Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza kwa nn wasimamishe vita? HAITAKIWI KABSA KABSA KABSAHAMAS walishindwa kufanya homework ya kuandaa mipango thabiti,
Israel hawez kubal kistoppisha vita siku 3
Onyesha wapi kaomba Hamasi, wanaomba ni watu wa Israel, America na vibaraka wa nchi za kiarabu huyo Mqatari ndio katumwa na Mossad na America lakini kwenye media Israel anajidai mwamba kumbe Fala 😄Hamas mafala Sana. Unaomba mapumziko ya Nini?.
Ww jamaa unafurahishaga sana komenti zako🤣Onyesha wapi kaomba Hamasi, wanaomba ni watu wa Israel, America na vibaraka wa nchi za kiarabu huyo Mqatari ndio katumwa na Mossad na America lakini kwenye media Israel anajidai mwamba kumbe Fala 😄
Israel watu wanakimbia wewe baki Israel itaizunguka Gaza simlisema Ijumaa Hamasi anamalizwa
We weka akilini ingekuwa Israel mwamba asinge simamisha sababu hao wenye lana hawasiki la mtu
Wanacho sikia ni fimbo tu za Hamasi ndio zimewafanya wasimamishe vita hali ni mbaya sana upande wa Israel
Mm nataka mabikra wa kiarabu jombaa! Maana nahisi Osama bin Laden anafaidi sana huko aliko.Nenda kwa masista,zipo nyingi
Sema jamaa we Bado sana kwenye geopolitics!!! comments zako zinafurahisha sana [emoji2][emoji2][emoji2] anyways next time unaandika Jf acha story za vijiwe vya kahawa,na Tv za mtandaoni+blog uchwara za propagandaOnyesha wapi kaomba Hamasi, wanaomba ni watu wa Israel, America na vibaraka wa nchi za kiarabu huyo Mqatari ndio katumwa na Mossad na America lakini kwenye media Israel anajidai mwamba kumbe Fala [emoji1]
Israel watu wanakimbia wewe baki Israel itaizunguka Gaza simlisema Ijumaa Hamasi anamalizwa
We weka akilini ingekuwa Israel mwamba asinge simamisha sababu hao wenye lana hawasiki la mtu
Wanacho sikia ni fimbo tu za Hamasi ndio zimewafanya wasimamishe vita hali ni mbaya sana upande wa Israel
"Wanaomba amani wakati wa vita" [emoji16]Hamas mafala Sana. Unaomba mapumziko ya Nini?.
Si walisema hakuna vita kusimama mpaa wamtoe Hamasi Gaza, kelele za hazipasui choo hasa za hawa wanao tembea na mavi, unamkuta mtu kavaa tai lakini anatembea na mavi 😄Kwanza kwa nn wasimamishe vita? HAITAKIWI KABSA KABSA KABSA
Tunawao [emoji777] Tunawaoa [emoji736].Tatizo hamfahamu mnapewa hadith fake hakuna bikira 72 hio ni nyimbo inaimbwa na watu wakanisani tu, na mnamini si ndio sababu Paulo akawapoteza eti kamuona Yesu ndotoni hata wewe ukimuona Yesu ndotoni basi utaitwa Mtume na wakristo [emoji1]
Sisi kweye uislam bikira tunawapata pale tunawao tu watoto wa kislam, je kanisani mnapata bikira au mnapata mapapa.
Sana sana sana! Bora na wew umeliona hilo. Gaza imezingirwa sijui anafikili watatoa wapi tena risasi na rockets.Ww jamaa unafurahishaga sana komenti zako🤣
Shule mtu akienda anatoa ujinga we bado tu unadanganywa sewage kuwa tunnel na kisima handaki.Tunawao [emoji777] Tunawaoa [emoji736].
Kislam [emoji777] Kiislam [emoji736].
Bikira [emoji777] Bikra [emoji736]
Ulienda shuleni kusomea ujinga?
Mimi unadhani naogopa kufungiwa kwani nalipwa mshahara hapaModerators msituangushe tafadhali.
Wazazi wako hawakukufundisha lugha za staha?
Israel spy chief went to Qatar for negotiations with Hamas to release hostages,habari ipo mtandaoni teleSema jamaa we Bado sana kwenye geopolitics!!! comments zako zinafurahisha sana [emoji2][emoji2][emoji2] anyways next time unaandika Jf acha story za vijiwe vya kahawa,na Tv za mtandaoni+blog uchwara za propaganda
Si mwambieni Natanyahu asisimamishe vita, si alijidai hasimamishi vita au bakora zimemuingia anataka kujikandaHAMAS Wanataka kujipanga , Wapitishe mahitaji mbalimbali.. Wakitaka vita ipumzike waachie mateka wote
Wewe huwa una habari za kufikilika sana,ni wewe ulikuwa unasema IDF waoga hawawezi kutia mguu Gaza,alivyoingia ukapindua maneno kwamba wapo pembezoni huko na wanapigika.Hali inazidi kuwa mbaya HAMAS wamezidiwa hadi wanaomba mapumziko umekuja tena na hadithi yako nyingine ya kubembelezwa.Anyway huwa nafurahia sana kusoma comments zako [emoji3][emoji3]Nyie wacheni ujinga Hamasi kabembelezwa na Qatar, kwani Qatar si anambiwa America.
Mimi sitaki kuona hata Vita isimame shenzi Type America na Qatar hawa ndio wanataka kuonyesha Israel amebembelezwa wakati nyuma ya pazia Israel analia Qatar imsaidie we hujui kwamba mkubwa wa Mossad alienda Qatar kuwabembeleza Qatar wawasaidie kuhusu hao matekwa mbona hi habari hamtoi [emoji1]
Kwahiyo unampinga FaizaFoxy?Tatizo hamfahamu mnapewa hadith fake hakuna bikira 72 hio ni nyimbo inaimbwa na watu wakanisani tu, na mnamini si ndio sababu Paulo akawapoteza eti kamuona Yesu ndotoni hata wewe ukimuona Yesu ndotoni basi utaitwa Mtume na wakristo [emoji1]
Sisi kweye uislam bikira tunawapata pale tunawao tu watoto wa kislam, je kanisani mnapata bikira au mnapata mapapa.
Moderators msituangushe huyu anatumia lugha zakijingaTunawao [emoji777] Tunawaoa [emoji736].
Kislam [emoji777] Kiislam [emoji736].
Bikira [emoji777] Bikra [emoji736]
Ulienda shuleni kusomea ujinga?
Mimi huwa nazisoma huku nacheka mwanzo mwisho[emoji23][emoji23]Ww jamaa unafurahishaga sana komenti zako[emoji1787]