireland ambao kwa nafasi kubwa wamepambana sana kwenye hii vita.

Zipo nchi za America kusini walifukuza hadi baloz wa Israel, kuna wananchi kibao wa nchi za magharib ambao hata si waislam waliwekwa hadi ndani, wengine walijiua kabisa kama yule mwanajeshi wa marekani.

Ni jambo la ajabu kuja kuwashukuru nchi za kiarabu na ulimwengu wa kiislam wakati kisha unashukuru wengine kwa ujumla.

Hata baada ya zaidi ya miez 15, bado hawajaweza kujua kua “it was not about islam/religion, rather the humanity, which was shown all over the world.”

To be honest, am disappointed to this but am happy the war has ended.
 
South Africa kwa lipi? ama zile kesi walizofungua ICC, hakuna nchi za kizungu ata 1 ilisimama na palestina kwa dhati ukitoa wananchi wema ambao walikuwa wanaandama kupinga mauaji ya kimbari, nchi zote ziliufayata, ata baadhi za majirani pia, kama Saudia, Oman, Misri nk wote waliufyata, walikataa hadi ndugu zao wapalestine kuwapa makaazi baada ya zilzala ya Gaza, wewe unafkiri nani anastahili shukurani
 
Nyie ni watu wapumbavu sanaaa kuwahi kutokea katika dunia

Nyie ni kundi la kiboya kuwahi kutokea katiak sayari


Nyie ni utapeli mkubwa kuwahi kufahamika katika ulimwengu huu

🚮🚮🚮🚮
 
Katika kitu kilichonikatisha tamaa ni kuona katika hotuba ya msemaji wa Hamas hakutaja nchi kama South Africa au Ireland ambao kwa nafasi kubwa wamepambana sana kwenye hii vita.

Zipo nchi za America kusini walifukuza hadi baloz wa Israel, kuna wananchi kibao wa nchi za magharib ambao hata si waislam waliwekwa hadi ndani, wengine walijiua kabisa kama yule mwanajeshi wa marekani.

Ni jambo la ajabu kuja kuwashukuru nchi za kiarabu na ulimwengu wa kiislam wakati kisha unashukuru wengine kwa ujumla.

Hata baada ya zaidi ya miez 15, bado hawajaweza kujua kua “it was not about islam/religion, rather the humanity, which was shown all over the world.”

To be honest, am disappointed to this but am happy the war is end.
Hiyo statement ipo wapi mkuu??..
 
Nchi ya kiarabu kaitaja moja 1 Yemen peke yao Pelestina kila siku wanaitaja Africa Kusini kama ndugu zao wa dhati.

Wamewashukuru watu wate walikuwa wanawapambania.
 
Mtoa mada shukuru Mungu umezaliwa Tanzania, unless ungekuwa na fikra tofauti right now.
 
Katika kitu kilichonikatisha tamaa ni kuona katika hotuba ya msemaji wa Hamas hakutaja nchi kama South Africa au Ireland ambao kwa nafasi kubwa wamepambana sana kwenye hii vita.

Zipo nchi za America kusini walifukuza hadi baloz wa Israel, kuna wananchi kibao wa nchi za magharib ambao hata si waislam waliwekwa hadi ndani, wengine walijiua kabisa kama yule mwanajeshi wa marekani.

Ni jambo la ajabu kuja kuwashukuru nchi za kiarabu na ulimwengu wa kiislam wakati kisha unashukuru wengine kwa ujumla.

Hata baada ya zaidi ya miez 15, bado hawajaweza kujua kua “it was not about islam/religion, rather the humanity, which was shown all over the world.”

To be honest, am disappointed to this but am happy the war is end.
Huwajui waarabu? Wanaongea na wewe maana unakuta hakuna namna ila hawakuhtaji.
 
Katika kitu kilichonikatisha tamaa ni kuona katika hotuba ya msemaji wa Hamas hakutaja nchi kama South Africa au Ireland ambao kwa nafasi kubwa wamepambana sana kwenye hii vita.

Zipo nchi za America kusini walifukuza hadi baloz wa Israel, kuna wananchi kibao wa nchi za magharib ambao hata si waislam waliwekwa hadi ndani, wengine walijiua kabisa kama yule mwanajeshi wa marekani.

Ni jambo la ajabu kuja kuwashukuru nchi za kiarabu na ulimwengu wa kiislam wakati kisha unashukuru wengine kwa ujumla.

Hata baada ya zaidi ya miez 15, bado hawajaweza kujua kua “it was not about islam/religion, rather the humanity, which was shown all over the world.”

