HAMAS waanza kuomba vita viishe ili majadiliano yafanyike

HAMAS waanza kuomba vita viishe ili majadiliano yafanyike

Huwa wanakwepa ila hilo lizee sijui liliwaroga, maana licha ya maovu yote lililokua likifanya huwa wanapotezea, hebu waza mzee wa miaka 50 na mijasho ya huko Uarabuni anachomeka dushe kwa katoto ka miaka 9, licha ya uovu wote huwa wanaliabudu.
Angalia hapo nje kabinti kokote ka miaka tisa halafu uvute picha...
Kwa hilo hawa ndugu zetu huwa inanitafakarisha sana. sasa huo utakatifu mudi anautoa wapi?
 
Hehehe mbona wanachofanyiwa hawakutegemea, sijui labda mudi afufuke aje kuwaokoa....yaani kuna sehemu nimekumbana na mapicha mpaka nikaogopa, poleni sana.
Wewe ndiyo ufahamu historia ya Gaza hawa maisha yao kuuliwa na kawaida miaka zaidi ya miaka 50 toka baba yako yako porini wanaishi hivyo wao wakimua hata Muisrael 1 ni ushindi mkubwa.
 
The Palestinian terrorist group Hamas had underestimated the impact of its terrorist attack on Israel but the potential ramifications of their heinous act will be unbearable to them.
 
Hivyo vikundi vya Hazibullah na Hamas havina safari ndefu...

Vinaendelea kuifanya Israel kuzidi kuchukua ardhi ya Palestina. Israel haijawahi kushindwa vita tangu warejee nyumbani kwao, waarabu wanakula kichapo tu... Misri nae alichezea kichapo tu
Huijui Hzbollah wewe...

Ndo kundi laongoza kuwa na Sophisticated weaponry.

Hezbollah ndo Iran govt shekhe.

Siyo dagaa aisee
 
Hao Hamas ni wapuuzi kweli kweli! Damu zimemwagika; mali zimeharibika; uchumi na maisha kwa ujumla vimesambaratika! Death to Israel! Majinga ya kiwango cha mwisho!
Maji na umeme vimeshakatwa, dawa zimeisha, hakuna kuingia wala kutoka Gaza. Nadhani kitakachofuata ili suluhu ipatikane sharti la Israel litakua ni kwamba nchi zinazotaka kusuluhisha zijutolee zikawachukue Wapalestina wa Gaza wakaishi nao nchini mwao ila pale waondoke.
Na hakuna taifa la kiarabu wala Iran ambaye huruhysu wapalestina waingie kuishi nchini mwao.

Ila walitumia akili mbovu sana hawa Hamas. Wamewaponza sana wenzao. Yaani walishindwa kabisa kupiga calculations ya hatari itakayo waangukia?
Iran aliyekua wa kwanza kupiga simu kuwapongeza, mpaka sasa amepiga kimya.
Kwasasa hakuna anayetoa wito wa Israel k7simamisha Masuambulizi, wanataka wamuache apige kwanza hadi hasira zipungue.
 
😂 wacheni uwongo Hamasi silaha zake haziko kwenye majumba zipo underground hio kupiga majumba ni dalili ya udhaifu ya Israel anafikiria nikiwau wananchi Hamasi atakubali kusimamisha vita.
Yaani tangu 2007 hamasi iliposhinda uchaguzi, ni kuwapa tabu tu wananchi, ila kosa ni lao mtawachaguaje magaidi, kipondo kikianza mnatafuta huruma!! Kwani hayo maroketi wanayorusha huwa yanatokea polini?!! MSUMALI ULIPIINGILIA NDIPO UTATOKEA. Na Kiukweli awamu hii wameyakanyaga, Na PM, anasema sasa anataka kuleta kitu kipya hapo gaza!! Tukisema ukweli hata leo hii Israel aseme anaiteketeza gaza yote ibakie majivu uwezo huo anao.
 
Nadhani hicho ndicho Hamas walikuwa wanakitafuta! Baada ya wapiganaji wao kutekwa na IDF siku za nyuma, sasa wanatumia hao hostages wa Israel kuitaka Israel iwaachie Wafungwa wa Kipalestina!
 
