Hamas tumieni mbinu hii kumshinda Israel

Hamas tumieni mbinu hii kumshinda Israel

Sio kweli dharau hizo, kwa ldd amini ulipambana wewe, makomando wa jeshi letu wapo morogoro kikos Cha ngerengere Kama hujui.
Sasa walioenda vitani si ni raia, wengi wakiwa ni wa kabila la wakurya kutoka mkoani mara...

Vita ya Idd Amini walikusanya raia na kuwapeleka vitani, hao unaosema ni makomandoo kazi yao ilikuwa kuendesha vifaru tu na kusoma ramani tu... Kazi kubwa ilifanywa na raia waliojitolea kwenda vitani.
 
Huko DRC ni Mnyarwanda akidaiwa kufadhili vikosi hili kuiba madini. Ila bahati nzuri huko DRC wengi ni wanajeshi kwa wanajeshi ndio wanauana. Na mashambulizi mengi yanaelekezwa kwenye kambi za kijeshi. Utaskia wanajeshi wawili wauwawa na kundi la mgambo nchini DRC.

Lakini Hamas wao wameua raia waziwazi, hususani kwenye lile tamasha la mziki wamemimina risasi na kuua raia. Hamas hawashambulii wanajeshi bali wanalenga raia
DR Congo wanaouana ni wanajeshi tu?
 
Una

jua kwann israel inaipiga Palestine?? Au ndio umeanzisha bila kujua nn. Kinapiganiwa?
Chanzo kikuu ni kugombania ardhi, waisraeli wanadai hiyo ardhi waliokaa waarabu wa kipalestina ni mali yao toka enzi

Swali la kipuuzi sana hili ulilouliza
 
Hivi jeshi la zimamoto na uokoaji halina makomando? Kama linalo wanaokoa nini ikiwa si wanaotekwa na magaidi? Kuokoa maana yake ni kuokoa kwenye hatari zote na si kuokoa kwenye baadhi ya hatari tu. Ikitokea raia wametekwa na wanashikiliwa mateka na kikundi fulani cha kigaidi au kijeshi hiyo shughuli ya uokoaji iwahusu pia zimamoto, maana wanajiita zimamoto na uokoaji. Wanatakiwa wawe na makomando ili kufanya operesheni za uokoaji wa ina yoyote
 
Hivi jeshi la zimamoto na uokoaji halina makomando? Kama linalo wanaokoa nini ikiwa si wanaotekwa na magaidi? Kuokoa maana yake ni kuokoa kwenye hatari zote na si kuokoa kwenye baadhi ya hatari tu. Ikitokea raia wametekwa na wanashikiliwa mateka na kikundi fulani cha kigaidi au kijeshi hiyo shughuli ya uokoaji iwahusu pia zimamoto, maana wanajiita zimamoto na uokoaji. Wanatakiwa wawe na makomando ili kufanya operesheni za uokoaji wa ina yoyote
Tukio la juzi la Kariakoo linathibitisha ni aina gani ya jeshi tulilonalo... Maduka yanaungua na ofisi za jeshi ziko hapo hapo karibu na bado maduka yakateketea... Jeshi letu la zimamoto shughuli kubwa ufanywa na raia
 
Hizo ng'ombe za kizayuni ni magaidi pia ,wameshambulia hospital yote bila kujali Kuna wagonjwa.USA ni mnafiki pamoja na usharika wake.. Chuki ya USA ni dhidi ya uislamu tu hana jipya maana walishasema hawapigani na ugaidi ila wanapigana dhidi ya uislamu.
Na mtaendelea uawa kila siku
 
Wazee wa majambia. Allah akbar. Hivi wanavyosema vile ndio uislam unavyotaka au wanajiongeza?
Shida ya watu wengi huwa mnafocus na propaganda uchwara.
Mackenzie ameua zaidi ya watu 400 pale Kenya,Yale mauaji angefanya muislam mungesimamia ukucha kupiga kelele humu.
 
Hawa wajeda wetu ni wa kutunyanganya gwanda zao, na kututishia mitaani na buti zao... Hawa vita hawawezi.
Kwa ufupi ni kuwa watu wengi wa usalama ni wabovu sana
 
Kwenye hii vita kunasehemu uislamu umetajwa? Kwanini mnapenda kuhusisha uislamu kwenye vita ili mpate huruma za waislamu wengine kama umeamua kufanya ugaidi simama kama gaidi sio ukianza kujibiwa mashambulizi unaingiza neno uislamu ili kutafuta huruma

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Wewe unadhani nani kaua watu wengi toka mzozo wa Israel na Palestine uanze miaka 60s.. Israel imefanya mauaji mengi sana Kwa wapalestina shida ya nyie watu ni unafiki mkubwa mlionao.
 
Mhaya kule DW_swahili unatumia jina gani kwenye kutoa maoni? Maana ulichokiandika hapa hakina tofauti na wale wachangiaji wa DW. Ni kama mnawachukulia Hamas kuwa hawana mipango wala mikakati na hawajui wanachokifanya.
 