To be honest, am disappointed to this but am happy the war is end.
Hao jamaa walivyo ulitegemea washukuru? Tena hao uliowataja? Wallahi mbingu na nchi zitapita kuliko hilo kutokea.
 
Katika kitu kilichonikatisha tamaa ni kuona katika hotuba ya msemaji wa Hamas hakutaja nchi kama South Africa au Ireland ambao kwa nafasi kubwa wamepambana sana kwenye hii vita.

Zipo nchi za America kusini walifukuza hadi baloz wa Israel, kuna wananchi kibao wa nchi za magharib ambao hata si waislam waliwekwa hadi ndani, wengine walijiua kabisa kama yule mwanajeshi wa marekani.

Ni jambo la ajabu kuja kuwashukuru nchi za kiarabu na ulimwengu wa kiislam wakati kisha unashukuru wengine kwa ujumla.

Hata baada ya zaidi ya miez 15, bado hawajaweza kujua kua “it was not about islam/religion, rather the humanity, which was shown all over the world.”

To be honest, am disappointed to this but am happy the war is end.
Nanukuu:
"To be honest, am disappointed to this but am happy the war is end".
This is a real illusion. The war has not ended bro. but it has entered in a state of dormancy. Kesho au kesho kutwa utasikia wameliamsha tena. Hawaaminiki hao majamaa. Wee subiri tu utaona. Hao wana ile roho ya kupenda sana choko-choko za kivita na umwagaji wa damu kila wakati - hawatulii.
 
Nchi ya kiarabu kaitaja moja 1 Yemen peke yao Pelestina kila siku wanaitaja Africa Kusini kama ndugu zao wa dhati.

Wamewashukuru watu wate walikuwa wanawapambania.
Na hata hiyo Yemen wameitaja tu kupotezea ila lakini mlengwa ni Houthis.
 
South Africa kwa lipi? ama zile kesi walizofungua ICC, hakuna nchi za kizungu ata 1 ilisimama na palestina kwa dhati ukitoa wananchi wema ambao walikuwa wanaandama kupinga mauaji ya kimbari, nchi zote ziliufayata, ata baadhi za majirani pia, kama Saudia, Oman, Misri nk wote waliufyata, walikataa hadi ndugu zao wapalestine kuwapa makaazi baada ya zilzala ya Gaza, wewe unafkiri nani anastahili shukurani
Lakini kiUkweli hapo ni Utovu wa shukrani. Yan hata hao walioandamana si ni ishara wazi kwamba walikuwa wanawaunga mkono ktk.harakati zao na kuonesha kusikitishwa na kile kilichokuwa kinaendelea hapo nchini kwao? OK. kama ndo hivo; wameshindwa hata kumtaja Hezbollah na raia wa Lebanon kwa ujumla ambao walidhuriwa kwa ajili yao? Basi labda wangeliishukuru Israel kwa kuridhia cease fire deal. Halafu wameshindwa hata kuficha ile megalomania ya Waislam wengi kujiona wao ndo wako sahihi na wengine ni makafiri.
 
Abu Ubaydah (H) did not mention any nation other than Iran, Lebanon, Iraq, Yemen, and he remembered the Jordanian resistance fighters who infiltrated occupied territories to carry out operations.

He did not mention Saudi Arabia, Egypt, the UAE, the current Syrian regime, or especially the fake, imposed leader of Turkey because they betrayed and stabbed palestine regularly.

Abu Ubaydah is the only seal of authenticity for the Palestinian cause. Whoever goes against him is an enemy of Palestine, its resistance, its martyrs, and an enemy of Islam.

#GazaWon

🔹@enemywatch
 
Halafu kuna miarabu koko humu jf kutwa kucha kuwashobokea! Ajabu sana.
Kwani wazungu wanakuhitaji wewe mtu mweusi? Marekani kila siku watu weusi wanauwawa kama nzige tu?
 
Hakuna mzungu wala mwarabu anayetupenda sisi WATU WEUSI(WAAFRIKA) wote wanatuona sisi ni takataka tu. So if you are a black man you need to know that your close relative is your fellow black man.

Mimi ndugu yangu ni mweusi mwenzangu ninayeishi naye tanzania ambaye anaweza kunisaidia chumvi,kiberiti na hata jero nikiumwa nipate hata paracetamol ya kutuliza maumivu.

Sina undugu na mpalestina wala myahudi ila siachi kuwaombea AMANI NA UTULIVU waache VITA waache KUUWANA because after all WE ARE ALL HUMANS na ni jukumu la kila binadamu kuifanya DUNIA iwe sehemu salama ya kuishi.
 
Back
Top Bottom