Hamas kusitisha makubaliano kuachiliwa mateka kutokana wa Israel kushindwa kutimiza makubaliano

Hamas kusitisha makubaliano kuachiliwa mateka kutokana wa Israel kushindwa kutimiza makubaliano

Wewe punguani hauna unachojua unaleta mipasho tu.

Hujui hata kama jana Qatar na Misri wamekutana na Israel na Hamas.


View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1890044325721153587?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Tatizo lako wewe humjui hata huyo Sulaymaniyah Ahmed Una huku a tu habari zake na kuzileta hapa bila kujua huyo ni Hamas Sympathizer hao ni waajiriwa wa Magaidi wameajiriwa kuwapamba magaidi wao hata Hamas anapigwa wao wanampamba tu walikuwa wanavamia pia Hezbollah wamechakazwa vibaya sana lakini wao bado wanawapamba tu na wewe wameshakuambukiza Ujinga huo wa kusicie kila kitu hata kama si kweli.
 
Isssue siyo kussusport Wapelestina jana jumuiya ya Kiarabu wamefanya mkutano wate wamekubaliana hamna Palestina kutoka Gaza wala nchi yeyote ya kiarabu kuwachukuwa Wapelestina wanajua wakiruhusu Marekani na Israel waichukuw Gaza kesho wataenda nchi iingine, hamna nchi iliyokuwa kali kwenye hili suala kama Misri😀
Safi sana.,, Tramp kakimbia uko Ukraine ili aje alete ulokole wake mashariki ya kati!! Lile Puto Zeee!! linachuki sana.
 
Tatizo lako wewe humjui hata huyo Sulaymaniyah Ahmed Una huku a tu habari zake na kuzileta hapa bila kujua huyo ni Hamas Sympathizer hao ni waajiriwa wa Magaidi wameajiriwa kuwapamba magaidi wao hata Hamas anapigwa wao wanampamba tu walikuwa wanavamia pia Hezbollah wamechakazwa vibaya sana lakini wao bado wanawapamba tu na wewe wameshakuambukiza Ujinga huo wa kusicie kila kitu hata kama si kweli.
Wewe Zoba kweli kwaiyo tukiamini wewe mchungaji vinena eti nayeye kapandisha Uzi kufanya propaganda ya uwongo wkt ukweli Israel imeruusu mizigo kwasasa inapita kama mkataba ulivotaka!!! Sasa kanyewe kakawai kutupia Ushuzi wake Ivi mwiko kwenu kusema Ukweli mlokole gani muongo muongo ivi.!!!!
 
Wewe Zoba kweli kwaiyo tukiamini wewe mchungaji vinena eti nayeye kapandisha Uzi kufanya propaganda ya uwongo wkt ukweli Israel imeruusu mizigo kwasasa inapita kama mkataba ulivotaka!!! Sasa kanyewe kakawai kutupia Ushuzi wake Ivi mwiko kwenu kusema Ukweli mlokole gani muongo muongo ivi.!!!!
Najua kabisa silaha kuu kwa Wafuga Midevu na Majini ni Matusi na Kuba sika watu mamina ili tu ku kutoa kwenye reli. Kwanza matusi yako hawawezi kukusaidia kujibu hoja zangu ,Israel haijawahi kusitisha kupeleka misaada Gaza lakini magaidi wa Hamas walikuwa wana Test Mitambo yao sasa Netanyahu kawaambia ifikapo saa 6 mchana Jumamosi bila Hamas kuachiwa mateka basi yeye atalifungua lango la kuzimu bahati mbaya kabisa magaidi hao wameogopa na kutangaza kuwa wafungwa watawaachia, washukuru Allah wao kawashitua mapema safari hii walikuwa wanaisha wote kabisa nguruwe hawa!!
 
