Hamas kusitisha makubaliano kuachiliwa mateka kutokana wa Israel kushindwa kutimiza makubaliano

Hamas kusitisha makubaliano kuachiliwa mateka kutokana wa Israel kushindwa kutimiza makubaliano

Neno kubwa kabisa la kupasua ardhi lililosemwa na Abu Ubaidah:

"Umeunda safu kubwa zaidi ya kijeshi, hatari zaidi na yenye umwagaji damu zaidi."

Lakini tumeunda wapiganaji wakubwa zaidi duniani, mpiganaji shujaa wa upinzani wa Palestina…


View: https://x.com/sea__yemen/status/1889735579903955006?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Hilo Neno kubwa kuwa wameunda safu kubwa ipi hiyo? Kuvalisha watoto uniform wakati wa kubadirishana mateka, au kuvaa Uniform za kijeshi wakati kuna mkataba wa kusitishwa mapigano na kuvaa kiraia wakati wa vita? Nilitarajia sana Hamas washupaże shingo ili Jumamosi mchana tuone je watavaa uniform au watazichojoa?.
 
Hilo Neno kubwa kuwa wameunda safu kubwa ipi hiyo? Kuvalisha watoto uniform wakati wa kubadirishana mateka, au kuvaa Uniform za kijeshi wakati kuna mkataba wa kusitishwa mapigano na kuvaa kiraia wakati wa vita? Nilitarajia sana Hamas washupaże shingo ili Jumamosi mchana tuone je watavaa uniform au watazichojoa?.
JF kuna vituko yaani nimecheka sana wewe upo Makete unataka kuwapangia Hamas😅

Eti nilitarajia wewe nani😅


View: https://x.com/muhammadshehad2/status/1890025633847050283?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Hahahha wewe jamaa sijui unaumia nini kila kitu kipo wazi unaletwa kila ushahidi unakataa yaani upo Uyole unapiga mambo ya Gaza😅

Ceasefire mediators:

Israeli occupation authorities to allow entry of mobile homes, fuel and medical equipment tomorrow so that the Palestinian resistance is to release 3 Israeli prisoners on time!
Trump and Netanyahu have been just defeated again!
Wewe unafikiri mimi ni zuzu kama wengine unaowazuga kwa habari zako ambazo hazina-
1. CREDIBBLE SOURCE
2. RELIABLE SOURCE
3. AUTHOURITATIVE
Hayo uliyoandika hapo huwezi mimi kujifanya niamini upuuzi huo. Maana hata mimi naweza kuandika habari yako hiyo imekosa vitu vitatu hivyo hapo juu!! Wewe endelea tu kudanganya wajinga lakini anayejua mambo huwezi kumdanganya.
 
Ujinga unao wewe mwenyewe Israel haijawahi kupunguza msururu wa magari ya misaada Hamas alitaka kupiła kina cha maji lakini alipoambiwa lango la kuzimu litafunguliwa alielewa kaamua kurudi kwenye mstari. Mnajitahidi sana kuwasafisha Hamas lakini nilishawaambia na Babu yenu Ritz kuwa Hamas kwa madhambi waliyoyafanya Oct 07,2023 hawasafishiki kabisa kwa hiyo mnajisumbua bure tu. Israel wao walishasema chakula watapewa na kipigo nacho lazima wakipate na Hamas kutawala Gaza mwisho Mwaka huu. Pia muache uongo hiyo idadi ya magari yanayopaswa kupeleka misaada wewe umeipata wapi?
😅😅😅
 

Attachments

  • IMG_2712.jpeg
    IMG_2712.jpeg
    1 MB · Views: 1
Wewe unafikiri mimi ni zuzu kama wengine unaowazuga kwa habari zako ambazo hazina-
1. CREDIBBLE SOURCE
2. RELIABLE SOURCE
3. AUTHOURITATIVE
Hayo uliyoandika hapo huwezi mimi kujifanya niamini upuuzi huo. Maana hata mimi naweza kuandika habari yako hiyo imekosa vitu vitatu hivyo hapo juu!! Wewe endelea tu kudanganya wajinga lakini anayejua mambo huwezi kumdanganya.
😀😀😀

Wewe hata ukipigiwa picha TV bado utapinga😂
 

Attachments

  • IMG_2712.jpeg
    IMG_2712.jpeg
    1 MB · Views: 2
😅😅😅
Hiyo picha ulivyo weka hapo ndiyo nini sasa? Au ndiyo
1. CREDIBBLE SOURCE
2. RELIABLE SOURCE
3. AUTHOURITATIVE?
Inabidi niej nikupe somo la uandishi wa habari msiwe mnadandia fani za watu wengine !!
 
