Hamas mbona hawaonekani tena Gaza? Wameuawa? Wamekimbia? Wamejificha?

Huoni aibu kuandika utombo huu mbele za wanaume, you are Stupid
 
Wapo Lebanon
 
On the target sio ila sema watz ni kipengele sana
Dunia nzima inapambania vita iishe ila tz si tunashabikia
Dunia gani inayopambia vita iishe acha uzandiki,zana za kivita zinapelekwa Kila siku na USA halafu ati vita viise
 
hizo sarakasi za israel ni kutaka kutuonesha sisi kajamba nani kwamba yeye ni mbabe ila kimya kimya wanakipata pata huko...wao wanaua raia tu ila hatusikii jeshi la HAMAS wamekufa wangapi na wale mateka 200+ mbon hawakombolewi mpk sasa
 
Kemiko Ally.. huyu mpuuzi alitufanya tukashangilia kumbe akuna kitu
 
Hamasa sio kichaa , wale ni wana mgambo hawana hata Air defense system kwahiyo wanatumia akili sio masikio
 
Dah! Bila chupi tena!
 
Mateka km wamehamishwa mbali na Gaza atawapataje?

Kimsingi Hamas wamesambaratishwa na haiondoi huo ukweli.

Israel Hadi kwa mahandaki wameshatimba.

So kigezo siyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…