HAMAS kuipiga Israel ni somo kali kwa watawala wote

HAMAS kuipiga Israel ni somo kali kwa watawala wote

Unajua tatizo lako ni kudhani tunabishana na kutokusoma.

Badala ya kupingana na takwimu zangu na wewe ungekuja na za kwako, ila kwa kuwa huna elimu( tofautisha kuhudhuria shule na kupata elimu hayo ni mambo tofauti) acha nikusaidie kidogo.

Pitia hizo link hapo halafu urudi tuendelee na mjadala kama utakuwa na hoja nyingine.

1. Al - Jazeera


2. BBC


3. Wikipedia


4. New York Times


5. Al Monitor


6. The Guardian


7. CBS

Hizo sources zote ulizonipa ni za pande zinazoshiriki kikamilifu kwenye mzozo (conflict of interest); shule yako ni ndogo sana kwenye takwimu na critical thinking. Tafuna sources ambazo ni neutral kwenye mzozo huu zikupe takwimu ambazo ni reliable, unbiased, not faked.
 
Hizo sources zote ulizonipa ni za pande zinazoshiriki kikamilifu kwenye mzozo (conflict of interest); shule yako ni ndogo sana kwenye takwimu na critical thinking. Tafuna sources ambazo ni neutral kwenye mzozo huu zikupe takwimu ambazo ni reliable, unbiased, not faked.
Hakuna unachojua na wala hukusoma hizo link.

Wewe source zako ni zipi? KBC Kenya au gazeti la Alasiri?

BBC ni tatizo, Al jazeera pia kwako sio source ya ukweli?

Unajua AL Monitor? Nayo pia sio source reliable.

Very unreasonable....

Hutaki hizo source weka source zako hapa, umebaki kutoa maneno matupu.
 
Hizo sources zote ulizonipa ni za pande zinazoshiriki kikamilifu kwenye mzozo (conflict of interest); shule yako ni ndogo sana kwenye takwimu na critical thinking. Tafuna sources ambazo ni neutral kwenye mzozo huu zikupe takwimu ambazo ni reliable, unbiased, not faked.
Irrational.........
 
Hamas waliwezaje kuivamia Israel na kuua wanajeshi na kuwateka wayahudi zaidi ya 1000?

Inajulikana kuwa Israel ni taifa lenye mifumo ya kisasa kabisa ya ulinzi ya kugundua na kupiga maadui lakini ni miezi 4 sasa inashindwa kufikia malengo yake kule Gaza. Israel imeikandamiza Palestine tangu mwaka 1967 na kuikalia kimabavu bila kujali nani anasema nini.

Hii ni kusema kuwa ukiwakandamiza sana kwa muda mrefu watu unaodhani ni dhaifu na wanyonge kwakutumia uwezo, maguvu, mamlaka na hila iko siku watu hao "dhaifu" watakuwa wakakamavu kwako na pengine kukushinda vibaya sana. Watawala tendeni haki kwa raia wenu, wazazi tendeni haki kwa watoto wenu, walimu tendeni haki kwa wanafunzi wenu, wachungaji tendeni haki kwa waumini wenu maana iko siku watu wenu watainuliwa na kubuni mbinu mpya ya kuwaangusha.
Wewe Wanajeshi wa Israel ni 🌈 unategemea watapigana vita?

Saizi Netanyahu hazungumzi na Waziri wake wa Ulinzi kisa kichapo Cha Hammas 🤣🤣

Isingekuwa Msaada wa baba wa 🌈 USA ,hao Wayahudi wangekuwa wanasagisha karo za Hammas Kwa midomo Yao 😃😃
 
Hamas waliwezaje kuivamia Israel na kuua wanajeshi na kuwateka wayahudi zaidi ya 1000?

Inajulikana kuwa Israel ni taifa lenye mifumo ya kisasa kabisa ya ulinzi ya kugundua na kupiga maadui lakini ni miezi 4 sasa inashindwa kufikia malengo yake kule Gaza. Israel imeikandamiza Palestine tangu mwaka 1967 na kuikalia kimabavu bila kujali nani anasema nini.

