HAMAS kuipiga Israel ni somo kali kwa watawala wote

HAMAS kuipiga Israel ni somo kali kwa watawala wote

Bwana Utam:

Gaza imegauka Makambi ya WAKIMBIZI...Huku inashinda vita! Bwana Utam...peleka chochote mkuu...Chumvi......mchele.....pads za akina mama.....nepi za watoto...Hamas kweli imeleta janga....! Janga la kujitakiwa....Sinwar...Allah anamuona!

UN official describes lack of water, sanitation, food and medicine in southern Gaza (Source: Aljazeera)​


Jamie McGoldrick of the UN Office for the Coordination of Humanitarian Affairs has described dire conditions for displaced Palestinians at al-Mawasi refugee camp in southern Gaza, including a lack of tents and insufficient supplies of food, water and medicine.

Israel has declared 6.5sq km (2.5sq miles) of sandy terrain – an area half the size of London’s Heathrow Airport – in the city of al-Mawasi to accommodate more than 1.8 million Palestinians who have been forced to evacuate their homes since October 7.

Speaking from al-Mawasi camp, McGoldrick said the displaced are badly in need of humanitarian supplies.
“The Palestinian Red Crescent have set up these tents behind us but there’s not enough tents for the people who are here, the numbers who have arrived. And secondly … the services that are coming in to the camps are not sufficient, [there] are key things that are missing, water and sanitation supply, food supply and medical supplies. I know the Palestinian Red Crescent is trying to work on that but we need more assistance, we need more supplies of essential material.”


Hii ndio Gaza...Unauuona ushindi wa Hamas: Sinwar huko ndani ya Mashimo...Allah anamuona!

1705195685063.png


1705195735603.png
 
Hata hujui kitu wewe kuhisu Hamas. Hamas no wapalestone kwao no heri ya kufa kuliko kuwa chimi ya wayahudi, hawaogopi kufa hata kidogo. Hata walivyoivamia Israel walijuwa kuwa Israel itawaua watu wengi sana Na walijua kuwa Israel itafanya hivi inavyofanya sasa lakini Hamas imefanikiwa sana kuwaua wayahudi wengi pamoja Na kuunganisha ulimwengu ambao ulikaa kimya juu ya mateso yao yanayotokana Na udhalimu wa Israel. Leo hii kesi ya kuwatetea wapalestine iko The Hague, ICC,

Kavulata: Uko right kabisa, Hamas hawaogopi kufa, because Hamas is death cult! Kama vile Al-Qaida, Kwao kufa ni thawabu! Kumuua Myahudi ni thawabu! Kuuawa na Myahudi ni thawabu ! They dont care hata kwa wananchi wao ! Wamechimba Mahandaki, lakini hakuna hata moja la kuwaficha Wanawake na watoto!

Ulimsikia mmojawapo wa kiongozi wa Hamas, Mousa Abu Marzouk, tunnels ni kwa ajili yao wao Hamas, sio kwa raia wao! Alizungumza bila woga wala bila aibu!

The interview was translated by the Middle East Media Research Institute (MEMRI), which said:

Mousa Abu Marzouk, a member of the Hamas Political Bureau said in an October 27, 2023 interview that aired on Russia Today TV that the tunnels in Gaza were built to protect Hamas fighters from airstrikes, not civilians. He added that Hamas fights Israel from within the tunnels. Abu Marzouq added that since 75% of the residents in the Gaza Strip are refugees, it is the responsibility of the United Nations to protect them. He added that according to the Geneva Conventions, it is the responsibility of the “occupation” to provide civilians in Gaza “will all the services,” as long as they are under occupation.
Hamas, hawajali kabisa raia wao kufa! So long agenda yao inakwenda! Ona matokeo!
1705209037738.png
 
Hamas wamezuia meli zote kwenda Israel unayo habari?

Rekebisha usemi wako! Wamezuia meli zozote zile kupita Red Sea......Ni kama wana wazimu vile! Hivi unadhani watafika wapi Kavulata! Saudia iliwabakiza huko nyuma, naona wanatafuta mwisho wao!