Prove Kama Israel ilikuwa haitaki kuingiza hizo mashine. Wewe ulitoa taarifa kuwa Israel wamezuia misaada ya vyakula na ulitoa na idadi ya magari. Leo hii unapindua męża na kudai walizki a mashine. Usitufanye wote humu ni Mazuzu Kama wewe. Tu Najua Hamas wameogopa tu Mkwara wa Netanyahu. Pamoja na Hamas kusalimu amri wasifikiri kuwa vita vimeisha!! Israel inataka sana watu wake warudi nyumbani wakiwa hai au wafu baada ya hapo ndipo mtajua Israel ni kidume huko Mashariki ya kati mpaka huko Uajemi. Kwa hiyo hiyo Taqiya yenu danganyeni wajinga na wapumbavu Kama Adiosamigo
Kenge akinita mimi mjinga na mpumbafu inabidi nicheke tu hahahaha
Kenge atabaki kuwa kenge tu.
 
Lete habari zako basi kutoka Tel Aviv jinga sana wewe.

Habari Gaza utazipata wapi wewe punguani.


Usitishaji vita umeanza tena! Netanyahu alisalimia na kuruhusu misafara kuingia Gaza kama makubaliano yalivyoainishwa.

Israel iliruhusu malori 801 jana (201 zaidi ya makubaliano, kurekebisha tena uhaba wa siku zilizopita).

Waisraeli 3 wataachiliwa siku ya Jumamosi.


View: https://x.com/muhammadshehad2/status/1889953368841527431?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Uyo mlokole leo sijui kavuta cha Talime!!!! Ukweli upo wazi lkn yeye analazimisha afanye propaganda mana watu Ukweli upo wazi!!!! molori mengi tangu jana adi Leo yameingia GAZA picha apa Zipo au aendea Al jazeera lkn milokole janga zito kwa Taifa .uyo TRAMP mbele ya Palestina ni PUTO la watoto akuna Wakumtisha pale!!!
 
Wanaukumbi.

Breaking | Al-Qassam Brigades spokesperson Abu Obaida announces that due to Israel's failure to uphold the terms of the ceasefire agreement, the release of Israeli captives scheduled for this Saturday will be postponed until further notice.
=========================
⚡️BREAKING: Ofisi ya Vyombo vya Habari vya Serikali huko Gaza ilichapisha muhtasari wa ukiukaji wa Israeli wa vifungu vya kibinadamu vya makubaliano ya kusitisha mapigano:

- Malori 12,000 ya misaada yanapaswa kuwa yameingia Ukanda wa Gaza kwa sasa. 8,500 tu ndio wameingia. Shirika la Kizayuni limeshindwa kufikia mwisho wa makubaliano na lori 3,500.

- Malori 50 ya mafuta yalitakiwa kuingia Ukanda wa Gaza kila siku. 15 tu wameingia kila siku. Shirika hilo la Kizayuni limekiuka usitishaji vita wa lori 35 za mafuta kila siku.

- Nyumba 60,000 za muda zilitakiwa kuingia Ukanda wa Gaza. Hakuna kitengo hata kimoja kilichoingia, kuzuia mamia ya maelfu ya watu wa Gaza kupata makazi ya muda.

- Mahema 200,000 yalitakiwa kuingia Ukanda wa Gaza. 20,000 tu ndio wameingia. Jumuiya ya Kizayuni imeshindwa kutekeleza makubaliano ya kusitisha mapigano, kwani mahema 180,000 zaidi yanapaswa kuingia Ukanda huo.
===============
⚡️BREAKING: The Government Media Office in Gaza published a summary of Israel’s violations of the humanitarian clauses of the ceasefire agreement:

- 12,000 aid trucks should have entered the Gaza Strip by now. Only 8,500 have entered. The zionist entity has fallen short of its end of the agreement by 3,500 trucks.

- 50 fuel trucks were supposed to enter the Gaza Strip daily. Only 15 have entered daily. The zionist entity has violated the ceasefire to the tune of 35 fuel trucks every day.

- 60,000 temporary mobile housing units were supposed to enter the Gaza Strip. Not a single unit has entered, preventing hundreds of thousands of Gazans from obtaining temporary shelter.

- 200,000 tents were supposed to enter the Gaza Strip. Only 20,000 have entered. The zionist entity has failed to implement the ceasefire agreement, as 180,000 more tents are supposed to enter the Strip.


View: https://x.com/suppressednws/status/1888992089490543051?s=48&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
UP DATE
===================

View: https://x.com/qudsnen/status/1889225301663850839?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Baada ya muda kupita wasipotekeleza maagizo makuu Gaza itakuwa eneo lisilo na viumbe vinavyoishi!
 