Hii ni kusema kuwa ukiwakandamiza sana kwa muda mrefu watu unaodhani ni dhaifu na wanyonge kwakutumia uwezo, maguvu, mamlaka na hila iko siku watu hao "dhaifu" watakuwa wakakamavu kwako na pengine kukushinda vibaya sana. Watawala tendeni haki kwa raia wenu, wazazi tendeni haki kwa watoto wenu, walimu tendeni haki kwa wanafunzi wenu, wachungaji tendeni haki kwa waumini wenu maana iko siku watu wenu watainuliwa na kubuni mbinu mpya ya kuwaangusha.
Wewe jamaa kiazi sana.

Sasa ndio umeandika nini hapa? Huna unachojua kwenye haya masuala, jadili vitu vya level yako.
 
Hizo sources zote ulizonipa ni za pande zinazoshiriki kikamilifu kwenye mzozo (conflict of interest); shule yako ni ndogo sana kwenye takwimu na critical thinking. Tafuna sources ambazo ni neutral kwenye mzozo huu zikupe takwimu ambazo ni reliable, unbiased, not faked.

Acha mbwembwe na maneno matupu, weka hzo source zako.

Unataka utafutiwe sources kwanini wewe usiweke link hapa kama alivyofanya mwenzako. Umebaki na maneno matupu kama mama muuza vitumbua mtaani.

Umewekewa Al Jazeera, BBC, Al Monitor bado unatoa maneno tu.

Inaonekana wewe unapenda ubishi wa maneno matupu. Jinga kabisa.
 
Hizo sources zote ulizonipa ni za pande zinazoshiriki kikamilifu kwenye mzozo (conflict of interest); shule yako ni ndogo sana kwenye takwimu na critical thinking. Tafuna sources ambazo ni neutral kwenye mzozo huu zikupe takwimu ambazo ni reliable, unbiased, not faked.

Weka hizo source zako neutral hapa acha maneno matupu, inadhihirisha ni mtupu sana kichwani kama unabisha bila kuweka ushahidi tofauti.

Au source yako ipo facebook na magroup ya instagram.

Una kichwa au yai viza juu ya shingo.
 
Hakuna unachojua na wala hukusoma hizo link.

Wewe source zako ni zipi? KBC Kenya au gazeti la Alasiri?

BBC ni tatizo, Al jazeera pia kwako sio source ya ukweli?

Unajua AL Monitor? Nayo pia sio source reliable.

Very unreasonable....

Hutaki hizo source weka source zako hapa, umebaki kutoa maneno matupu.
kama ukitumia google, You tube, Facebook and others sources (search engines) owned by the West then you are dealing with cooked facts. Get out of the box so quickly to safely escape from propagandas.
 
Unajua tatizo lako ni kudhani tunabishana na kutokusoma.

Badala ya kupingana na takwimu zangu na wewe ungekuja na za kwako, ila kwa kuwa huna elimu( tofautisha kuhudhuria shule na kupata elimu hayo ni mambo tofauti) acha nikusaidie kidogo.

Pitia hizo link hapo halafu urudi tuendelee na mjadala kama utakuwa na hoja nyingine.

1. Al - Jazeera


2. BBC


3. Wikipedia


4. New York Times


5. Al Monitor


6. The Guardian


7. CBS

😂😂😂😂😂alikua anatania mzeee daaah sijui kajisikiaje aliko🙌
 
kama ukitumia google, You tube, Facebook and others sources (search engines) owned by the West then you are dealing with cooked facts. Get out of the box so quickly to safely escape from propagandas.
Unachofanya ni kutengeneza furaha yako tutajie source ya kuamini tuone
 
Weka hizo source zako neutral hapa acha maneno matupu, inadhihirisha ni mtupu sana kichwani kama unabisha bila kuweka ushahidi tofauti.

Au source yako ipo facebook na magroup ya instagram.

Una kichwa au yai viza juu ya shingo.
Hesabu halisi ya wayahud waliouawa inapatikana makao makuu ya IDS, wizara ya ulinzi na Ikulu ya Israel na Marekani tu baaaaasi. Vyanzo vyote ni feki kaka.
 