"US and UK launch multiple airstrikes on Houthi targets in Yemen​

Coalition forces struck over 60 targets in Yemen against Houthi forces after the Iran-backed group attacked commercial shipping in the Red Sea. More than 100 precision-guided munitions were used in the strikes on command and control nodes, munitions depots, production facilities and air defense radar systems, according to a US Air Force commander."​

 
Hamas waliwezaje kuivamia Israel na kuua wanajeshi na kuwateka wayahudi zaidi ya 1000?

Inajulikana kuwa Israel ni taifa lenye mifumo ya kisasa kabisa ya ulinzi ya kugundua na kupiga maadui lakini ni miezi 4 sasa inashindwa kufikia malengo yake kule Gaza. Israel imeikandamiza Palestine tangu mwaka 1967 na kuikalia kimabavu bila kujali nani anasema nini.

Hii ni kusema kuwa ukiwakandamiza sana kwa muda mrefu watu unaodhani ni dhaifu na wanyonge kwakutumia uwezo, maguvu, mamlaka na hila iko siku watu hao "dhaifu" watakuwa wakakamavu kwako na pengine kukushinda vibaya sana. Watawala tendeni haki kwa raia wenu, wazazi tendeni haki kwa watoto wenu, walimu tendeni haki kwa wanafunzi wenu, wachungaji tendeni haki kwa waumini wenu maana iko siku watu wenu watainuliwa na kubuni mbinu mpya ya kuwaangusha.

Kavulata:

Angalia nukuu yako:

" Wapalestine wana akili nyingi mno, sasa hivi dunia nzima akiwemo hata wewe mnawaongelewa wao, bila hivyo mngekaa kimya vitandani mwenu."

Boko Haram walizungumzwa ulimwengu mzima! Al-Qaida ilizungumzwa ulimwengu mzima!Osama bin Laden alizungumzwa ulimwengu mzima! Huko ndio kuwa na akili! Wewe ndio umeanzisha uzi huu! Ulitaka tukae kimya Kavulata!

Naona unatupa kigezo kipya cha kupima akili!
 
Israel inawachakaza wanawake na watoto au Hamas? Hebu tutajie Makamanda wa Hamas wanaojulikana waliouwawa tangu uvamizi wa ardhini takribani miezi 3 sasa?
Malengo yote ya vita mpala sasa ni siku 96 hayajafanikiwa.
Mateka hawajakombolewa, Hamas bado haijaangamizwa tunachojionea ni mapambano kati ya pande 2.
Sasa hao Hamas wako wapi ili kuwalinda hao wanawaje na watoto?
 
Kavulata:

Angalia nukuu yako:

" Wapalestine wana akili nyingi mno, sasa hivi dunia nzima akiwemo hata wewe mnawaongelewa wao, bila hivyo mngekaa kimya vitandani mwenu."

Boko Haram walizungumzwa ulimwengu mzima! Al-Qaida ilizungumzwa ulimwengu mzima!Osama bin Laden alizungumzwa ulimwengu mzima! Huko ndio kuwa na akili! Wewe ndio umeanzisha uzi huu! Ulitaka tukae kimya Kavulata!

Naona unatupa kigezo kipya cha kupima akili!
Mpuuzi kweli wewe, wanafaidika nini iwapo watu wao wanakufa huku miji ikibomolewa? Dini imekutia upofu, shtuka.
 
Kwa hiyo Hamas bado ina nguvu ya kuthubutu kuingia tena Israel na kuteka vibibi vizee na kuchinja watoto kama Oktoba 7! Makamanda kibao wa Magaidi wa Makamasi wameuwawa hadi huko nje ya nchi walikokimbilia mnajitoa ufahamu! Na kiongozi wao Yahya Sinwar kakimbia na kujificha mashimoni, hata Osama na Saddam walikimbia na walijificha wakapatikana tu. Watoto wa Gaza wanatumiwa kama ngao na makamasi lazma watauwawa.
Huna ujualo unaongozwa na chuki. Kama sasa hawana nguvu tena mbon vita mpaka sasa havijasitishwa sababu ikiwa bado malengo hayajafikiwa.
Hivi unajua kwa miaka zaidi ya 16 wamekuwa wakiishi ndani ya gereza kubwa duniani wakiwa under total blockage? Na wamekuwa wakiuwawa kila wavamizi wanapojiskia..sasa Gaidi ni nani? Kwa kuwa unaongozwa na chuki dhidi ya waarabu na waislamu huezi ona jambo hili.
Msome vizuri Mandela na Mwalimu Nyerere ndo utaelewa. Au pia pata maelezo ya Tundu Lisu kwenye hii kadhia.
Kama umekaririshwa na Kasisi wako kuwa Wao ni Taifa teule sawa
 
Kavulata......nanukuu...