Kenge akinita mimi mjinga na mpumbafu inabidi nicheke tu hahahaha
Kenge atabaki kuwa kenge tu.
Wewe ndiyo hakuna kitu kabisa hujui kitu umieją zwą ujinga na masheikhe wenu msikitini leo hii Niki ku uliżą tu Historia ya Palestina hujui lakini humu umekomaa na kushupaza shingo zaidi mmejazwa matusi tu kwa watu. Humjui mnachoshabikia muulize babu yenu Ritz nimeipima akili yake kwa maswali macha he nikaona hakuna kitu hapo naye anashabikia asichokijua mnaishambulia Israel msiyoijua na kuwashabikia Wapalestina msiowajua mmemezeshwa Propaganda za kijinga na waarabu!! Hakuna hoja yoyote mnaweza kutoa bali matusi tu. Someni historia muondokane na Ujinga.
 
Najua kabisa silaha kuu kwa Wafuga Midevu na Majini ni Matusi na Kuba sika watu mamina ili tu ku kutoa kwenye reli. Kwanza matusi yako hawawezi kukusaidia kujibu hoja zangu ,Israel haijawahi kusitisha kupeleka misaada Gaza lakini magaidi wa Hamas walikuwa wana Test Mitambo yao sasa Netanyahu kawaambia ifikapo saa 6 mchana Jumamosi bila Hamas kuachiwa mateka basi yeye atalifungua lango la kuzimu bahati mbaya kabisa magaidi hao wameogopa na kutangaza kuwa wafungwa watawaachia, washukuru Allah wao kawashitua mapema safari hii walikuwa wanaisha wote kabisa nguruwe hawa!!
Kwaiyo wewe mlokole kuita Binadam wenzio nguruwe ndio ulokole wako umekuelekeza ivyo!!! Msingi upo na ww unajua Hamas

walichokigomea ni uchache wa malori yani leo kwa siku 1 inatakiwa malori 50 ya Mchele Sasa Israel ikawa inazuiya Kule Border yapite 20 tu kwa siku ivyo ivyo kwenye Bidhaa zengine kinyume na Mkataba!!!

Ndio HAMAS ikasema Inasitisha kuendelea kuachia mateka adi malekebisho yafanyike ikiwemo kufidia upungufu uliosababishwa na Israel kufatana na Mkataba

sasa kwanzia jana Border inacheuwa molori yanapita zaid ya esabu kwa Siku ili kufidia weeks za nyuma! Ndio HAMAS nao Wakasema itaendelea kama Mkataba ulivotaka siku ya J.mosi

sasa wewe utaki ukweli unadai Hamas imeogopa kipigo lini Hamas waliogopa kipigo wapi!! kwani nani alikubali kusitisha Vita na kutekeleza matakwa ya Hamas si Netanyahu au unajisaaulisha!!!!! Mlokole leo Tena udai Hamas wameogopa kipigo!!!!! Punguza ujinga ndugu.
 
Kwaiyo wewe mlokole kuita Binadam wenzio nguruwe ndio ulokole wako umekuelekeza ivyo!!! Msingi upo na ww unajua Hamas

walichokigomea ni uchache wa malori yani leo kwa siku 1 inatakiwa malori 50 ya Mchele Sasa Israel ikawa inazuiya Kule Borde yapite 20 tu kwa siku ivyo ivyo kwenye Bidhaa zengine kinyume na Mkataba!!!

Ndio HAMAS ikasema Inasitisha kuendelea kuachia mateka adi malekebisho yafanyike ikiwemo kufidia upungufu uliosababishwa na Israel kufatana na Mkataba

sasa kwanzia jana Border inacheuwa molori yanapita zaid ya esabu kwa Siku ili kufidia weeks za nyuma! Ndio HAMAS nao Wakasema itaendelea kama Mkataba ulivotaka siku ya J.mosi