Kitu pekee kinachofanya Makundi ya Palestina yaonekana ya Kigaidi hususani kwenye umoja wa mataifa na nchi za magharibi ni namna yanavyofanya mashambulio.

Kundi la Hamas lilipaswa kupiga kambi za jeshi na maneno yenye dhana za kijeshi ili kujiwekea uhalali wa kufanya mashambulizi. Kitendo cha Hamas kupiga risasi raia na kuwaua, na wengine kuteka nyara na mashambulizi mengine ya moja kwa moja kwa raia ni kosa la kigaidi, hivyo na kupelekea kundi hili kupewa jina la kigaidi.

Hotuba ya waziri mkuu wa uingereza amesema hawa jamaa sio freedom fighters au wapigania haki bali ni terrorists kutokana na matukio ya kushambulia raia. Nchi ya Marekani nayo imesema Hamas ni magaidi kutokana na namna wanavyoua raia.

Israel yeye katumia Akili sana hili asiitwe gaidi na maadui zake, badala yake wengi wanampongeza kwa kujitetea. Mfano, kabla hajafanya mashambulizi makubwa huko Gaza, aliwaonya na kutoa taarifa kwa raia yeyote aliyeko Gaza kuama eneo hilo, yani hakutaka kufanya mashambulizi ya moja kwa moja kwa Raia, jambo ambalo wengi wanaona ni la kiungwana kwa sababu vita ya Israel anapigana na Hamas na si raia wa palestina. Tofauti na kundi la Hamas ambalo lenyewe linalenga moja kwa moja raia.

Popote pale Duniani uwezi kupata support ya 100% kama unapiga raia moja kwa moja, ndio maana hata nchi za uarabuni zinashindwa kuingilia vita kwa sababu za Hamas kupiga moja kwa moja raia ambayo ni kinyume na sheria za Dunia.

USHAURI: Hamas kuishinda Israel mnapaswa kutumia Akili na si kupiga piga hovyo na kuwateka raia, mkifanya hivyo mtafanya mataifa mengine yazidi kuiunga mkono Israel na mwisho wa siku Israel itazidi kuwa na nguvu zaidi na ushawishi. Ikumbukwe nchi ya Israel inaruhusu uraia pacha, hivyo raia wa Israel wengi mnaowaua na kuwateka pia ni raia wa nchi nyingine, hivyo mtakuwa mnazipa morali nchi nyingine nazo kuiunga mkono Israel. Mfano raia wa Tanzania wawili hawajulikani walipo, hiyo ni go ahead moja kwa moja ya Tanzania kuiunga mkono Israel kwa sababu Hamas wameteka au kuua watanzania, japo Bongo nyoso haiwezi kutoa kauli. Hivyo hivyo nchi nyingine nazo mkiua raia wake. Israel hapa alijitoa kwenye kuua raia, yeye hasa hasa anatungua magorofa matupu yani safisha mji na kambi za Hamas tu, jambo linalompa mashiko.
Hamas tumieni akili ili kumshinda Israel.
 
Chanzo kikuu ni kugombania ardhi, waisraeli wanadai hiyo ardhi waliokaa waarabu wa kipalestina ni mali yao toka enzi

Swali la kipuuzi sana hili ulilouliza
Mpuuzi ni wewe ambaye hujui hiyo historia ya arthi ni nani. N mmiliki wa kweli
 
Hii vita haita kwisha mpka pale palestina itakapo pata haki yake, hakuna jambo zuri kama kufa huku ukipambania haki yako.
 
Hujasema lolote la maana na huna akili ya kuwashauri Hamas.Hapo unajadili kikundi kisicho na silaha dhidi ya taifa lenye silaha za kisasa na kusaidiwa na mataifa makubwa waneaopigana baada ya kuuliwa watu wao kwa malaki .Watu hao hawali na wala kulala vizuri tangu utoto wao.Sifikiri kuwa wana uwezo wa kutofautisha katika ya raia na askari.Na raia hao hao ndio wanaolala kwa raha kwenye ardhi zilizoporwa kwa wazazi wao.
Tanzania nayo kwa miaka yote hiyo haikuwa na ubalozi nchini Israel na haikuwa na ushirikiano nayo katika mipango yake.Kipi kimepelekea kuanzisha uhusiano mzuri na taifa hilo ambalo Tanzania inajua linawakandamiza na kuwaua watu wa Palestina.Katika kipindi hiki tangu Tanzania ifungue ubalozi wake Israel kumetokea unyamna mkubwa sana dhidi ya Palestina na sisi tumefumbia macho moja kwa moja hali hiyo.
Asilimia 98 ya maisha ya wapelestina wanategemea Israel nimesoma Israel nimeona Kwa macho ,chakula ,maji,elimu Kwa wanaotaka kusoma ,umeme supplier ni ISRAEL,Je Israel ni wabaya kama mnavyo aminishwa.
 
Once unapokuwa muumini wa dini ile akili ya kufanya jambo kwa weledi na kuamua mambo hutoweka. Unafanya kiholela tu,
Wazungu na waarabu wamefanikiwa sana kututeka kwenye dini ndio maana tuna shabikia yasiyo tuhusu
 
Back
Top Bottom