"Lakini yote kwa yote Israel iliivamia na kuikalia Palestine kwamsaada wa Uingereza na Marekani."

Ni lini Israel ilivamia na kuikalia Palestina kwa msaada wa Marekani......Ni lini Mkuu..? Au na wewe umekaririshwa wimbo, bila kujua umetungwaje....Huo Uvamizi ulifanyika lini Mkuu?
Mwaka 1947/48 ndio episode ya kwanza ya uvamizi wa taifa la Palestine.
 
Kama Israel imepoteza.
1. Maandamo ya wavaa kobazi London ya nini?
2. Sasa hivi mnaenda CJ kutafuta huruma.
Kiufupi GAZA inatia huruma, mji umekuwa magofu na haifai tena kwa kuishi
Waarabu hawakwenda ICJ, mwaarabu kufa kwake ni sehemu ya ibada. Waliokwenda ICJ ni wengine kabisa. Israel wamewashindwa Hamas badala yake wanaua watoto wao. Yaani ni sawa na dula mbade apigwe na twaha kiduku halafu yeye aende akalipize kisasi kwa kumpiga mkewe na watoto wa Kiduku.
 
Hii Pro Palestine protests ni za nini hasa? Maana Hamas inashinda vita! All I can see is just a contradiction! Mimi nadhani Maandamano hayo ingekuwa ni kupongeza Ushindi wa Palestina! Gaza inabakia magofu, Hamas kapata alichokitafuta! Hata ICT court haitasaidia chochote kile! Urusi ilipelekwa huko na Ukraine hakuna lililofanyika!

Kinachokesha sikitisha, mataifa ya Kiarabu yako 22, na mengine yana uwezo mkubwa wa Kijeshi...yamebakia na matamko tu! Waarabu ni watu wa ajabu sana, huo ndio Ukweli mchungu Bwana Utam!
Ungekuwa unajua lolote basi ungefahamu kuwa wanaopigana kule Gaza sio Israel, bali ni Marekani, ufaransa, Uingereza, ujerumani, Italy na Israel kama umbrella.
 
Kaka Israel ikipoteza mtu mmoja kwao ni hasara kubwa mno mno mno! Israel pale gaza inapoteza askari wengi sana, vifaru na magari yao ya kivita mengi kuliko walivuotegemea na kutarajia, wanapigika. Israel inaua raia wanawake na watoto wengi lakini sio wanajeshi wa hamas. Hamas wanatumia silaha za bei rahisi (al yasin- 105) kuharibu vifaru ghari sana. Israel pale imeshazidiwa inasaidiwa na majeshi kutoka marekani, ufaransa na uingereza (Nato). Hata wao inawashangaza sana namna hamas ilivyopanga na kutekeleza kwa usahihi zoezi la kuvamia kambi za jeshi, kuwaua askari Na kuwateka raia bila mifumo yao ya ulinzi kugundua.
Wameshaamaliza trionl 180 mpaka sasa ni uchumi kuvurugika
 
Israel inawachakaza wanawake na watoto au Hamas? Hebu tutajie Makamanda wa Hamas wanaojulikana waliouwawa tangu uvamizi wa ardhini takribani miezi 3 sasa?
Malengo yote ya vita mpala sasa ni siku 96 hayajafanikiwa.
Mateka hawajakombolewa, Hamas bado haijaangamizwa tunachojionea ni mapambano kati ya pande 2.
unavuta bangi?
 
Wameshaamaliza trionl 180 mpaka sasa ni uchumi kuvurugika
Waliwaunderate, walidhani ingewachukua masaa 48 hadi 72 TU Sasa ni zaidi ya siku 100. Wani wanapige pale? Hamas wako wangapi? Wako wapi? Wana silaha gani?. Mpaka Sasa Israel inahesabika kuwa imeshindwa na hamas vibaya sana, inasaidiwa na wanataifa mengine TU kuua watoto na wanawake.
 