sasa wewe utaki ukweli unadai Hamas imeogopa kipigo lini Hamas waliogopa kipigo wapi!! kwani nani alikubali kusitisha Vita na kutekeleza matakwa ya Hamas si Netanyahu au unajisaalisha!!!!! Mlokole leo Tena udai Hamas wameogopa kipigo!!!!! Punguza ujinga ndugu.
Ujinga unao wewe mwenyewe Israel haijawahi kupunguza msururu wa magari ya misaada Hamas alitaka kupiła kina cha maji lakini alipoambiwa lango la kuzimu litafunguliwa alielewa kaamua kurudi kwenye mstari. Mnajitahidi sana kuwasafisha Hamas lakini nilishawaambia na Babu yenu Ritz kuwa Hamas kwa madhambi waliyoyafanya Oct 07,2023 hawasafishiki kabisa kwa hiyo mnajisumbua bure tu. Israel wao walishasema chakula watapewa na kipigo nacho lazima wakipate na Hamas kutawala Gaza mwisho Mwaka huu. Pia muache uongo hiyo idadi ya magari yanayopaswa kupeleka misaada wewe umeipata wapi?
 
Kwaiyo wewe mlokole kuita Binadam wenzio nguruwe ndio ulokole wako umekuelekeza ivyo!!! Msingi upo na ww unajua Hamas

walichokigomea ni uchache wa malori yani leo kwa siku 1 inatakiwa malori 50 ya Mchele Sasa Israel ikawa inazuiya Kule Border yapite 20 tu kwa siku ivyo ivyo kwenye Bidhaa zengine kinyume na Mkataba!!!

Ndio HAMAS ikasema Inasitisha kuendelea kuachia mateka adi malekebisho yafanyike ikiwemo kufidia upungufu uliosababishwa na Israel kufatana na Mkataba

sasa kwanzia jana Border inacheuwa molori yanapita zaid ya esabu kwa Siku ili kufidia weeks za nyuma! Ndio HAMAS nao Wakasema itaendelea kama Mkataba ulivotaka siku ya J.mosi

sasa wewe utaki ukweli unadai Hamas imeogopa kipigo lini Hamas waliogopa kipigo wapi!! kwani nani alikubali kusitisha Vita na kutekeleza matakwa ya Hamas si Netanyahu au unajisaaulisha!!!!! Mlokole leo Tena udai Hamas wameogopa kipigo!!!!! Punguza ujinga ndugu.
Mnaonekana mna ugomvi na Ulokole maana haipiti kwenu jambo bila kunihusisha mimi na Ulokole kitu ambacho hakihusiani kabisa na kufyata mkia kwa Magaidi wa Hamas!!
 
Sasa, malori ya msafara na magari ya uhandisi yanasubiri mbele ya kivuko cha Rafah kuingia Ukanda wa Gaza.

Uagizaji wa idadi kamili ya misafara inahitaji muda mrefu na idadi kubwa ya malori na kuwapatia kutoka kiwandani.

Mungu awabariki upinzani na akili ngumu ya Gazan.


View: https://x.com/tamerqdh/status/1889970958213251320?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Msururu huo ulikuwepo toka Jumapili sema tu magaidi wa Hamas walitaka kuijaribu Israel na kama tujuavyo Israel haijaribiwi walipoona haitikisiki na ikaanza kujiandaa kushusha kipondo cha mbwa-koko bahati mbaya kabisa Hamas walipoona hivyo waliamua kurudi nyuma na kusalimu amri na Jumamosi watarudisha mateka waliowateka kinyama Oct 07,2023
 
Msururu huo ulikuwepo toka Jumapili sema tu magaidi wa Hamas walitaka kuijaribu Israel na kama tujuavyo Israel haijaribiwi walipoona haitikisiki na ikaanza kujiandaa kushusha kipondo cha mbwa-koko bahati mbaya kabisa Hamas walipoona hivyo waliamua kurudi nyuma na kusalimu amri na Jumamosi watarudisha mateka waliowateka kinyama Oct 07,2023
Hahahha wewe jamaa sijui unaumia nini kila kitu kipo wazi unaletwa kila ushahidi unakataa yaani upo Uyole unapiga mambo ya Gaza😅

Ceasefire mediators:

Israeli occupation authorities to allow entry of mobile homes, fuel and medical equipment tomorrow so that the Palestinian resistance is to release 3 Israeli prisoners on time!
Trump and Netanyahu have been just defeated again!
 
Back
Top Bottom