Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Mimi bado nipo kwenye.msimamo wangu hawajienda popote hao hayo majumba yako 3km kutoka border, wataenda wapi wakienda wanamalizwa tena wanafatwa huko huko walipojoficha kwenye majumba walio vunjaWewe huwa una habari za kufikilika sana,ni wewe ulikuwa unasema IDF waoga hawawezi kutia mguu Gaza,alivyoingia ukapindua maneno kwamba wapo pembezoni huko na wanapigika.Hali inazidi kuwa mbaya HAMAS wamezidiwa hadi wanaomba mapumziko umekuja tena na hadithi yako nyingine ya kubembelezwa.Anyway huwa nafurahia sana kusoma comments zako [emoji3][emoji3]
We unajua Gaza iko wapi?