HAMAS: Tuko tayari kwa makubaliano yoyote ili vita iishe

Ukicheza na moto huku nywele za mwilini zote unazozijua haujazifunika,lazima ziungue.Tufumbe macho tuwaombee Hamas na Hezbollah maji ya kunywa.๐Ÿ™๐Ÿ˜Ž
 
Israel ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ ni taifa la vita miaka nenda miaka rudi! Lilianzishwa kwa vita linaishi kwa vita! Hawa nyau wa kubipu hawalojui taifa la Israel ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ
 
Israel ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ ni taifa la vita miaka nenda miaka rudi! Lilianzishwa kwa vita linaishi kwa vita! Hawa nyau wa kubipu hawalojui taifa la Israel ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ
Ahahah kabisa
 
Inabidi wakaishi uhamishoni; hakuna haja ya 'deal' wakati kuna watu wameshapoteza uhai kwa uzembe wao.​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