Hilo swala wanawake na watoto tunajua ni propaganda za wavaa kobazi kutafuta huruma za kimataifa kuonyesha wapalestina wanaonewa ili hali walienda kuichokoza Israel wenyewe mpaka sasa imejulikana magaidi wa Hamas wanaiba misaada ya wananchi wa Gaza kwa shughuli za kigaidi pia pia magaidi wanavaa nguo za kiraia kipindi cha mapigano huvaa uniform zao kigaidi kipindi cha parade na au wanapoonyesha picha kipropaganda pia magaidi wa Hamas wanaongoza wizara ya afya ya Gaza na hutangaza vifo vya magaidi wa Hamas kama vifo vya wanawake na watoto wa kipalestina
Yaani unvyoona wewe Hamas ndio kaichokoza Israel? huna akili. Yaani unapokwenda kumpiga ngumi jamaa anaetembea na mkeo kwa miaka 75 wewe ndio mchokozi?
 
Magaidi ya Hamas yamepata funzo zito sana hayatawahi kuja kuivamia kipuuzi, Israel ni moto mkali.
TAZAMA WAKRISTO WANAVYOFANYWA NA WAYAHUDI
Halafu jiulize wewe na wenzako KWANINI KILA SIKU MNATETEA WAYAHUDI? NA KUWAPUUZA HAWA WAKRISTO waliokuleteeni Huo UKRISTO hapa AFRICA?




View: https://youtu.be/aRwlc-_kjhA?si=Xg7-sfWRh8DJa9yS



WAYAHUDI WANATEMEA MATE KIMA MAMA WA WAKRISTO
ISRAEL


View: https://youtube.com/shorts/7uL555xWQeE?si=v0sGvcpZcH1P8WDn

Huyu MYAHUDI ANADAI YESU ALIKUWA Nazi wa Kijerumanj km HITLER..


View: https://youtu.be/hnnggA-mIJI?si=1-u57MohjX2h7ehN
 
Magaidi ya Hamas yamepata funzo zito sana hayatawahi kuja kuivamia kipuuzi, Israel ni moto mkali.
TAZAMA WAKRISTO WANAVYOFANYWA NA WAYAHUDI
Halafu jiulize wewe na wenzako KWANINI KILA SIKU MNATETEA WAYAHUDI? NA KUWAPUUZA HAWA WAKRISTO waliokuleteeni Huo UKRISTO hapa AFRICA?




View: https://youtu.be/aRwlc-_kjhA?si=Xg7-sfWRh8DJa9yS



WAYAHUDI WANATEMEA MATE KIMA MAMA WA WAKRISTO
ISRAEL


View: https://youtube.com/shorts/7uL555xWQeE?si=v0sGvcpZcH1P8WDn

Huyu MYAHUDI ANADAI YESU ALIKUWA Nazi wa Kijerumanj km HITLER..


View: https://youtu.be/hnnggA-mIJI?si=1-u57MohjX2h7ehN
 

Walimuua Bwana Yesu sembuse mchungaji? Mtu anaamuru watoto wa kiume wote wauawe ili kumpata mtoto Yesu nae afe. Wayahud wengi sio wakristo.
 
Israel ikianza kuwachaka Hamas mnalia lia haya ni mauaji ya kimbari wanauawa wanawake na watoto ila sasahivi mnashabikia vitendo vya Hamas
Israel inawakumbusha watawala kuwa usimdhalau adui hata kama unamuona dhaifu namna gani. Usimdhararu mwenye mke hata kama ni masikini namna gani.
 

Wazungu walileta ukristo huku kama silaha ya kututawala na kutunyonya sisi lakini wao wenyewe hawaamini kwenye ukristo. Baada ya kuwanyonga mababu zetu kwenye miti ya miembe, jumapili walikuwa wanaenda kusali makanisani. Walipora mali zetu lakini Jumapili wanaenda makanisani kusali na maAskofu hawakuwakemea wakoloni kwa unyongaji wala uporaji wa mali za wanyonge. Ni kiini macho. Ona, hata leo hii dini zinapora ardhi kubwa na kujenga vitegauchumi.
 
Back
Top Bottom