HAMAS waanza kuomba vita viishe ili majadiliano yafanyike

HAMAS waanza kuomba vita viishe ili majadiliano yafanyike

Majeshi ya ufaransa yameshqingia Jerusalem, majeshi ya Marekani yameshaingia ukanda wa bahari ya Gaza.

Ni lazima Hamas wafanye hivyo kwa silaha zao za tabata.

Wamelizuwia jeshi zima la wayahudi kwa siku tatu, mpaka wayahudi wameomba msaada kwa mabwana zao.
Hii sasa ni chai ya moto isiyo na sukari kabisa.Unataka tukuamini kwa maneno matupu tu? Weka hapa source ya habari yako
 
Wayahudi wamekiri hawajawahi kuchezea kichapo kama walichochezea juzi kutoka kwa hamas toka nchi hiyo iundwe na muingereza 1948.

Bado hamas inawashikilia mateka majenerali wa kiyahudi:

 
Mkuu nenda kwa hiyo page ndiyo utajua moto unavyowaka Gaza,wanaume wanalia kama watoto wadogo.Kuna taharuki kubwa mno,hospital zimejaa kama wapo Sokoni K.koo.
Aisee nimwangalia mmh🙌🙌😕noma sn
 
Wayahudi wamekiri hawajawahi kuchezea kichapo kama walichicgez3a juzi kutoka kwa hamas toka nchi hiyo iundwe na muingereza 1948.

Bado hamas inawashikilia mateka majenerali wa kiyahudi:

View attachment 2777464
Hahaa sie yetu macho hapa...
Ingia kwenye page yenu pia,insta
'eye on Palestine '
Uone mambo
 
Wapalestina wana msimamo kuliko tunavyo jazwa ujinga.

Wacheni longolongo.

 
Hahaa sie yetu macho hapa...
Ingia kwenye page yenu pia,insta
'eye on Palestine '
Uone mambo
Mbona hayo yapo siku nyingi sana, kabla hujazaliwa, kwani Wapalestina wameanaza kuuliwa na kulizwa leo au jana?

Au ulikuwa huyaoni?
 
Hapana miaka yote Israel huwa anapotaka kushambulia jengo fulani huwa anatoa taarifa kabisa, hata kupitia sms, ili raia wapishe!! Kwani huwa anagundua kombola limetokea jengo gani. Ila kwa sasa czani kama atakuwa na muda huo!! Ila HAMAS wanawapa tabu sana wananchi wa kawaida wa Gaza!!
Okay, nilikuwa sijui
 
😂 wacheni uwongo Hamasi silaha zake haziko kwenye majumba zipo underground hio kupiga majumba ni dalili ya udhaifu ya Israel anafikiria nikiwau wananchi Hamasi atakubali kusimamisha vita.
Israel is squeezing to the maximum where it hurts na hii ndio Dawa ya deal na watu offensive
 
Israel is squeezing to the maximum where it hurts na hii ndio Dawa ya deal na watu offensive
😂 taifa la mashoga na US wanatumia kila aina ya silaha kuvunja majumba pale Gaza na watu wameisha gundua US kaingia kwenye vita hi kumsaidia Israel.

Hizo silaha zinazopiga Gaza kuna zingine ni US tu ndio anazo alizitumia Afghanstan.

Kuna ndege zinaruka kutoka Jordan kupiga Gaza za US
 
HAMAS walihojiwa na kuomba vita viishe waingie kwenye majadiliano, ila Israel inaendelea kupelekea moto na imechukua na kukalia eneo lote la Gaza na imeamua kufanya kitu ambacho kitakua suluhu kwa hili tatizo kwa miaka 50 ijayo.
===============================

The radical Palestinian movement Hamas has announced its readiness to discuss a ceasefire with Israel, but has no intention of negotiating the fate of hostages while hostilities continue. It said the hostages included "dozens of people with dual citizenship".

Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu, in an address to the nation, compared Hamas members with Islamic State (IS or ISIS, an organization banned in Russia) terrorists and vowed to defeat them "just like the enlightened world defeated ISIS."

TASS has gathered the main information about the conflict so far.

What conflicting sides say​

Hamas representatives are "open to discussing a ceasefire with Israel," the movement said in a statement quoted by Al Hadath TV. At the same time, Hamas said it would not "negotiate prisoners under fire."


In an address to the nation, Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu compared Hamas to the Islamic State, insisting: "This enemy wanted war and this this is what they will get." Earlier, Israeli Foreign Ministry spokesman Lior Hayat said his country would not hold negotiations with Hamas and considered them impossible because of the declared state of war.
Labda hamas wa kwenye kijijini unawajua Hamas wewe wao wameishafanya yao kama wana uwezo waulize hao mabwana zako mateka wao wapo wapi?
 
HAMAS walihojiwa na kuomba vita viishe waingie kwenye majadiliano, ila Israel inaendelea kupelekea moto na imechukua na kukalia eneo lote la Gaza na imeamua kufanya kitu ambacho kitakua suluhu kwa hili tatizo kwa miaka 50 ijayo.
===============================

The radical Palestinian movement Hamas has announced its readiness to discuss a ceasefire with Israel, but has no intention of negotiating the fate of hostages while hostilities continue. It said the hostages included "dozens of people with dual citizenship".

Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu, in an address to the nation, compared Hamas members with Islamic State (IS or ISIS, an organization banned in Russia) terrorists and vowed to defeat them "just like the enlightened world defeated ISIS."

TASS has gathered the main information about the conflict so far.

What conflicting sides say​

Hamas representatives are "open to discussing a ceasefire with Israel," the movement said in a statement quoted by Al Hadath TV. At the same time, Hamas said it would not "negotiate prisoners under fire."


In an address to the nation, Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu compared Hamas to the Islamic State, insisting: "This enemy wanted war and this this is what they will get." Earlier, Israeli Foreign Ministry spokesman Lior Hayat said his country would not hold negotiations with Hamas and considered them impossible because of the declared state of war.
I do urge Israel to wave an exterminate war!😳😳😳😳😳😳 MK254
 
Hamas hawana kitu cha kupoteza. Qummaqe Israel amepigwa manyama nje manyama ndani. Hawa si wale hamas wa kurusha mawe
 
Labda hamas wa kwenye kijijini unawajua Hamas wewe wao wameishafanya yao kama wana uwezo waulize hao mabwana zako mateka wao wapo wapi?

Hehehe mbona wanachofanyiwa hawakutegemea, sijui labda mudi afufuke aje kuwaokoa....yaani kuna sehemu nimekumbana na mapicha mpaka nikaogopa, poleni sana.
 
Hehehe mbona wanachofanyiwa hawakutegemea, sijui labda mudi afufuke aje kuwaokoa....yaani kuna sehemu nimekumbana na mapicha mpaka nikaogopa, poleni sana.
please tuwekee hapa tuone
 
haya hawasemi, wanayakana

Huwa wanakwepa ila hilo lizee sijui liliwaroga, maana licha ya maovu yote lililokua likifanya huwa wanapotezea, hebu waza mzee wa miaka 50 na mijasho ya huko Uarabuni anachomeka dushe kwa katoto ka miaka 9, licha ya uovu wote huwa wanaliabudu.
Angalia hapo nje kabinti kokote ka miaka tisa halafu uvute picha...
 
Back
Top Bottom