HAMAS: Tuko tayari kwa makubaliano yoyote ili vita iishe

HAMAS: Tuko tayari kwa makubaliano yoyote ili vita iishe

Wapumbavu wengi narudia wapumbavu wengi wanakurupuka kuchangia mada na kumsapoti mleta mada pasi na kusoma wala kukielewa kilicho andikwa ndani ya hizo habari.

Jitahidi mwana jamii forum usiwe miongoni mwa hao Wapumbavu.
 

Attachments

  • Screenshot_20230728-095341.jpg
    Screenshot_20230728-095341.jpg
    198.1 KB · Views: 1
Hujui lugha uliza. Wapo tayari kwa majadiliano yoyote yatakayopelekea makubaliano ya kuleta amani. Na sio kwamba wapo tayari kwa makubaliano yoyote.
Niulize maiti iliopo kwenye profile yako au? Itanijibu nini, eti malaya wa jf wewe
 
Hapana hatutaki! Mbiu imeishapigwa na waziri wa fedha wa Israel kuruhusu Wayahudi kuanzisha makazi ukanda wa gaza! Hamas watafute mahali pa kuishi sio Gaza tena!
Mbona HAMAS walishatafutiwa mahali pa kuishi? Kama wamesahau, basi Niwakumbushe tu kwamba walitafutiwa kule waliko mabikra zao 72 na mito ya pombe. Au bado hawaridhiki?
Tuwaombe tu Israel (IDF) awafanyie wepesi wa haraka ya kutoa Usafiri wa kuwafikisha huko mapema iwezekanavyo. Wote tuseme Aaamen.
 
Isr
Israel wasikubali kuondoa majeshi kirahisi, labda Hamas wakubali kuswali tu na kamwe wasiwe na jeshi tena.
Subiri kwanza. Sharti la Israel mbona lilishatolewa na ni moja tuu kwamba:
1. HAMAS Wajisalimishe chap' wao na silaha zao.
 
Wawaachilie mateka kwanza
Halafu wajisalimishe wao wote na silaha zao ndipo Israel iwape masharti na maelekezo chini ya Usimamizi wa UN na Serikali halali ya nchi ya Palestina.
Sasa nadhani HAMAS wamejua na wameelewa kwamba Ubabe haulipi.
HAMAS kwisha habari yake :HYPERSHAKE:
 
Sijuhi kwanini wazo hili la kwamba mateka wote wa Kiyaudi walishauawa linakataa kufutika kichwani mwangu!
Hiyo ni kutokana na jinsi hayo majamaa yalivyokuwa makatili. Lakini jipe moyo kwani IDF wanapotoa dai hilo wanajua idadi ya mateka ambao bado wapo hai na wanashikiliwa na hayo madubwana almaarufu kama HAMAS.
Kama Wasipowatoa mateka hai itabidi waseme ilikuwaje, na wakijing'atang'ata
kwenye majibu yao; IDF itakuwa na Uhalali zaidi wa kuwarudisha "uwanjani" ili waseme vizuri au wanyooshe maelezo.
 
Sijuhi kwanini wazo hili la kwamba mateka wote wa Kiyaudi walishauawa linakataa kufutika kichwani mwangu!
Wahuni sana hawa, israel isiingie mkingi kwa matapeli hawa
 
Back
Top Bottom