Hawa ni really defenders of motherland . Hawaogopi kufa wakipigana ardhi Yao! Wapo tayari kufa woote hata Kwa njaa lakini hawako tayari pia kuona mkoloni akiishi Kwa Raha. Licha ya vita ya kimbari dhidi Yao Kwa siku 470 Bado hawakupiga magoti Kwa mtesi wao. Walisimama kidete wakatoa conditions kwamba bila kutimizwa hawataacha kupigana Wala kuachia mateka. Ni kweli wakoloni wanaelekea kushindwa conditions zinazidi kutekelezwA japo Kwa fedheha na aibu kubwa...From land to the sea Palestine will be free. Keep it up defenders.
Sasa ikawaje wakachukua bunduki zao lakin wakajificha kwenye Mashimo na nyuma ya wake zao sheikh.Unaweza kuwaita majina yeyote
Angalia hiyo Bunduki ya Hamas ni bunduki ya Israel baada ya mapigano na majeshi dhaifu ya Israel na kuchukua bunduki nyingi😂
View: https://x.com/legittargets/status/1888996354661425311?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Unafikiri kati ya wayahud na waarabu nani ambae yupo tayar kufa kuliko kuiachia ardhi yao?Hawa ni really defenders of motherland . Hawaogopi kufa wakipigana ardhi Yao! Wapo tayari kufa woote hata Kwa njaa lakini hawako tayari pia kuona mkoloni akiishi Kwa Raha. Licha ya vita ya kimbari dhidi Yao Kwa siku 470 Bado hawakupiga magoti Kwa mtesi wao. Walisimama kidete wakatoa conditions kwamba bila kutimizwa hawataacha kupigana Wala kuachia mateka. Ni kweli wakoloni wanaelekea kushindwa conditions zinazidi kutekelezwA japo Kwa fedheha na aibu kubwa...From land to the sea Palestine will be free. Keep it up defenders.
Nakuachia swali weweUnafikiri kati ya wayahud na waarabu nani ambae yupo tayar kufa kuliko kuiachia ardhi yao?
View: https://x.com/drloupis__/status/1888648662122893527?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvwniwniwapeWatoto waisrael Walikuwa wanapigania Taifa teule mashujaa wao K
Sana sana ukiwasikia popote ndio walivo utasikia Wanamkemea Shetani!!! atokee tu Panya kwwnye kichwa cha m'bwa uwone izo mbio zao ata Watoto wao Wanawatelekeza!!!!!!Hawa uwa hawanisumbui kabisa nawajua vyema na wanajua bakora zangu😅 hamna watu waoga kama hawa walokole wa JF.
Hizo Demand wanazotaka wamelipa kiasi gani cha pesa? wapenda dezo ni shida sana.. asiyefanya kazi na asile..Wanaukumbi.
Breaking | Al-Qassam Brigades spokesperson Abu Obaida announces that due to Israel's failure to uphold the terms of the ceasefire agreement, the release of Israeli captives scheduled for this Saturday will be postponed until further notice.
=========================
⚡️BREAKING: Ofisi ya Vyombo vya Habari vya Serikali huko Gaza ilichapisha muhtasari wa ukiukaji wa Israeli wa vifungu vya kibinadamu vya makubaliano ya kusitisha mapigano:
- Malori 12,000 ya misaada yanapaswa kuwa yameingia Ukanda wa Gaza kwa sasa. 8,500 tu ndio wameingia. Shirika la Kizayuni limeshindwa kufikia mwisho wa makubaliano na lori 3,500.
- Malori 50 ya mafuta yalitakiwa kuingia Ukanda wa Gaza kila siku. 15 tu wameingia kila siku. Shirika hilo la Kizayuni limekiuka usitishaji vita wa lori 35 za mafuta kila siku.
- Nyumba 60,000 za muda zilitakiwa kuingia Ukanda wa Gaza. Hakuna kitengo hata kimoja kilichoingia, kuzuia mamia ya maelfu ya watu wa Gaza kupata makazi ya muda.