Wakijibu mapigo mnaanza kulialia.
Kujibu mapigo kwa kunyima maji na chakula watoto wadogo ni kujibu mapigo? Hatushangai kwani walimuua Yesu na walitaka kumuua Yesu utotoni kwa kuwaua watoto wote wa kiume waliozaliwa. Hii haishangazi ni kwanini wayahud hawaoni tabu kuua watoto na wanawake wasiohusika na lolote.
 
Nakuuliza tena Unaijua Partition Plan ya UN 1947! Umeisoma Article 181 iligowanya eneo hilo? Au unaimbishwa na Maimamu msikitini?
jf ni jukwaa la kuelimishana pia, wewe kazi yako ni kuuliza wengine maswali? kama una unachofahamu kwa ufasaha waelimishe wengine.
 
Hii Pro Palestine protests ni za nini hasa? Maana Hamas inashinda vita! All I can see is just a contradiction! Mimi nadhani Maandamano hayo ingekuwa ni kupongeza Ushindi wa Palestina! Gaza inabakia magofu, Hamas kapata alichokitafuta! Hata ICT court haitasaidia chochote kile! Urusi ilipelekwa huko na Ukraine hakuna lililofanyika!
Za
Kinachokesha sikitisha, mataifa ya Kiarabu yako 22, na mengine yana uwezo mkubwa wa Kijeshi...yamebakia na matamko tu! Waarabu ni watu wa ajabu sana, huo ndio Ukweli mchungu Bwana Utam!
Kugeuza gaza magofu na kuuwa watu hovyo hakuwaathiri chochote Hamas kwa sababu Hamas hakuhusika kuyajenga hayo majengo na wala hatahusika kuyajenga hayo majengo yaliyo haribiwa bali watakao wajibika kuyajenga ni umoja wa mataifa, njia pekee ya kuiathiri hamas ni kuharibu karakana zake anazo tumia kutengeneza silaha kitu ambacho Israel mpaka sasa imeshindwa kukifanya.

Alafu jaribu kujielimisha juu ya masuala ya kijeshi kuliko kuja humu kujitia ujuaji wakati ww ni kilaza mzuri tu.
Nenda kawaulize waalamu wa masuala ya kijeshi wakufundishe nini tafsiri ya ushindi katika vita maana naona unabwabwaja tu.
 
Hamas waliwezaje kuivamia Israel na kuua wanajeshi na kuwateka wayahudi zaidi ya 1000?

Inajulikana kuwa Israel ni taifa lenye mifumo ya kisasa kabisa ya ulinzi ya kugundua na kupiga maadui lakini ni miezi 4 sasa inashindwa kufikia malengo yake kule Gaza. Israel imeikandamiza Palestine tangu mwaka 1967 na kuikalia kimabavu bila kujali nani anasema nini.

Hii ni kusema kuwa ukiwakandamiza sana kwa muda mrefu watu unaodhani ni dhaifu na wanyonge kwakutumia uwezo, maguvu, mamlaka na hila iko siku watu hao "dhaifu" watakuwa wakakamavu kwako na pengine kukushinda vibaya sana. Watawala tendeni haki kwa raia wenu, wazazi tendeni haki kwa watoto wenu, walimu tendeni haki kwa wanafunzi wenu, wachungaji tendeni haki kwa waumini wenu maana iko siku watu wenu watainuliwa na kubuni mbinu mpya ya kuwaangusha.
Wewe shabikia tu Hamas. Haujui kuwa Hamas ni arm of the Muslim Brotherhood ambao wamepigwa Marufuku ktk nchi nyingi za Kiarabu. Hawa Muslim Brotherhood ndiyo wanaowalisha upotofu ktk Quran. Ona sasa Serikali ya Egypt imetangaza mafundisho potofu ya Muslim Brotherhood ya "Annal Jihad" na masheikh wao wanabariki hiyo.
Ona hapa chini

View: https://www.youtube.com/live/CkN4tSuxL7I?si=xePn6vKYrZbHPYGf
 
Back
Top Bottom