Hiyo picha ulivyo weka hapo ndiyo nini sasa? Au ndiyo
1. CREDIBBLE SOURCE
2. RELIABLE SOURCE
3. AUTHOURITATIVE?
Inabidi niej nikupe somo la uandishi wa habari msiwe mnadandia fani za watu wengine !!
Link hii hapa chini ya AlJazeera

Wewe unatuambia Israel hajawahi kuzuia magari yeyote ukiambiwa weka ushahidi hauna unaandika gazeti nakuwekea ushahidi wa Israel kuzuia magari kuingia Gaza.

Kwa faida ya JF weka na wewe ushahidi wa maneno yako kuwa hawajazuia magari.

Usipoweka unaingia kwenye kundi la mapunguani mashabiki mandazi.


View: https://x.com/ajenglish/status/1890008660795138400?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Link hii hapa chini ya AlJazeera

Wewe unatuambia Israel hajawahi kuzuia magari yeyote ukiambiwa weka ushahidi hauna unaandika gazeti nakuwekea ushahidi wa Israel kuzuia magari kuingia Gaza.

Kwa faida ya JF weka na wewe ushahidi wa maneno yako kuwa hawajazuia magari.

Usipoweka unaingia kwenye kundi la mapunguani mashabiki mandazi.


View: https://x.com/ajenglish/status/1890008660795138400?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Hakuna haja hata ya ushahidi Hamas walichokuwa wanafanya ni kutoa tuhuma ambazo hazina ukweli wowote waziri wa Ulinzi alitolea ufafanuzi. Israel haijavunja masharti yoyote misururu ya misaada inaendelea kuruhusiwa kupita. Tuhuma hizi za magaidi wa Hamas Zilikuwa na lengo la kuijaribu Israel au Hamas inajaribu kuficha au kuogopa kuwatoa wale mateka yawezekana wameteswa na kukondeana sana sasa Wanataka kutumia visingizio mbalimbali ili dunia isione uovu wao kwa mateka wanajitahidi kuwapa chakula washibe ili Jumamosi wasiaibike.hii picha nimekuwekea ni ya jumapili
 

Attachments

  • השקרים_של_חמאס_הסיוע_לא_נכנס_הנה_התמונות_מהבוקר_600_משאיות_בכל_יום.mp4
    2.1 MB
  • IMG_1657.jpeg
    IMG_1657.jpeg
    361.8 KB · Views: 1
Hakuna haja hata ya ushahidi Hamas walichokuwa wanafanya ni kutoa tuhuma ambazo hazina ukweli wowote waziri wa Ulinzi alitolea ufafanuzi. Israel haijavunja masharti yoyote misururu ya misaada inaendelea kuruhusiwa kupita. Tuhuma hizi za magaidi wa Hamas Zilikuwa na lengo la kuijaribu Israel au Hamas inajaribu kuficha au kuogopa kuwatoa wale mateka yawezekana wameteswa na kukondeana sana sasa Wanataka kutumia visingizio mbalimbali ili dunia isione uovu wao kwa mateka wanajitahidi kuwapa chakula washibe ili Jumamosi wasiaibike.hii picha nimekuwekea ni ya jumapili
Hahahh hoja dhaifu mateka wamekuwa mbuzi wakipewa chakula wananenepa😅
Yaani wewe umekuwa msemaji wa Hamas😂

Hamas walipiga mkwara baada Israel kuzuia misaada kuingia juzi wameruhisu baadhi. Walivyosikia ile kauli ya Hamas walidhani Hamaa hawana mateka Hamas kawambia wapo na Jumamosi tutaachia watatu Isarael wamezira😅

BREAKING: Kiongozi wa Hamas Osama Hamdan aliambia Al-Araby TV:

"Tuna saa 48 za kuwakomboa mateka wa Israel, na kizuizi chochote cha upande wa Israel katika kuruhusu misafara na vifaa vizito kuingia Gaza kutachochea harakati za Hamas."


View: https://x.com/suppressednws/status/1890201650876543427?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
  • Hamas said it will release three captives from Gaza on Saturday as scheduled following talks with ceasefire mediators Egypt and Qatar.
  • Israel has said Hamas must release three living captives or Israeli forces will return to war in the Palestinian territory.
  • Hamas spokesperson Abdul Latif al-Qanou said the language of threatsmade against Gaza by United States President Donald Trump and Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu does not serve the Gaza ceasefire’s implementation.
  • A senior UN official has likened the devastation in the Gaza Strip to “a massive earthquake” and said efforts must be made to avoid a continuing “humanitarian catastrophe”.
  • Gaza’s Health Ministry has confirmed 48,239 deaths in Israel’s war on Gaza while 111,676 people have been wounded. The Government Media Office has updated its death toll to at least 61,709 people, saying thousands missing under the rubble are now presumed dead.
  • At least 1,139 people were killed in Israel during the October 7, 2023 attacks and more than 200 were taken captive.
 