Majeshi ya ufaransa yameshaingia Jerusalem, majeshi ya Marekani yameshaingia ukanda wa pwani ya Gaza.

Siamini kama Hamas wafanye hivyo ingawa kwa silaha zao za tabata.

Wamelizuwia jeshi zima la wayahudi kwa siku tatu, mpaka wayahudi wameomba msaada kwa mabwana zao.
Wewe uko Yombo Vituka ndio unaongea mambo ya Jerusalem si ungeenda uwasaidie hao magaidi wenu ili ufe uende uwe tena miongoni mwa wale mabikra 72 ndio muwastareheshe wapiganaji wa allah.
 
Sasa wameona hawana pa kuchomokea ndipo wanaanza kuomba msamaha.... Unaanzishaje vita usiyoiweza....

Lengo la Israel ni kuichukua ardhi yote ya Palestina, Hamas walijichanganya kuingia cha kike, ule ulikuwa ni mtego. Sasa wanachukua ardhi yote ya Gaza
Na wanaweza kuichukua wakiamua.
 
Wewe uko Yombo Vituka ndio unaongea mambo ya Jerusalem si ungeenda uwasaidie hao magaidi wenu ili ufe uende uwe tena miongoni mwa wale mabikra 72 ndio muwastareheshe wapiganaji wa allah.
Ingia kwenye mtandao kijana, dunia kiganjani.
 
Sasa wameona hawana pa kuchomokea ndipo wanaanza kuomba msamaha.... Unaanzishaje vita usiyoiweza....

Lengo la Israel ni kuichukua ardhi yote ya Palestina, Hamas walijichanganya kuingia cha kike, ule ulikuwa ni mtego. Sasa wanachukua ardhi yote ya Gaza
Nani kaanzisha vita? Mnadaganywa na mnadanganyika kijinga sana.

Vita ilianza toka siku Palestina walipoporwa nchi yao. Mwaka 1948.

Wapalesti hawajaanzisha vita, wametobowa jela waliyofungiwa. Kimbembe chake wayahudi wanalala kwenye mapipa ya taka sasa hivi. Au hujaona hiyo?
 
Hakuna ceasefire, atakaye pigwa kisawa sawa ndio akubali sasa kufuata amri na masharti ya mbabe, hawa jamaa ni kuwaacha, utaona kama palestines atapigwa na kukubali kutawaliwa, dunia nzima itatulia, hivi hivi hakutakuwa na amani, hadi mmoja akubali kuwa nimepigwa na niko chini ya miguu yako, full stop.
 
Nani kaanzisha vita? Mnadaganywa na mnadanganyika kijinga sana.

Vita ilianza toka siku Palestina walipoporwa nchi yao. Mwaka 1948.

Wapalesti hawajaanzisha vita, wametobowa jela waliyofungiwa. Kimbembe chake wayahudi wanalala kwenye mapipa ya taka sasa hivi. Au hujaona hiyo?
Wewe jana nimekwambia mvamizi wa ardhi ya Israel ni muarabu, muarabu kavamia huo ukanda wote hadi kuja Afrika Kaskazini kajimilikisha ardhi yote ambayo ni mali ya waafrika weusi.

Hii hoja unaikwepa kwa sababu ukweli unaujua waarabu ni wabamizi wa ardhi... Ilibaki kidogo na Zanzibar iwe mali ya waarabu
 
Wewe jana nimekwambia mvamizi wa ardhi ya Israel ni muarabu, muarabu kavamia huo ukanda wote hadi kuja Afrika Kaskazini kajimilikisha ardhi yote ambayo ni mali ya waafrika weusi.

Hii hoja unaikwepa kwa sababu ukweli unaujua waarabu ni wabamizi wa ardhi... Ilibaki kidogo na Zanzibar iwe mali ya waarabu
Hizo porojo wamezijibu wayahudi wenyewe. Hujauona uzi wa The Boss?
 
Back
Top Bottom