HAMAS waanza kuomba vita viishe ili majadiliano yafanyike

HAMAS waanza kuomba vita viishe ili majadiliano yafanyike

😂 kijana tafuta sehemu Hamasi anaomba vita visimamishwe zaidi ya kusema hawezi kuongelea mambo ya prisons of war wakati bado vita inaendelea cha pili alicho sema yuko tayari kuongelea peace bada ya kuwatia adabu Israel kumbuka kuongelea peace ni tofauti na kusema nataka vita isimamishwe 😂

Nyie Rudin shule mfahamishwe niko tayari kusurrender au kuongelea peace ujuwe tofauti yake.

Kuongelea peace ni watu wawili wakubaliane au wengine washiriki hapo mtu anahaki ya kusema sitaki peace kama masharti yangu hamyakubali nenda shule kasome.



View: https://youtu.be/5czJd5ocsso?si=d_6_onFEYtoo0mQs


Ustadhi kapate ilmu ya dunia, wacha kutegemea madrassa pekee "Hamas has announced its readiness to discuss a ceasefire with Israel"

Israel walikua wameanza kuamini inawezekana kuwa na amani na mazombi wa hiyo dini yenu, hadi wakalegeza kamba, mkatumia hiyo fursa kuingia na kuua raia, sasa mumesababisha majibu yanayotia huruma, mabomu yanasambaratisha kila kitu, kiaina natamani kuomba Israel waache sasa ila kwa mlivyo, nyie hadi damu iwatoke maskioni ndio mtasikia.

Dini yenyewe mumekaririshwa mauaji tu kila sehemu

Verses that instructs killings in quran
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
😂 poleni sana kichapo mlichokipata mpaa US na Europe Union wamechanganyikiwa.


Israel hana jipya vifaru vitaishia kwenye maonyesho tu havita nusa Gaza.

Israel watakacho fanya ni kuvunja majumba tu na kufunga maji na umeme wanadhani wakiwakatia hivyo vitu wale jamaa wa Gaza wataitia pressure Hamasi asimamishe vita 😂
Hivi hiyo vita ya Hamas na Israel inapigwa wapi? make naona ni Israel ndio wanapiga Gaza kutafuta Hamas, na Gaza tayari imezingirwa kabisa sasa hao Hamas mnaowapamba hapa wako wapi?

Mara vifaru vitaishia kwenye maonyesho tu, maonyesho yapi hayo? ebu kaa utulie mla nguruwe wewe, hauna msaada kwa sasa kwa Palestina nyie ni washia wa Iran ambao hamkutaka Palestina iwepo.

Tunasubiri kuona msaada wa Iran kwenda Gaza kusaidia Gaza isichukuliwe na Israel, Hamas kwisha habari yao, wamesumbua sana watu wa Gaza, angalau Gaza patakuwa na amani sas Iran iliwadanganya tu mbona hatuoni majeshi ya Iran pale?
 
😂 hivi we unapo sema tuko tayari kuongelea usalama bada kufanya tulicho taka kufanya ndio kaomba vita isimamishwe,


Hapo alikuwa anawajibu walio omba hi vita isimamishwe kuna nchi zimetumwa zingilie kuwasemesha Hamasi kama vile Qatar na Egypt

kuzeni akili zenu 😂
Wewe mshia kaa utulie toa uwongo wako hapa, unakataa nini? Israel lazima inachukua Gaza na tayari kashaichukua kilichobaki ni kuingia wazee wa kusafisha kila kitu, Hamas watulie watetee Gaza yao basi tuone kama kweli ni wanaume.

Hamas haiko kwa maslahi ya Gaza ila hipo pale Gaza kwa maslahi ya Iran, ngoja tuone kama Iran itawasaidia sasa Gaza tayari iko mikononi mwa Israel, sijajua unabishia nini hapa mla nguruwe wewe.
 
Hao Hamas ni wapuuzi kweli kweli! Damu zimemwagika; mali zimeharibika; uchumi na maisha kwa ujumla vimesambaratika! Death to Israel! Majinga ya kiwango cha mwisho!
Isarel 900
Palestine 600
Up to now
Halafu wao ndo wanaonekana wameonewa pamoja na kushambukia wenzao
 
Wacha uwongo hakuna sehemu Hamasi kaomba vita vishe walicho sema hawawezi kuongelea mambo ya matekwa wa Israel wakati kwa sasa wako vitani wacheni kutunga nyimbo za kuipaza Israel.

jana Israel kala kichapo kutoka kwa Hezbullah aliuwa wanajeshi wa tano wa Hezbullah akadhani Hezbullah atamuogopa US hatarudisha mashambulizi.

Hazibullah akawatwanga wa Israel hakuchukua hata nusu saa, camp mbili za Israel zikashambuliwa sijui waisrael wangapi wamekufa Israel hasemi, labda wengi tu wamekufa.

Israel aka fyata mkia aka kaa kimya hakujibu mapigo ya Hezbullah, walldhani Hezbullah wataogopa kitisho cha US [emoji23]

Hezbullah hawaogopi US na sikia sasa gazeti la Israel linasema nini kuhusu Hezbullah soma hapo chini
Hezbollah threatens US, as Russia sees ‘high risk’ of 3rd party entering conflict
Unaleta hadith za Hezbollah wakati Gaza kunawaka moto,no food,no electricity and no gas.Wakiendelea week 2 tu mbele wanaanza kufa kwa njaa
 
😂 kijana tafuta sehemu Hamasi anaomba vita visimamishwe zaidi ya kusema hawezi kuongelea mambo ya prisons of war wakati bado vita inaendelea cha pili alicho sema yuko tayari kuongelea peace bada ya kuwatia adabu Israel kumbuka kuongelea peace ni tofauti na kusema nataka vita isimamishwe 😂

Nyie Rudin shule mfahamishwe niko tayari kusurrender au kuongelea peace ujuwe tofauti yake.