- Mahema 200,000 yalitakiwa kuingia Ukanda wa Gaza. 20,000 tu ndio wameingia. Jumuiya ya Kizayuni imeshindwa kutekeleza makubaliano ya kusitisha mapigano, kwani mahema 180,000 zaidi yanapaswa kuingia Ukanda huo.
===============
⚡️BREAKING: The Government Media Office in Gaza published a summary of Israel’s violations of the humanitarian clauses of the ceasefire agreement:
- 12,000 aid trucks should have entered the Gaza Strip by now. Only 8,500 have entered. The zionist entity has fallen short of its end of the agreement by 3,500 trucks.
- 50 fuel trucks were supposed to enter the Gaza Strip daily. Only 15 have entered daily. The zionist entity has violated the ceasefire to the tune of 35 fuel trucks every day.
- 60,000 temporary mobile housing units were supposed to enter the Gaza Strip. Not a single unit has entered, preventing hundreds of thousands of Gazans from obtaining temporary shelter.
- 200,000 tents were supposed to enter the Gaza Strip. Only 20,000 have entered. The zionist entity has failed to implement the ceasefire agreement, as 180,000 more tents are supposed to enter the Strip.
View: https://x.com/suppressednws/status/1888992089490543051?s=48&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Huko tunakoelekea wayahudi wote wataondoka atabaki netanyahu labda na ben gavir tu wazingu mnaowaita wayahudi kwao ni ulaya mda ukifika wakiona mambo magumu wanapanda ndege kurudi ww umeona wapi hao wapalestina wakiondoka licha ya banker busta na F35Unafikiri kati ya wayahud na waarabu nani ambae yupo tayar kufa kuliko kuiachia ardhi yao?
Lakini kashindwa kuwalinda kala kona na kuzama chaka.Mwenyezi mungu mtukufu awahifadhi kwa nia yao thabiti ya kuitetea nchi yao.
View: https://x.com/drloupis__/status/1888648662122893527?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvwniwniwapeWatoto waisrael Walikuwa wanapigania Taifa teule mashujaa wao K
Kuomba wapi tena umeelewa kilicholeezwa misaada ipo apo mpakani yani Misri tàtizo wao Wanazuiya mizigo isipite sio kuwa wao ndio watoe!!!!!Hizo Demand wanazotaka wamelipa kiasi gani cha pesa? wapenda dezo ni shida sana.. asiyefanya kazi na asile..
Waendelee tu kudeka dawa yao ipo karibu... hivi Si uislam umekataza kuomba omba au ndio mafeki muslim ni manafiki.. wanainyea Quran na Uislam
Sasa eneo si lilikuwa la waarabu kwa asilimia 90 mpaka sasa hiv kati ya mwarabu na myahud nani kaondoka jibu swali.Huko tunakoelekea wayahudi wote wataondoka atabaki netanyahu labda na ben gavir tu wazingu mnaowaita wayahudi kwao ni ulaya mda ukifika wakiona mambo magumu wanapanda ndege kurudi ww umeona wapi hao wapalestina wakiondoka licha ya banker busta na F35
Punguza asira mzee kunywa maji. Trump kasema hicho kieneo anapita nacho mazimaSasa wewe shoga upo Ikizu unajua Hamas walipojifika sasa kwa nini usiwaambie mabasha zako walipo Hamas😅
TRAMP UYU UYU unamuamini ametoa ahadi ngapi na akutelekeza!????Punguza asira mzee kunywa maji. Trump kasema hicho kieneo anapita nacho mazima
Kinachoenda kutokea Gaza ewe mvaa kobazi wa kwa mtogole utalia na kusaga meno....Hahahhaha😀
Waambie washuke chini waone wao wanaweza kubomoa nyumba tu na kuuwa watoto.
Angalia hii silaha ya Israel Hamas wamepataje wewe Yahudi jeusi la Uyole endelea kupiga kelele.
View: https://x.com/legittargets/status/1888996354661425311?s=48&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Toka lini mimi nikawa na hasira niwe na hasira na shoga😂Punguza asira mzee kunywa maji. Trump kasema hicho kieneo anapita nacho mazima