Hamas wajibu sababu ya kuteka na kuua raia wa kigeni: Inatuma ujumbe taifa haramu la Israel sio salama kuingia

Tuache mahusiano na israel ni taifa la kikaburu tu.
 
Wayahudi walikaribishwa palestina kama wakimbizi. Leo hii wale waliowakaribisha ndio wamegeuka kuwa wakimbizi. Ukiuliza eti unaambiwa ni Mungu wao alisema . Foolish
View attachment 2846333
anzisha mada yako, mada hapa juu haihusiani na ulichopost. mkiambiwa hamna akili mnaanza kusema alah akbaru.
 
Akili za waislamu ni za kipumbavu sana!

Mbona wa palestina kibao walikuwa wanafanya kazi huko israel?

Ina maana nao wameuawa?


Israel wahisha hiyo mitaahira kwa mabikra 72
 
Mbali na ugaidi!! hauwezi kuwa upande ule halafu ukawa na akili timamu
 
Akili za waislamu ni za kipumbavu sana!

Mbona wa palestina kibao walikuwa wanafanya kazi huko israel?

Ina maana nao wameuawa?


Israel wahisha hiyo mitaahira kwa mabikra 72
Unawafanyishaje watu kazi kwenye nchi yao? Wayahudi waliingia palestina kama wakimbizi 1947 leo hii wale waliowakaribisha ndio wamegeuka kuwa wakimbizi . Ukiuliza eti Mungu wenu ndio alisema. Foolish
 

Attachments

  • Screenshot_20231218_141320_Google.jpg
    139.1 KB · Views: 2
Basi na sisi tuwa fukuze Wapalestina wote huku kwetu. Hawana adabu
 
Mas*nge tu
 
Unawafanyishaje watu kazi kwenye nchi yao? Wayahudi waliingia palestina kama wakimbizi 1947 leo hii wale waliowakaribisha ndio wamegeuka kuwa wakimbizi . Ukiuliza eti Mungu wenu ndio alisema. Foolish
Sasa kama unabisha kuhusu huo mpango, ilikuwaje mkimbizi uliyemkaribisha under your control aka-overturn na kuwa boss wa nchi yako? Una uhakika kwanye hili umeshirikisha akili?
 
Kati ya nchi zote ambazo zinaiunga mkono HAMAS na Palestine hakuna hata moja ambayo itabadili msimamo. Hata Tanzania haipo tayari kubadili msimamo wake wa kuiunga mkono HAMAS. Ipo tayari iwe kinyume cha Israel iliyo walinda mamia ya raia wake wanafunzi, kuliko kuisaliti HAMAS iliyowaua raia wake.
Kwanza tangu lini serikali ya Tanzania has ever given a shit kuhusu maisha ya watu wake, wakati yenyewe tu ilikua ikifanya kama HAMAS kwa kuwasunda kwenye viroba huku akina Tundu Lissu wakimwagiwa risasi hadharani.
Tanzania na HAMAS ni mapacha.
 
Wanazidi kupandikiza chuki kwa mataifa mengine dhidi yao. Ni bora mara sabini wangenyamaza tu japo inanimate kuona serikali hadi sasa inamuacha Balozi wa Palestina. Inauma.na kushangaza sana.
 
Unawafanyishaje watu kazi kwenye nchi yao? Wayahudi waliingia palestina kama wakimbizi 1947 leo hii wale waliowakaribisha ndio wamegeuka kuwa wakimbizi . Ukiuliza eti Mungu wenu ndio alisema. Foolish
Acha uongo kijana. Israel ipo hapo kitambo sana. Palestina imewakuta Israel hapo. Hizo story zenu za kuunga unga ndiyo mmezikumnatia.
Nikupe assignment ndogo tu.
Rudi Miaka ya 1700 ujifunze maisha ya pale Israel yalikuwaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…