Hamas ilisema itawaachilia mateka watatu kutoka Gaza siku ya Jumamosi kama ilivyopangwa kufuatia mazungumzo na wapatanishi wa kusitisha mapigano Misri na Qatar.
Israel imesema Hamas lazima iwaachilie mateka watatu walio hai la sivyo vikosi vya Israel vitarejea vitani katika ardhi ya Palestina.
Msemaji wa Hamas Abdul Latif al-Qanou alisema lugha ya vitisho iliyotolewa dhidi ya Gaza na Rais wa Marekani Donald Trump na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu haitumiki katika utekelezaji wa usitishaji mapigano Gaza.
Afisa mkuu wa Umoja wa Mataifa amefananisha uharibifu katika Ukanda wa Gaza na "tetemeko kubwa la ardhi" na kusema juhudi lazima zifanywe ili kuepusha "janga la kibinadamu" linaloendelea.
Wizara ya Afya ya Gaza imethibitisha vifo vya watu 48,239 katika vita vya Israel dhidi ya Gaza huku watu 111,676 wakijeruhiwa. Ofisi ya Vyombo vya Habari vya Serikali imesasisha idadi yake ya vifo kwa takriban watu 61,709, ikisema maelfu waliopotea chini ya vifusi sasa wanakisiwa kufariki.
Takriban watu 1,139 waliuawa nchini Israel wakati wa mashambulizi ya Oktoba 7, 2023 na zaidi ya 200 walichukuliwa mateka.
 
PALESTINA Wenyeji wanafaamika ata na UN wanawajua dheni na Waliokuja na Majaahazi kuamia eneo lile pia UN inawajua!!! vip Mgeni awe ndio mwenye Ardhi!!!!

Kenge awa mungu FUNDI sana kuwapeleka kwa Warabu ambao ndio Wenye Iman thabiti Mwarabu kamwe atokubali eneo lao lichukuliwe Kibabe hii Vita inamiaka mingine 20 pengine lkn waisrael awatawai kupata Aman ktk Ardhi ile Mungu Fundi sana

MIGAID Wakatili sana Waisrael kwenda kuangukia Pele sawa na mbuz kufia kwa muuza Supu!!! Awa waisrael kama Wangekuja Africa wangetusumbua Sana

au Wangeenda America kusini kote uko wangenyakuwa Ardhi na kuuwa ovyo sidhani kama Wangepeta Upinzani kama huu wanaokutana nao mana HAMAS aitaji pesa anapigania Ardhi yao Iman yao,,

kinachofanya IDF Wawepo apo GAZA ni kimoja tu Jesh la Anga ili jesh ndio linazuiya HAMAS wasipigane Hana kwa Hana au Wapigane muda Mfupi na kupotea ili kukwepa Jeshi la Anga Kama sio ANGA haaaaa sasaivi HAMAS Wangekuwa Washachukua Ardhi yao yote,,,

Lkn leo sio jana Mpalestine alikuwa anatumia mawe lkn Sasaivi japo mtutu anao na Yumkini miaka 3 au 4 uko mbele nayeye akawa kama hezbollah akachagua pakupiga sio kurusha tu Makombora Ovyo

ukweli siku baada ya Siku ndio Mvamizi anakabiliwa na Hatari kubwa kuliko Jana. Vile sasa technology inawafikia Wapalestina,
ndio mana Netanyahu na washauri wake wanajua muda ndio huu kuichukua GAZA Baada ya miaka 3 Vita Itakuwa ngumu kwao

kama ile ya Hezbollah, iyo Hezbollah nayo Baada ya miaka 3 ndio IDF asogei kabisa ule upande. Kwasasa Wairan Wawasaidie uwezo Wa kuzishusha zile ndege apo sasa ndio IDF watagoma kabisa kusikia Habari ya Vita na HAMAS au Hezbollah,, Wakiweza kushusha ndege Iran abaki tu zile Promis zake ili kuzitwanga Store zilizojazwa silaha kutoka marekani na kwengineko,,, YEMEN afunge Bahari Waisrael kwishaaaa,,,
Hivi hezbullah wapo?Mbona wamepoa sana maalim,nini kimewapata hawa wana muqawama?
 
Back
Top Bottom