Kuongelea peace ni watu wawili wakubaliane au wengine washiriki hapo mtu anahaki ya kusema sitaki peace kama masharti yangu hamyakubali nenda shule kasome.



View: https://youtu.be/5czJd5ocsso?si=d_6_onFEYtoo0mQs

Mi narudia kusema nasubiri nione huo mwisho wa hii vita
Tusikimbiane hapa jmn.....

Km wao walikuwa wanajiamini Kwan wavamie ,shambulie?
Au walikuwa wanatafuta Kwa kuanzia?

So far 900 Israel, 600 Palestine....let's go
 
[emoji23] poleni sana kichapo mlichokipata mpaa US na Europe Union wamechanganyikiwa.


Israel hana jipya vifaru vitaishia kwenye maonyesho tu havita nusa Gaza.

Israel watakacho fanya ni kuvunja majumba tu na kufunga maji na umeme wanadhani wakiwakatia hivyo vitu wale jamaa wa Gaza wataitia pressure Hamasi asimamishe vita [emoji23]
Ingia istagram kwa page 'eye on Palestina' uone wanachokipitia kwa sasa na uzuri ni wao wenyewe ndiyo wanapost.Tuendelee tu kupiga porojo hapa lakini huko Gaza kumegeuka kuwa Jehenamu kwa sasa.
 
Inasikitisha wanapofikia hatua ya kusema eti wasipopewa taarifa ya shambulizi wanaua mateka sada hivi tangu lini upewe taarifa na adui yako???
Wamechanganyikiwa hao,tangu lini binadamu mwenye akili timamu akatoa tishio kama hilo eti watakuwa wanatelevize ili Ulimwengu mzima uone.HAMAS ndiyo adui mkubwa wa Palestina wanaanzisha choko choko kipigp kimewazidia wanaanza kuleta vitisho vya kipuuzi.
 
Ingia istagram kwa page 'eye on Palestina' uone wanachokipitia kwa sasa na uzuri ni wao wenyewe ndiyo wanapost.Tuendelee tu kupiga porojo hapa lakini huko Gaza kumegeuka kuwa Jehenamu kwa sasa.
Duh mchawi bundle tu🙌🙌
 
Ingia istagram kwa page 'eye on Palestina' uone wanachokipitia kwa sasa na uzuri ni wao wenyewe ndiyo wanapost.Tuendelee tu kupiga porojo hapa lakini huko Gaza kumegeuka kuwa Jehenamu kwa sasa.

Dah nimeingia nikajikuta naanza kupata huruma, kwa kweli hivi kwanini Palestina wasiwe wanakemea maovu ya HAMAS ili kuepuka mateso kama ambayo nimeshuhudia kwenye huo ukurasa.

Halafu kwa sasa hakuna mwenye ubavu wa kuingilia au kuagiza Israel wasitishe, kwenye hili hata USA wamepiga kimya, majitu yaliyokubuhu ugaidi kama FaizaFoxy yanashabikia tu ila wakiingia waone kinachofanyika huko wanaweza kutia akili.
 
Mkuu nenda kwa hiyo page ndiyo utajua moto unavyowaka Gaza,wanaume wanalia kama watoto wadogo.Kuna taharuki kubwa mno,hospital zimejaa kama wapo Sokoni K.koo.
Aiseee ngoja nitafute bundle ya kutosha
Maaana hapa tunadanganywa mno
Ndio maana naingia utube pia
 
Dah nimeingia nikajikuta naanza kupata huruma, kwa kweli hivi kwanini Palestina wasiwe wanakemea maovu ya HAMAS ili kuepuka mateso kama ambayo nimeshuhudia kwenye huo ukurasa.

Halafu kwa sasa hakuna mwenye ubavu wa kuingilia au kuagiza Israel wasitishe, kwenye hili hata USA wamepiga kimya, majitu yaliyokubuhu ugaidi kama FaizaFoxy yanashabikia tu ila wakiingia waone kinachofanyika huko wanaweza kutia akili.
Hawa Pro HAMAS wanaleta porojo tu hapa.Nilielekezwa huo ukurasa nilichokikuta nilibaki nimeduwaa.Hata wao wataenda kwa hiyo page kimya kimya na hawatasema walichokishuhudia huko
 
Hiyo janja yao kasheshe wanapiga kwa kushtukiza, wakijibiwa wanawahi kuomba maridhiano. Huku wanajipanga upya kwa shambulio

Mbinu hii ngoja tuone kama itafanya kazi this time
Bado hawajapigwa
 
Hao Hamas ni wapuuzi kweli kweli! Damu zimemwagika; mali zimeharibika; uchumi na maisha kwa ujumla vimesambaratika! Death to Israel! Majinga ya kiwango cha mwisho!
Yaani lazima wafutwe wote
 
[emoji23] poleni sana kichapo mlichokipata mpaa US na Europe Union wamechanganyikiwa.


Israel hana jipya vifaru vitaishia kwenye maonyesho tu havita nusa Gaza.

Israel watakacho fanya ni kuvunja majumba tu na kufunga maji na umeme wanadhani wakiwakatia hivyo vitu wale jamaa wa Gaza wataitia pressure Hamasi asimamishe vita [emoji23]
Bado hamjasema
 
Majeshi ya ufaransa yameshaingia Jerusalem, majeshi ya Marekani yameshaingia ukanda wa pwani ya Gaza.

Siamini kama Hamas wafanye hivyo ingawa kwa silaha zao za tabata.

Wamelizuwia jeshi zima la wayahudi kwa siku tatu, mpaka wayahudi wameomba msaada kwa mabwana zao.
 
Back
Top Bottom