ngoja ngoja
JF-Expert Member
- Jun 20, 2024
- 673
- 1,526
Hapana, mkuu. Hatukuwa na maana ya vita vya damu. Tulimaanisha yale magodoro ya Vita.HAMAS mnataka vita? Basi tutawapa Vita -Netanyahu.
Hapana, mkuu. Hatukuwa na maana ya vita vya damu. Tulimaanisha yale magodoro ya Vita.
Niulize maiti iliopo kwenye profile yako au? Itanijibu nini, eti malaya wa jf weweHujui lugha uliza. Wapo tayari kwa majadiliano yoyote yatakayopelekea makubaliano ya kuleta amani. Na sio kwamba wapo tayari kwa makubaliano yoyote.
Israel wasikubali kuondoa majeshi kirahisi, labda Hamas wakubali kuswali tu na kamwe wasiwe na jeshi tena.Moisemusajiografii matapeli wameanza kusalimu amri 😂😂😂
View attachment 3139103View attachment 3139104
View attachment 3139108
Mbona HAMAS walishatafutiwa mahali pa kuishi? Kama wamesahau, basi Niwakumbushe tu kwamba walitafutiwa kule waliko mabikra zao 72 na mito ya pombe. Au bado hawaridhiki?Hapana hatutaki! Mbiu imeishapigwa na waziri wa fedha wa Israel kuruhusu Wayahudi kuanzisha makazi ukanda wa gaza! Hamas watafute mahali pa kuishi sio Gaza tena!
Mjapan leo hii yuko wapiIsrael 🇮🇱 ni taifa la vita miaka nenda miaka rudi! Lilianzishwa kwa vita linaishi kwa vita! Hawa nyau wa kubipu hawalojui taifa la Israel 🇮🇱
Subiri kwanza. Sharti la Israel mbona lilishatolewa na ni moja tuu kwamba:Isr
Israel wasikubali kuondoa majeshi kirahisi, labda Hamas wakubali kuswali tu na kamwe wasiwe na jeshi tena.
Wawaachilie mateka kwanzaMoisemusajiografii matapeli wameanza kusalimu amri [emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 3139103View attachment 3139104
View attachment 3139108
Halafu wajisalimishe wao wote na silaha zao ndipo Israel iwape masharti na maelekezo chini ya Usimamizi wa UN na Serikali halali ya nchi ya Palestina.Wawaachilie mateka kwanza
Hiyo ni kutokana na jinsi hayo majamaa yalivyokuwa makatili. Lakini jipe moyo kwani IDF wanapotoa dai hilo wanajua idadi ya mateka ambao bado wapo hai na wanashikiliwa na hayo madubwana almaarufu kama HAMAS.Sijuhi kwanini wazo hili la kwamba mateka wote wa Kiyaudi walishauawa linakataa kufutika kichwani mwangu!
Hapana, uliza wataalam wa lughaNiulize maiti iliopo kwenye profile yako au? Itanijibu nini, eti malaya wa jf wewe